Тёмный
No video :(

MWANAUME AMVUTISHA MSANII MAARUFU DAWA ZA KULEVYA KWA MAKUSUDI KABISA.Part 1. 

SOBER HOUSE TV
Подписаться 13 тыс.
Просмотров 27 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 87   
@khamisshee5131
@khamisshee5131 2 года назад
Dada Pam apate msaada kweli kwa sababu ana elimu nzuri nina imani atakuwa mtu wa muhimu sana kwa jami INSHAALLAH 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@julianajacksoni4275
@julianajacksoni4275 2 года назад
Huyu mama nimempenda bure... Ana akili mno.. Tunamuombea heri awe Sawa.. Maisha ni changamoto.. Tunapitia vitu vingi Sana. Ila pia nimejifunza kitu kikubwa Sana kutoka kwake.. Dada pili tunakupenda Sana Sana.. Natamani kufanya kazi nawe.. Be blessed
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 2 года назад
Kwanza ni msomi
@hailinhelen4675
@hailinhelen4675 2 года назад
Huyu mama she is so strong and clever she need help to get out from her situation she is good enough so caind and so sweet tel use prayer 4 her
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 2 года назад
She is educated
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 года назад
Mungu akusaidiye Sister...yuko very educated. Huyo Mume alikuwa hasidi sana kwako...Daa kweli WaTanzania wamelala sana....kila kitu mnacho lakini mpaka sasa hivi Wananchi wanaishi maisha ya TABU....SISTER nimekipenda sana..
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 2 года назад
Yuko vizuri Sana
@evahcharles4032
@evahcharles4032 2 года назад
Duuuh. She is very strong kwakweli mungu amsimamie Zaid
@mariamhannif313
@mariamhannif313 2 года назад
Inshallah m mungu atakufanyiaa wepesi dada pam nimzuri. Na yupo vizuriii kichwani
@saadysaidzahaze5980
@saadysaidzahaze5980 2 года назад
Sister pam your the great woman change and teach us life
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 2 года назад
Subuhanallaha yarabi tunusuru sisi na wazazi wetu piya wanusuru watoto wetu kwani huuuu ni msiba mzito inasikitisha sana hongera dapili mungu akuhifadhi na mitihani yote yaduniya. Unapo vaaaa hivo dada unazidi kupendeza mashallah
@happynelson1136
@happynelson1136 2 года назад
Watu wa madawa wanaongea sana mpaka mb zinakwisha
@clotildamassawe106
@clotildamassawe106 Год назад
Nimekupenda sana, unaona mbalii Mungu akufanyie wepesi
@uwimanauwimana7692
@uwimanauwimana7692 2 года назад
Ndio mana tumeambiwa ukiwa na strees tukimbilie kwenye swala na msikitini 😭😔
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 2 года назад
Ukiwa huna stress ukimbilie bar au starehe au usahau kama Mungu yupo, ushauri wako ni sifuri kabisa, na wengi hupotoshwa na hata so called manabii fulani wenye makanisa yao hapa duniani na maaskofu na wachungaji ndio wanawaambia waumini wao maneno hayo ukiwa na stress basi kimbilio ni ibada je ukiwa huna na wengine husema kabisa usisubie mpaka mambo yakawa mabaya sana, Maneno ya Mungu 👉🏽Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Kwa ufupi ili kuepuka tabia zote chafu zisizompendeza Mungu na hata katika jamii sio nzur na tabia nyengine za sirini, Tunapaswa kujiuliza swali hili 👉🏽Kwanini tupo duniani? Lengo kubwa hasa la Mungu kutuumba ni nini? kwanini Ametuumba na kutuwekea pepo na moto? MAJIBU: Tupo duniani kwasababu ya Mungu na sio mali au watoto au wazazi wetu. Lengo kubwa la Mungu kutuumba: ni kwasababu anataka Tumuabudu yeye tu. Sio mti sanamu jua wala mizimu. Ametuwekea pepo na moto kwasababu ametupa makatazo kupitia kwenye Amri zake kuu yapi tunatakiwa kufanya na yapi hatupaswi kufanya chaguo ni letu, kwahiyo kila tunachofanya hapa duniani ni sisi ndio tunachagua. Tuwe na hofu ya Mungu kwa vitendo ndio njia pekee ya kuepuka kila lililo ovu.
