Тёмный
No video :(

MWAKINYO: HILI PAMBANO LIMENIPA KODI YA NYUMBA/YULE DADA YAO MPAKA PIKO WA MOROGORO NAMTAKA 

Dar24 Media
Подписаться 729 тыс.
Просмотров 48 тыс.
50% 1

#mwakinyo #zanzibar #vitasa

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 78   
@eugenngatunga6793
@eugenngatunga6793 7 месяцев назад
Hongera Sana Mwakinyo umeonesha kiwango kikubwa ukilinganisha na mtu uliyecheza nae. Salute!!!!!! Bravo bravo bravo
@danielmyahudi1339
@danielmyahudi1339 7 месяцев назад
Mwakinyo ndio Bondia pekee Tz anayejua kujieleza na kuwaelezea vizuri watu wake wa karibu wanaomzunguka, ieleweke kuwa Mwakinyo Hana dharau, Mwakinyo ni burudani tosha hata kwa wapinzani wake🔥🔥🔥🔥🔥
@saidkipalo4427
@saidkipalo4427 7 месяцев назад
Kiukweli washamba wengi tabia zao ni kuwachukia wapambanaji big up Sana Mdogo Wangu Mwakinyo yupo vizuri Sana Sema Chuki zinamuandama Sana inasikitisha tulipaswa kumsapoti Sana Mwakinyo Sio Kum disappoint
@user-ks8oy9lt7z
@user-ks8oy9lt7z 7 месяцев назад
Mwakinyo Zanzibar fanya ndio uwanja wako wa nyumbani kwani wale wenzetu kulee wameshaonesho chuki kwako njoo zenji sisi tumekupokea kwa mikono miwili big up brother
@reubenmajambo1270
@reubenmajambo1270 7 месяцев назад
Hatumchukii jamaa yetu
@rajabushedafa6397
@rajabushedafa6397 7 месяцев назад
Mimi n mbara ila upo sawa sawa 🤝❤
@kingahmada3873
@kingahmada3873 7 месяцев назад
Mwamba anajua Sana ngumi
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 7 месяцев назад
​@@kingahmada3873hapana hajui sema anabebwa 😅 mtu anarusha ngumi moja moja kama adui wa kihindi😅😅😅
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 2 месяца назад
Azam wameaibiki isee😂
@FadhiliMussa-rq9fc
@FadhiliMussa-rq9fc 7 месяцев назад
Safii kaka mwakinyo umewanyamazisha midomo wasokupenda kupitia hili watarudi tuu salut kaka.
@rehemasaid796
@rehemasaid796 7 месяцев назад
Kw nilivomuona Mwakinyo Twaha ajipange
@alfredrutaguza7506
@alfredrutaguza7506 7 месяцев назад
Jamaa namwelewa sana akiongea anajiamini na anamaanisha ,inatumika nguvu ya kumshusha kiwango Ila mungu humsaidia
@hosseasimon3887
@hosseasimon3887 7 месяцев назад
Kilichonikera ni Azam kuingia kwenye hizi siasa na kutunyima hili pambano live,mnatufanya tufikirie kuhama bora nirudi zangu DStv
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l 7 месяцев назад
bondia wangu bola tanzania mwakinyo
@salummtonga4508
@salummtonga4508 7 месяцев назад
Safi hiyo mwakinyo
@MohamedAfdhal-xq3jh
@MohamedAfdhal-xq3jh 7 месяцев назад
Wale wapaka piko mioyo saizbinawauma hatari,,,safi sana damu yangu
@kingahmada3873
@kingahmada3873 7 месяцев назад
Huyu jamaa mwamba kweli kweli
@HappyMacawBird-xv8yi
