Тёмный
No video :(

#EXCLUSIVE 

Bongo Boxing Safari
Подписаться 28 тыс.
Просмотров 47 тыс.
50% 1

#EXCLUSIVE: SALIM MTANGO AMUOMBA MSAMAHA MWAKINYO - "HANA HELA, SIJUI HATA TUNAGOMBEA NINI"
BONGO Boxing Safari tumefanya mahojiano na bondia Salim Mtango kuhusiana na maisha yake ya ngumi na ugomvi wake na Hassan Mwakinyo.

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 123   
@kitutujuma9602
@kitutujuma9602 10 месяцев назад
Mwakinyo star tz in boxing this time. Maana interview nyingi yy muhusishwa.
@habibuhabibu9728
@habibuhabibu9728 10 месяцев назад
Mwakinyo ndo champez Tz one xaxa lazima mmuongelee xana
@suleimanhamza9014
@suleimanhamza9014 10 месяцев назад
Mnalazimisha sana hassan hakutaja mtu bali aligomea promotion nyingine kuingilia kati fight yake wkt hawana mahusiano mazur hayo mengine mnataka kutembelea jina lake.
@sumamelody6197
@sumamelody6197 10 месяцев назад
Sio mbaya kutembelea jina la mtu mjinga
@komboruga4271
@komboruga4271 10 месяцев назад
Sahihi
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 10 месяцев назад
Hajielewi mwakinyo usichanganye kazi na mapenzi
@user-ge4cj1wh6u
@user-ge4cj1wh6u 10 месяцев назад
mwakinyo ni king atabaki kua king tu
@nassibukidungwe217
@nassibukidungwe217 10 месяцев назад
Wew dogo acha kuingia kwenye mtego hao wandishi niwachonganish Sana mwakinyo hajakuzungumzia hata kidogo wew unaropokat kwenye vyombo vya habar angaria Safar yako bado una Safar ndefu ndugu yangu punguza ukari wa manen
@yusuphkwaya7843
@yusuphkwaya7843 10 месяцев назад
Uko sahihi Sana ndugu huyo Dogo katumwa akili hafifu
@irenemwewe3566
@irenemwewe3566 10 месяцев назад
Kila bondia anamtaka aoigane na mwakinyo jamanii,,hii inamaanisha mwakinyo ni Bora kuliko wote
@user-wu9zz1bm9h
@user-wu9zz1bm9h 10 месяцев назад
Minamshauri tu mwakinyo aachane na box hapa bongo yeye apigane box na wapiganaji huko ugaibun mwakinyo ni mkubwa Kwa boxing Anajua Anajua Anajua tenaaaa mungu akusaidie ndugu yangu mwakinyo Wala usikate tamaa kilasafari haikos changamoto.biashara nzuri inajiuza Wala haihitaki matangazo mengi.mwakinyo bingwa na Anajua.
@patrickalfred3680
@patrickalfred3680 10 месяцев назад
Mwakinyo kashawapeleka mjini vijana...basi wanapaswa kumshukuru
@Mpakauseme
@Mpakauseme 10 месяцев назад
Unataka wamfanye Mungu mtu sio ?
@alexchalamila7036
@alexchalamila7036 10 месяцев назад
Kila takataka inamtaka mwakinyo a
@user-oj7jo2st8v
@user-oj7jo2st8v 10 месяцев назад
Utapigwa vibaya wewe yule mdigo hafai ngumi jiwe
@ikramzamando810
@ikramzamando810 10 месяцев назад
Nikweli unajua kupigana Ila ujaku bondia wakupigana na mwakinyo dogo
@AbbasMwakichui-db9tn
@AbbasMwakichui-db9tn 10 месяцев назад
We waandishi wachonganishi sana ni watu fitina sana. Maswali yako ni ya ubabaishaji sana
@user-ql7fx1py7j
@user-ql7fx1py7j 10 месяцев назад
Wewe boya Sana mzee
@elizabethmajaliwa5189
@elizabethmajaliwa5189 10 месяцев назад
Kwanza kawasaidia kulikuwa hatuwajui nyie, muwe nashukrani,mwakinyo legendary hata mumchafue vipi kizuri chajiuza bana
@MichaelJames-tp6co
@MichaelJames-tp6co 10 месяцев назад
Kawaida dogo wakati wenu kusema chochote, mwakinyo kawatengenezea njia mtalipwa vizuri ni kwasababu njia imetengenezwa
@JosephBruno-gl2pe
@JosephBruno-gl2pe 10 месяцев назад
Ukweli kabisa usemacho kaka.