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 2 года назад
Pam anza na kukubali ukweli, ukielekeza lawama kwa mtu, kwamba amekuingiza kwenye dawa utakua bado unaukimbia ukweli, Hatua ya kwanza ya kupona addiction ni kukubali uliingia mwenyewe kwenye madawa
@mwanaishazain7985
@mwanaishazain7985 2 года назад
Hakika huyu alitaka mwenyewe. Asilaumu mtu yeye hakubali alikosea narudi nyuma ajisafishe
@khadijamasoud3936
@khadijamasoud3936 2 года назад
Nakweli kabsa
@leokamil6284
@leokamil6284 2 года назад
@@mwanaishazain7985 Nani mbaya sana mtu kukataa ukweli mtu akitaka kupona ni lazima ajikubali na kukubali ukweli. Shida ya huyu Dada anajua sana si rahisi kubadilika kwa kuwa anajiona anajua sana fikiria mda wote yeye anaongea tu kujisifu haoni anashida. Mungu amsaidie
@treasurerussel3422
@treasurerussel3422 12 дней назад
Whitney alikua role model wako nae alikua anavuta madawa ya kulevya
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 2 года назад
Napata shida Naona Kama Mama alijua anavuta Ila alikuwa anajaribu na gari likawaka mazima
@leokamil6284
@leokamil6284 2 года назад
Too much know hufanya watu kujaribu vitu Mungu tusaidie sana afadhali kuwa mshamba kuliko kujifanya mjuaji
@khadijakheir9323
@khadijakheir9323 2 года назад
Walai mitihani mola atamfanyia wepesi
@mariamhannif313
@mariamhannif313 2 года назад
Unajuwaaa kuhielezaaa mashallah unakipaji dada
@saidhassan6547
@saidhassan6547 2 года назад
Mungu atakupitisha my smart aunt pam
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 2 года назад
She is clever huyu mama mola amfanyie wepesi awache hii drugs
@Mku-wa-waku1
@Mku-wa-waku1 2 года назад
Mama mungu azidi kuku simamia, azidi kukupa nguvu mama. Amen Amen
@shaphiasabani5760
@shaphiasabani5760 2 года назад
Mama samia anatoa nguvu au?
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 года назад
Amin
@rayahamisi118
@rayahamisi118 5 месяцев назад
Sio makosa yako😊
@frankmsaki62
@frankmsaki62 2 года назад
Lnamkumbuka huyy dada alitamba sana ITV kipind kile nimesahau nyimbo zake mungu amjalie
@nadiaally9022
@nadiaally9022 2 года назад
Nadhani atakuwa Pamela aliyekuwa anaimbia band ya Mawingu na Othman Njaidi.
@khdigahk4246
@khdigahk4246 2 года назад
Daah maskini
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 2 года назад
Ana sauti nzuri, very sexy 😍
@fetychina3273
@fetychina3273 2 года назад
Mungu atakutoa kwenye huu mtihani mama yangu🙏🙏🙏
@aishaomary7984
@aishaomary7984 2 года назад
Mungu mlinde huyu dada
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 года назад
mtangazaji mashallah umevaa vizuri sn Allah azidi.kukuhifadhi na vazi lako hilo na pia watumiaji wa dawa za kulevya Allah azidi kuwaongoza na kuwatoa ktk hilo janga la dunia
@omanigaming6430
@omanigaming6430 2 года назад
Mungu atustiri na vizazi vyetu
@georgenyoni9879
@georgenyoni9879 Год назад
Daa pam ,oyaa msela oya yule dada pekee maiaka ya 90 kwenye Ile video
@sekilonge
@sekilonge 2 года назад
I miss her,am so happy kumskia..mekumbuka mbali nkiwa nae alikua ananifundisha mengi Sana mtaani..kuna siku nlikua na changamoto kubwa Sana Dada alinipa courage Sana..May God grant her serenity to accept things she can change and courage to change things she can and wisdom to know the difference..stay clean and keep coming back Dada..we do recover🤗❤️
@ernestoemiliotomas8830
@ernestoemiliotomas8830 2 года назад
Uyu mama Pam namonea uluma sana
@lucyheigre1974
@lucyheigre1974 2 года назад
Kipindi kizuri saaana,lakini punguzeni background music is soo loud
@sharifajuma596
@sharifajuma596 2 года назад
Jmn hii hali nisikie tu dawa za kulevya ni hatar mimi niliolewa na mtu mweny matumizi ila nilikuw very strong sikujaribu hata kunusa
@noreenrowland6063
@noreenrowland6063 Год назад
Wewe jaman ukawezaje ?!