@HappyMacawBird-xv8yi 7 месяцев назад
Chpez mwambaaaaa🎉
@user-pj4mx2ro4h
@user-pj4mx2ro4h 7 месяцев назад
Salute hassan nakukubali
@adolfmashele4959
@adolfmashele4959 7 месяцев назад
Mwakinyo anavitu vya ziada sana
@Expressmoviesss
@Expressmoviesss 7 месяцев назад
Naombeni like tu jamani leo nimekuwa wakwanza kutazama hii video😅
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 7 месяцев назад
Mwakinyo the best of Tanzanian ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@salumnyanda9905
@salumnyanda9905 7 месяцев назад
Kaka big up sana
@silvesterboytz
@silvesterboytz 7 месяцев назад
Mwakinyo uko safi
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 7 месяцев назад
Huyu anajua ngumi hadi anakeraaaa,,Tz one
@SADICKITHOMAS
@SADICKITHOMAS 7 месяцев назад
Oy salutiiiii hom boi awawez zuia kipaji alokupa Allah tz jilas kila chocho we ucjal
@user-fd5jq9nu1l
@user-fd5jq9nu1l 7 месяцев назад
Champez sasa bado yule dada yao mpaka pico pale mologolo
@nelsonmapunda6797
@nelsonmapunda6797 7 месяцев назад
Jamaa ni mswahili haswa.... 🔥🔥🔥💥💥💥🙌🙌🙌
@ashiraffmmbwego582
@ashiraffmmbwego582 7 месяцев назад
Hora wewe mzungu
@nelsonmapunda6797
@nelsonmapunda6797 7 месяцев назад
@@ashiraffmmbwego582 hapana... Nimependa namna amezungumza
@samirmswahili
@samirmswahili 7 месяцев назад
Hongera zake ila kajitahid ila apunguze maneno
@kingahmada3873
@kingahmada3873 7 месяцев назад
Sio kajitahidi huyo anajua ngumi
@kisomekiguwa3706
@kisomekiguwa3706 7 месяцев назад
Mchezo wowote bila maneno haunogi lazima uwe na vibwaka
@SelemaKidundo-ii2pz
@SelemaKidundo-ii2pz 7 месяцев назад
Mwakinyo ngumikamamvuwa yaarimino mapafu yambwana kidugu kwahizingumi laundi tatu hafikishi nawajitokeze waonengumi
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 месяцев назад
Kwa mchezo wa Kiduku haya huyo Mgana Hamuwez. Mwakinyo anambinu sana na mzoefu wa mapbano. Usicheze na Boxing.
@user-pw3xz2sd8v
@user-pw3xz2sd8v 7 месяцев назад
Bro nakubal sana sultan
@canalusedspareparts6533
@canalusedspareparts6533 7 месяцев назад
💯💯💯
@issamuhammedi
@issamuhammedi 7 месяцев назад
Kwani mwakinyo hajajenga kweli
@user-fd5jq9nu1l
@user-fd5jq9nu1l 7 месяцев назад
Mwakinyo amejenga mjengo wamana sana ila anawapa tu maneno yakuongea wabaya wake ila amesha jenga nakaa nae kakibu sana
@MWEGOHA
@MWEGOHA 7 месяцев назад
heee, mtafunga ndoa tena, mchora maua umesikia dharau hiyooo 🤭🤭😅😅
@mangimkuunarumu954
@mangimkuunarumu954 7 месяцев назад
Mwakinyo ktk ubora huyu ndo mwakinyo nnaemjua mm
@robinbayser3079
@robinbayser3079 7 месяцев назад
Mchongo sio KO. Umempiga nani?
@fabrisiowissa692
@fabrisiowissa692 6 месяцев назад
Nadhani mchongo si kumpiga nani,nadhani mchongo umepata nini?