@Hafidhhemed-gp1uu
@Hafidhhemed-gp1uu 10 месяцев назад
Champez usiwajibu utawapa umaarufu waache watoto waongee watanyamaza tu
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 10 месяцев назад
Huyu Dogo Salim anaongea vizuri. Kaza dogo utafika tu.
@eladymwakanyamale
@eladymwakanyamale 10 месяцев назад
Wote mnamtaka mwakinyo hiyo inadhihirisha yeye ni bora kuliko nyie,,,lasivyo piganeni wenyewe
@mohamediidrisa1259
@mohamediidrisa1259 10 месяцев назад
😊
@ricklandennis
@ricklandennis 10 месяцев назад
Kiukweli hawa mafia sijui ndio nimewajua kupitia mwakinyo
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 10 месяцев назад
Ifikiie wakati watanga mteteane wenyewe wa2 wa dar awatupendi banaaa
@habibuhabibu9728
@habibuhabibu9728 10 месяцев назад
Point broo
@user-yy5qf4gz6q
@user-yy5qf4gz6q 10 месяцев назад
Mtango mdogoangu hongera sana
@DicksonMsenga-sh2kb
@DicksonMsenga-sh2kb 10 месяцев назад
Fund Wa ngumi unajua sana Salim mtango
@omarmwabege
@omarmwabege 10 месяцев назад
Hawa wanahabari wanichukiza na uchochezi wao!!-
@user-bn6we3nj6t
@user-bn6we3nj6t 10 месяцев назад
Mwakinyo ndo champion
@martinbugeraa5329
@martinbugeraa5329 10 месяцев назад
God bless u brow pambana tupo nyuma yako
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 10 месяцев назад
Usizungushe maneno kasema yy anamabondia wake na bosi wao anapambana kwaiyo alivyosema yy alitaka mabondia wake wapigane usizungushe maneno kufanya watu wamchukie mwakinyo wacha ujinga huo dogo
@nurumasunga6079
@nurumasunga6079 10 месяцев назад
Mnafanya makosa sana kumfananisha Mwakinyo na hawa watoto ,nyie waandishi wa hovyo sana
@Kaweza-mu6hy
@Kaweza-mu6hy 10 месяцев назад
Wewe hujui kitu huyu capten wa mwakinyo
@nyemondagalla608
@nyemondagalla608 10 месяцев назад
​@@Kaweza-mu6hycapten kafanya maajabu gani kuliko mwakinyo?
@abdallhabinmkasibayyat6657
@abdallhabinmkasibayyat6657 10 месяцев назад
Roho inaniuma sana kuona ndugu yangu mnakuwa mahasimu ondosheni tafauti zenu ndungu zangu.. domo zege mtatuweka makundi sasa
@yujinxhing3766
@yujinxhing3766 10 месяцев назад
Mwakinyo kawapa airtime hawa mafia boxing Mimi nilikuwa siwajui kabda la hili sakata la mwakinyo na promota MAKOTI😊
@sumamelody6197
@sumamelody6197 10 месяцев назад
Kama una kipaji then huna akili tutaachaje kutembelea mgongo wako
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 10 месяцев назад
Utawajua tu aliyefichwa sasa katoka
@allysaleh2220
@allysaleh2220 10 месяцев назад
Haukua mfatiliaji wa ngumi but wafatiliaji wa ngumi tulikua tunamjua mtango long time na tunajua ndo alikua sparing partina wa mwakinyo ndomana hana hata hofu alivyoulizwa akiwekewa game na hassan coz anamjua kindani ndani
@jameschumbula7351
@jameschumbula7351 10 месяцев назад
Bado hamjasema
@law93king
@law93king 10 месяцев назад
mpaka mseme na mtasemaaa😂
@user-pc1uu1ri5g
@user-pc1uu1ri5g 10 месяцев назад
Mwakinyo ni bondia mkubwa sana tanzania mpeni thamani yake leo akiwa bado yuko hai, kabla ya kumlinganisha muwe mnapima huko ni kumkosea adabu
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 10 месяцев назад
Ana ukubwa gani sasa kenge huyoo
@Rozeey610
@Rozeey610 10 месяцев назад
We jamaa unamjua uyo salim mtango uyo salim n hatar
@DanfordLuhangano-wz8le
@DanfordLuhangano-wz8le 10 месяцев назад
Nakuelewa sana broo kwa misimamo yako. Unaitetea sana boxing na ni wewe uliyeifanya ikubalike zaidi katika jamii na kuiongezea thamani
@JosephBruno-gl2pe
@JosephBruno-gl2pe 10 месяцев назад
Aise uwo emeongea ukweli sana kuhusu hasani .