@fetychina3273
@fetychina3273 2 года назад
Hii kitu ni mbaya yani ukitumia lazima ubadirike hauwezi kuonekana sawa sauti afya japo mama ananijelewa lkn inakubadirisha tu tumuombe Mungu atuepushe na aepushe vizazi vyetu🙏🙏
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 года назад
Hao wanaotumia dawa za kulevya wanapoteza mawazo tatizo ndiyo hivyo mm sihitaji mashaka hayo hata mtu anavyuta singara hatueliwani
@happynelson1136
@happynelson1136 2 года назад
Huyo mama siyo faiza
@pamymasha8171
@pamymasha8171 2 года назад
Daaa so sad aisee😔😰
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 2 года назад
Ww dada yetu pili ni mdogo sana mwili tu jamani 🤲🤲
@saudambinga3832
@saudambinga3832 2 года назад
Asaidiediwe uyo mama jamani
@rahimumlulu9023
@rahimumlulu9023 2 года назад
Tafiti zinatuonyesha kuwa watu walio kulia mazingira yenye stress utotoni ni sababu kubwa ya wao kujiingiza katika madawa ya kulevya. na hata wanapopata stress ukubwani hujiingiza katika vilevi na uvutaji. Muyu mama anatumia sigara kama tranquilizer na kitu cha kujifariji. Wengi wa waathirika wa madawa ni wahanga wa malezi ya utotoni. na stress za ukubwani.
@leokamil6284
@leokamil6284 2 года назад
Sio kweli kwani ingekuwa watu wanaopitia shida utotoni ndio uharibikiwa ingekuwa wengi kweli .Mimi nadhani kuiga ndio moja wapo na kushindwa kujizuia endapo marafiki watamuofa mtu kitu ambacho hakijui madhara yake.Kuna kitu kile cha kutaka kuonekana mjuaji mbele za marafiki hiyo hugharamia watu big time .
@khadijauvuruge9700
@khadijauvuruge9700 2 года назад
Uyu mama pia katangaza tangazo la sabuni za kodray tangazo la zamani sabuni kodrai sabuni kodrai
@lucypeter6477
@lucypeter6477 2 года назад
Daaah Huyu mama So Sad😭😭😭😭 Huyu dada Kaniuma jamaniii nina Ndugu zangu wengi walienda Nje Mwisho wa Siku wemeishia Kula Unga Tu na Kufariki na wizi juu london imewaharibu kabisa🥺🥺🥺🙌🏾
@arafakiloli749
@arafakiloli749 2 года назад
Pole sana jamani
@ukhtyrayyan7884
@ukhtyrayyan7884 2 года назад
Huko walipojiweka ndo yakayakimbuka. Mie nipo mwaka wa 20 natupo nawatu namihadhara mashaAllah naharakati zadini yetu sijavutapo hata sigara
@lucypeter6477
@lucypeter6477 2 года назад
@@arafakiloli749 Yaani Acha Tu maisha Haya Unga Sio kabisa Nilikua Baba Angu mdogo Akiacha Anakua Very smart, akianza Tu kula Unga Anakua Kama mwehu mara Aibe mara Auze nguo zake Alishafariki hana Mtoto wala Familia😭😭 Kujukuna Sasa Miguu Sijui ndii Alosto🥺🥺🙌🏾🙌🏾
@lucypeter6477
@lucypeter6477 2 года назад
@@ukhtyrayyan7884 Kherii yenu Labda Na Cilcle ya Watu ulionao tu wengine Ndio maisha Huwa Yana haribikia Humo humo🤦🏽‍♀️
@kadaawizaa5588
@kadaawizaa5588 2 года назад
Only God knows.. Maa. Kupotea jia dio chazo Chakufahamu unako kweda ..
@janelucas9616
@janelucas9616 2 года назад
Kimombo kimo
@rahimumlulu9023
@rahimumlulu9023 2 года назад
marafiki na hata watu wanaotuzunguka wanaamsha tu mzimu ulio lala ila tayari wana sababu za kutumia madawa ama vilevi.
