Asalaam Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuhu. Mabruk Alfu, Ustaadh umetowa maelezo mazito sana na hasa katika maisha ya sasa. Subhanallah Mungu atuhidi sisi na vizazi vyetu Yaraby.
Hapo mwisho maalim hupo sawa, ati baada ya darsa yote hiyo, wake zetu waende maofisini wakaandalie chai mabosi, mwisho wake wakishiba itakuaje. Haina faida elimu yako.
Sijui tunaelekea wapi na bahati mbaya ukijaribu kutoa ufahamu kwa baadhi ya wanawake kuhusu umuhimu wa mwanamke kua mwanamke unaonekana una fikra za ukandamizaji
Furaha ya wanadamu jinsi wanawake wanavyopotea kuvaa uchi na kufanya vituko vyaajabu wao wanaona kwao nimaedeleo nawazungu ndio wanavyotaka sikuhizi mwanamke akijiheshimu na kumheshime mume wake anaonekana mshamba mungu atunusurutu sisi na wazazi wetu na vizazivyetu atujalie mwishomwema
@@sonnyr1899ndio ni wanawake wa kiislam inashangaza kwakweli na madam wanaowapotosha Wana nguvu kubwa bas tuendelee kutarajia Dunia inaenda kua sehemu ngumu kuishi kuliko ugumu tunaouona Sasa hv.