@SingoMedia
@SingoMedia 10 месяцев назад
natamani kuona pambano kati ya Ibrahim Class na Salim Mtango.... Hao wote mafundi kwahiyo pambano litakuwa zuri sana
@bintui.mrissa.6361
@bintui.mrissa.6361 5 месяцев назад
Ni washkaji xana toka wakiwa Tanga Ibra alikua anakuja! Kwa Salim
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 10 месяцев назад
Oya kweli mm ni shabiki yako man Mungu akizidi kukujalia usibadili tabia uwe kama twaha kiduku respect
@hasanykatutuma6927
@hasanykatutuma6927 10 месяцев назад
Nimekuelewa Sana mtango
@MultiKelvin1994
@MultiKelvin1994 10 месяцев назад
Kwahiyo umeenda kumhoji jamaa kuhusu Mwakinyo... Yeye hana michongo yake binafsi 😅😅😅😅 Halafu dogo yupo sahihi bondia aseme kama ana concern mapema Mwakinyo alisema day 1 alipopata tu taarifa... Ila kale kazee katapeli kakampiga changa la macho... Yule babu wa Paff ni moja ya matatizo makubea kuwahi kutokea kwenye Boxing ya Bongo
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 10 месяцев назад
Acha kumuita mtu mzima Tapeli fara wewe
@Mosesmwakatobe-bj7rt
@Mosesmwakatobe-bj7rt 10 месяцев назад
Tapeli no tapeli tu hata akiwa mzee
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 10 месяцев назад
@@Mosesmwakatobe-bj7rt Sasa huyo promoter utapeli wake ni upi mbona hamsemi kwa facts toa Facts zako tuone utapeli wake
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 10 месяцев назад
Mwakinyo kafanya tuwajue na mabondia wengine kama hawa kama mwakinyo hajafanya vile tusingelimjua mtu kama huyu bondia mwakinyo dogo umshukuru huoni saivi watu tunakuona unahojiwa japo kua unaongea utumbo
@bintui.mrissa.6361
@bintui.mrissa.6361 5 месяцев назад
Usichokijua huyu dogo kaanza ngumi before Hassan fatilia Kwa wapenzi wa ngumi mkoa wa Tanga, Bakari mwambea , Abdallah Nyuki ,Abel Kisuse,hao wote waulize Ni makocha wakubwa mkoa wa Tanga, Nikweli mwakinyo kapata mafanikio ila ukizungumzia mafundi Kwa Karne hii Ni Salim Mtango (Messi) na Yohana Mchanja(computer). Sema wamebaniwa xana fights bongo!!!.