@happynelson1136
@happynelson1136 2 года назад
Faiza huyo
@laylatabdallah2796
@laylatabdallah2796 2 года назад
Mbn hamtuoneshi sura
@queenandchill91
@queenandchill91 2 года назад
Nilitaka kushangaa Pam Daffa ...Pam D ndo kawa hivi?????? Duh ningezimia kabisa leo😳
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 года назад
Heee mtihani huo vuta tena vizur sana unapunguza mawazo bass
@mbuyancholla2852
@mbuyancholla2852 2 года назад
Jamani huyumama bàdo yupo mungu mkubwa
@khadijakheir9323
@khadijakheir9323 2 года назад
Nani huyu
@nadiaally9022
@nadiaally9022 2 года назад
Masikini Pamela alikuwa muimbaji wa mawingu.band, wimbo MSELA aliimba chorus. Akiwa na Othman Njaidi. Mungu.mpe uponyaji.
@abasiviguro3567
@abasiviguro3567 2 года назад
Jamani Pam d au huyu ni mwingine
@engzuberir.akilenza1764
@engzuberir.akilenza1764 2 года назад
Huyu mama ni muongo na watoto wake wasipotumia akili zao wakafuata porojo za huyu mama watamchukia bila sababu baba yao. Hilo tumbo tayari ishakuwa tatizo na haya mambo ndiyo yanatuharibia Dunia mambo ya single mother, madawa ya kulevya. Hovyo Sana.
@theluckfamily4711
@theluckfamily4711 2 года назад
Wew ulikuepo unayajua maisha ya usanii mbona una hukumu bila kujua Muombee na uombee familia ako Kama hayajakukuta utaropoka Ila usiombe
@theluckfamily4711
@theluckfamily4711 2 года назад
Unaleta u engineer kwenye maisha mshukuru MUNGU ajakupitisha kwa ilo
@zainabmbarak1043
@zainabmbarak1043 2 года назад
Alikuwa anauza aidia ila rz hata mtu ukimpa aidia hajali anaona kawaida tu
@halimajaphet8926
@halimajaphet8926 2 года назад
Da pili nina ndugu zangu wameadhirika na pombe mpaka wanalala nje wako ubungo msewe unanisaidiaje dada yangu
@soberhousetv2245
@soberhousetv2245 2 года назад
0715744464
@saeaaa8571
@saeaaa8571 2 года назад
@@soberhousetv2245 hiv kam mtu anakunywa tu pbe kupitiliza ila havuti madawa naye mnaweza msaidia akaacha jaman.. Nina kaka yang jmn ana akil San n ni mwandishi w habar mzur sana lkn pombe jmn imefukuzisha kazi naumia mm n hasa nikiwaz a wale watt alionao achen tu
@soberhousetv2245
@soberhousetv2245 2 года назад
Ndio wa pombe anasaidiwa pia
@saeaaa8571
@saeaaa8571 2 года назад
@@soberhousetv2245 aisee ngoja tufany mpango aje maan jmn kachakaa sbb y pombe... Hamuheshim mama ake hat kidog yan akilew anamaneno machafu mno.. Ana wtt wana akil San n yey ndiy tegemeo lao lkn pombe zimemharib vibaya mno
@tranchescoanthony2509
@tranchescoanthony2509 2 года назад
Kwakweli addiction ya pombe ni janga kubwa sana,,,,mpaka mm nimeamua nihamie nchi za kimsimamo wa kiislam ambako pombo huwezi kupata,,,pole sana ila ndugu zako wataokolewa kwa neema,,,,watu wanasema shetani anaishi kuzimu lakini ukweli ni kwamba shetani anamaisha imara kwenye kwenye pombe,,sigara na dawa za kulevya,,aminini hivo ndugu zangu
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 2 года назад
Huyu ndo pam d et??
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jaman wewe loh
@happynelson1136
@happynelson1136 2 года назад
Msilize dalslam stant up chid benz
@halimajaphet8926
@halimajaphet8926 2 года назад
Da pili naomba namba yako unayo tumia whasp
@soberhousetv2245
@soberhousetv2245 2 года назад
0715744464
@nickolatharwelamila776
@nickolatharwelamila776 2 года назад
@@soberhousetv2245 Mungu akutunze my dada
Далее
Athari ya mihadarati
2:34
Просмотров 19 тыс.
Simple Flower Syrup @SpicyMoustache
00:32
Просмотров 2 млн
MADAWA YA KULEVYA NA MADHARA YAKE.
17:47
Просмотров 4,6 тыс.