@user-yf9zd2xz2m
@user-yf9zd2xz2m 7 месяцев назад
Kaka unajua sema kiduku wa mchangan w wa kimataifa abishane na kidunda
@stuartsmg1528
@stuartsmg1528 6 месяцев назад
✊✊✊
@khalidimohamedi4626
@khalidimohamedi4626 7 месяцев назад
Nikikuangalia interview zako mwakinyo na mahojiano yko mengi una high q unaweza kuongea kwa upana na kwenye kujiamini ndivyo inavotakiwa unaongea kwa big sense na yenye kueleweka
@simonbanzi6182
@simonbanzi6182 7 месяцев назад
Hakuna mpiganaji humu wa mchongo tu, kiduku the best
@kingahmada3873
@kingahmada3873 7 месяцев назад
Huyo kiduku amepigana na nani😅
@kisomekiguwa3706
@kisomekiguwa3706 7 месяцев назад
Inaonekana ww una roho ya kwanini jamani ukimchukia mtu bila sababu basi ndio (Mungu) humfungulia zaidi ili ww upate machungu. 😅😅😅
@cisselamerverille5286
@cisselamerverille5286 7 месяцев назад
😅😅😅mchongo umempiga nani yesssss 💪💪💪💪💪💪
@abiiclevertz
@abiiclevertz 7 месяцев назад
Mm wa4 nipeni like zangu❤
@angelangaiza2274
@angelangaiza2274 7 месяцев назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@saidpazi531
@saidpazi531 6 месяцев назад
Mwakinyo ww ni Bondio MKUBWA hapa Tanzania mm nakushauri Jambo MOJA Embu punguza haya maneno makali yanaleta CHUKI KUBWA KWAKO MM NAFAHAMU KIDUKU AKIPIGANA NA WW HATARAUNDI 4 AFIKI
@user-vy9hr4ye4c
@user-vy9hr4ye4c 7 месяцев назад
Unyma n mwingi
@HemediOmar
@HemediOmar 7 месяцев назад
Cku itafika kk mdomo utanyooka tu
@kingibandajembe2247
@kingibandajembe2247 7 месяцев назад
Uwakika kaka nimekubali sana
@user-yr4hc4ku4m
@user-yr4hc4ku4m 7 месяцев назад
Wachawaseme wwe sema kwavitendo dogo kinyo
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 7 месяцев назад
Babu nguvu huwa zinaishaga jenga uachane na kulipa kodi anza na room 1 mkuu usiogope maneno ya watu
@hansjohn542
@hansjohn542 7 месяцев назад
Maneno tu mwakinyo ananyumba yake nzur tu uk jiongeze amempitia mtu apo
@autoimmunesecurity2140
@autoimmunesecurity2140 7 месяцев назад
Punguza nywele kidogo mwakinyo
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 7 месяцев назад
Hee😂
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 7 месяцев назад
Huku bara ni unafiki mwingi sana muda mwingine mbaka unawaonea huruma watu waliofanikiwa hapa bongo, wanapitia mambo mengi sana kwa watu walioshindwa kuwa na mafanikio kama yao
@user-ru2hr6qs1o
@user-ru2hr6qs1o 7 месяцев назад
Kajenga huyo asiwadanganye
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 7 месяцев назад
🎉🎉
@user-vr6lu8tq1n
@user-vr6lu8tq1n 7 месяцев назад
Poa
@user-fp4ir4ej9v
@user-fp4ir4ej9v 7 месяцев назад
Unaongea sana mbona sas unapenda kuchugua mabondia sana
@lushy9827
@lushy9827 7 месяцев назад
Mimi nimekuwa wa pili
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 7 месяцев назад
Hakuna ngumi hapo, kama unajua ngumi angalia mchezo wa Ibrahimu class na Mmalawi, kule ndio tumeona vitasa, hapo mlikutana songolo na buruza,😂😂
@hamadyjumawatokesare2itape166
@hamadyjumawatokesare2itape166 7 месяцев назад
Katombwe chuki zako ndo zimekujaa,,
@Hamimuissaissa-to9vs
@Hamimuissaissa-to9vs 7 месяцев назад
acha chuki huyo mwakinyo hicho ni kipeji mungu kampa
@ashiraffmmbwego582
@ashiraffmmbwego582 7 месяцев назад
Umeanza lini kushabikia ngumi mpaka ujue uwezo wa bondia?unachuki binafsi inakutafuna itakuzika mbwa wewe.
@hassanmasoud7891
@hassanmasoud7891 7 месяцев назад
Sa class kafanya nn wakati mpinzani katupiwa taulo miguu ya kuku kumamake
@user-lk8ws3fz9x
@user-lk8ws3fz9x 7 месяцев назад
Fala wew mwache mwakinyo
@omaryahya337
@omaryahya337 7 месяцев назад
shida yenu ni hio watoto wa kitanga ushamba mwingi munaongea mambo ya kishamba mujungi ni kuto kujitambua
@kingahmada3873
@kingahmada3873 7 месяцев назад
Ongea nawew😅
@user-vy9hr4ye4c
@user-vy9hr4ye4c 7 месяцев назад
Maneno kuntu kqbisa mchong sio k oo je umempinga nani
Далее
SIGMA ENVY IS UNTOUCHABLE 🔥 #insideout2
00:10
Просмотров 3,6 млн
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Просмотров 8 млн
Коротко о моей жизни:
01:00
Просмотров 537 тыс.
🎙ПОЮ ВЖИВУЮ!
3:17:56
Просмотров 1,5 млн
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 2
29:53
SIGMA ENVY IS UNTOUCHABLE 🔥 #insideout2
00:10
Просмотров 3,6 млн