@athumanishabani1143
@athumanishabani1143 10 месяцев назад
Mwakinyo ndio kiooo chenu
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 10 месяцев назад
Mtangazaji unaangaika bule ao ugomvi wao wanagombania utelezi lipo.wazi
@user-le6co6yv5i
@user-le6co6yv5i 10 месяцев назад
Dogo nae ana bwabwaja Sana aache kulewa sifa za waandishi
@Mtazyinstrumental
@Mtazyinstrumental 10 месяцев назад
Mbona alisema mapena mafia msiwepo
@giftprosper2355
@giftprosper2355 10 месяцев назад
Anajua san
@user-sl1wb7wm4w
@user-sl1wb7wm4w 10 месяцев назад
Mung akuongoze Ktk safr Yako y ngumi
@user-sl1wb7wm4w
@user-sl1wb7wm4w 10 месяцев назад
Ktk watu ambao wanakutmfatilia bs nmm nmmoja wapo ust khatibu muhez
@thehunter5920
@thehunter5920 10 месяцев назад
Kidunda alikuwa anaumwa ,acha kumuongelea
@saidkizota3595
@saidkizota3595 10 месяцев назад
Mtoto laini huyo
@SingoMedia
@SingoMedia 10 месяцев назад
Safi, pia msisahau kutembelea channel yangu wadau
@TsTechSolution
@TsTechSolution 10 месяцев назад
Hongera kwa Gym kali. nitaifungia safari hii ili kujifunza kitu
@xectionmchokozi7172
@xectionmchokozi7172 10 месяцев назад
Kwanza mie huyo dogo nlikua simjui Mwakinyo kaamua kuwapa wadogo zake jina wawe na respect
@ramadhanmapinduz1819
@ramadhanmapinduz1819 10 месяцев назад
Mtangoo chokoo 2
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 10 месяцев назад
Unaongea sana hadi nimeshindwa kuendelea kuangalia
@khamisidowany6262
@khamisidowany6262 10 месяцев назад
Wa bongo bhana kwan huyu dogo kaongea ubaya gan embu nielezen mbona kaongea vzr tu hapo ndipo ninapo amin cc wanadam ni watu wabaya sana.kwan kaongea ubaya gan jamaa
@daudinyello4033
@daudinyello4033 10 месяцев назад
HATA AFUNGIWE MWAKINYO NDIO KIOO CHETU TZ, WENGINE WATAISHIA KUPIGANA BONGO
@user-sl1wb7wm4w
@user-sl1wb7wm4w 10 месяцев назад
Khatibu haji
@athumaniamiri3764
@athumaniamiri3764 10 месяцев назад
Mwandishi punguza kuongea video ya dkk 20 lkn introduction yako imekula dakika 10 nzima
@nicoluskanegene5394
@nicoluskanegene5394 10 месяцев назад
Wabongo sisi ni nursing na wanafiki kwani huyo mwakinyo pia mlio wengi mlikuwa Hammerwich mpaka alivyompiga yule mzungu ss iweje mnasema huyu dogo naye ham ujuwi? Basi hapo ndio kashajulikana naye ndio mwanzo wake pia
@FarajiLiymo
@FarajiLiymo 10 месяцев назад
Nikweli we ni mzur sana tena we ni rollmoder wangu. Lakini we kwa hassani mwkinyo bado sana
@ramadhanimohamed4190
@ramadhanimohamed4190 10 месяцев назад
Jamaa ni mnafiki sana naogopeni sana mtu mnafiki
@allyshabani7513
@allyshabani7513 10 месяцев назад
Mbona naona gali la ibra class
@daudinyello4033
@daudinyello4033 10 месяцев назад
MWAKINYO +255
@richhaule9264
@richhaule9264 10 месяцев назад
Huyu dogo anaongea kwaakil sana nimemkubali
@JayMohamed-td5lk
@JayMohamed-td5lk 10 месяцев назад
Mchezo wa boxing kwa tanga kuna ubinafsi sana hasa mkiwa hamtoki gym moja na hi imechangiwa na waazichaji mapambano wanaangalia kuwapandisha watu kwa kujuana mf: 5 brothers wa walianzisha ngumi za amacha kufika mtaa wa magomeni vijana wamecheza kumi kweli lakin wameambia kama hawatajuliunga na gym zao hawataweza kupandishw mkwakwani na kweli hawakuwapndish coz walikataa kujiunga nao
@SaudaMtegwa-lm8gl
@SaudaMtegwa-lm8gl 10 месяцев назад
Acha unafiki yeye uyo mtango anajua alichofanya mnafiki si anajifanya mshenga aendelee kwani lazima kumuongelea si amuongelee alie mfanyia ushenga
@saidkizota3595
@saidkizota3595 10 месяцев назад
Messi wa mchongo
@SonMusicTz
@SonMusicTz 5 месяцев назад
Kipigwe na twhs
@EnockMiringa-ur8yu
@EnockMiringa-ur8yu 10 месяцев назад
Ana majungu kinyo akukimbie ww
@novatusabond9253
@novatusabond9253 10 месяцев назад
Unaongea vzr sana!
