Catherine Mwakasege aliyeongoza kitaifa katika masomo ya sayansi kwenye mtihani wa taifa wa kidato cha sita kwa mwaka 2022, ametaja siri ya ufaulu wake na malengo yake ya baadae. Video kamili tumeshakuwekea kwenye ukurasa wetu wa RU-vid.
Hongera binti. Kamfanana sana na baba yake. Hata kumcha Mungu ni sawa na baba yake. Ni Familia ya wacha Mungu. Hongera malimu Inocent. Tanzania inataka walimu kama wewe.