@Director___Mwadadu
@Director___Mwadadu 10 месяцев назад
Mtu akikufanya adui usimfanye rafiki
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 10 месяцев назад
Yaani huyu dogo kama unamskiliza tageti yake mwakinyo
@shabanimiraji5388
@shabanimiraji5388 10 месяцев назад
Sijaona tatizo hapo....ngumi ni biashara na burudani Kwa wependa masubwi....kama vp zipagweee....
@athumanimanzabay1894
@athumanimanzabay1894 10 месяцев назад
Exactly Messi,upo sahihi saana champion 👏
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l 7 месяцев назад
ata mufa nyeje mwakinyo mwamba
@law93king
@law93king 10 месяцев назад
messi wa ngumi mtu mbaya✊🏾
@Kaweza-mu6hy
@Kaweza-mu6hy 10 месяцев назад
Mnaomsifia mwakinyo kumzarau huyu hamjui kitu huyu dogo mkongwe kwenye ngumi msimzalau huyu ndio bondia bora tanga
@saidpazi531
@saidpazi531 10 месяцев назад
TATIZO LIPO KTK KUFIKIRI TU NA HILI LIPO KTK WATANZANI WENGI
@barikislaa80
@barikislaa80 10 месяцев назад
Messi wa ngumi
@yasinimwibidi9805
@yasinimwibidi9805 7 месяцев назад
Kwa hiyo mtango na wewe unataka kupigana na mwakinyo au sio😂😂😂😂😂
@saidkizota3595
@saidkizota3595 10 месяцев назад
Mbona floyd may weather anaongea na anawabonda acha uswahili huo
@user-yt6un3xh6x
@user-yt6un3xh6x 10 месяцев назад
Mpija ngeta wtu umeacha mwakinyo wamuweza wapi
@Matatasaid
@Matatasaid 10 месяцев назад
Mwakinyo kanileta kwako rasmi mi shabiki wa SALIM MTANGO mess G.O.A.T
@hassanissa4145
@hassanissa4145 6 месяцев назад
Mtangazaji kama lifitina fitina ivi..kuhoji kwake nikutengeneza chuki tu
@user-xi4nh2ht9f
@user-xi4nh2ht9f 10 месяцев назад
Ujuwaji waikati mwingine ni kilio inabidi waikati mwingine kujitathmini tutakosa msisha
@jumannemagawa5095
@jumannemagawa5095 10 месяцев назад
Wewe mwandishi ni mchonganishi, mwakinyo kafungiwa leo unawatembelea mabondiyo kumzungumza mwakinyo anataka ufalume wa tanga, wewe unawachonganisha. Nashukulu mtango kakujibu yeye haitaji ufalume, huwezi kuzungumza swala lolote mpaka umtaje mwakinyo, mnatembelea nyota yake huku mki msema vibaya, hiyo siyo nzuri waandishi kwanini mnamkandamiza mwakinyo? Na mkijua kabisa alizungukwa kwasababu hakukuwa na maandishi, sasa mwamshupalia kila kona acheni unafki.
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 10 месяцев назад
Sio upepo Mwakinyo hajielewi
@omarmwabege
@omarmwabege 10 месяцев назад
Swadaqta brother
@user-bn6we3nj6t
@user-bn6we3nj6t 10 месяцев назад
Mtango kuma tu msaliti wewee tanga hatukujuwi
@AhmedAli-uh2ft
@AhmedAli-uh2ft 10 месяцев назад
Dogo uko poa
@eladymwakanyamale
@eladymwakanyamale 10 месяцев назад
Wote mnamtaka mwakinyo hiyo inadhihirisha yeye ni bora kuliko nyie,,,lasivyo piganeni wenyewe
@saloomidd1084
@saloomidd1084 10 месяцев назад
hili ndio jibu,mbona hawaombani wenyewe kwa wenyewe kama viwango vyao ni vikubwa
@thefutureisnow3586
@thefutureisnow3586 10 месяцев назад
Dogo katulia sana
@user-le6co6yv5i
@user-le6co6yv5i 10 месяцев назад
Dogo nae ana bwabwaja Sana aache kulewa sifa za waandishi
Далее
The Fan’s Fang Skin🔥 | Brawl Stars Sneak Peek
00:16
娜美这是在浪费食物 #路飞#海贼王
00:20
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 2
29:53