Dada Pam apate msaada kweli kwa sababu ana elimu nzuri nina imani atakuwa mtu wa muhimu sana kwa jami INSHAALLAH 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyu mama nimempenda bure... Ana akili mno.. Tunamuombea heri awe Sawa.. Maisha ni changamoto.. Tunapitia vitu vingi Sana. Ila pia nimejifunza kitu kikubwa Sana kutoka kwake.. Dada pili tunakupenda Sana Sana.. Natamani kufanya kazi nawe.. Be blessed
Mungu akusaidiye Sister...yuko very educated. Huyo Mume alikuwa hasidi sana kwako...Daa kweli WaTanzania wamelala sana....kila kitu mnacho lakini mpaka sasa hivi Wananchi wanaishi maisha ya TABU....SISTER nimekipenda sana..
Subuhanallaha yarabi tunusuru sisi na wazazi wetu piya wanusuru watoto wetu kwani huuuu ni msiba mzito inasikitisha sana hongera dapili mungu akuhifadhi na mitihani yote yaduniya. Unapo vaaaa hivo dada unazidi kupendeza mashallah
Ukiwa huna stress ukimbilie bar au starehe au usahau kama Mungu yupo, ushauri wako ni sifuri kabisa, na wengi hupotoshwa na hata so called manabii fulani wenye makanisa yao hapa duniani na maaskofu na wachungaji ndio wanawaambia waumini wao maneno hayo ukiwa na stress basi kimbilio ni ibada je ukiwa huna na wengine husema kabisa usisubie mpaka mambo yakawa mabaya sana, Maneno ya Mungu 👉🏽Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Kwa ufupi ili kuepuka tabia zote chafu zisizompendeza Mungu na hata katika jamii sio nzur na tabia nyengine za sirini, Tunapaswa kujiuliza swali hili 👉🏽Kwanini tupo duniani? Lengo kubwa hasa la Mungu kutuumba ni nini? kwanini Ametuumba na kutuwekea pepo na moto? MAJIBU: Tupo duniani kwasababu ya Mungu na sio mali au watoto au wazazi wetu. Lengo kubwa la Mungu kutuumba: ni kwasababu anataka Tumuabudu yeye tu. Sio mti sanamu jua wala mizimu. Ametuwekea pepo na moto kwasababu ametupa makatazo kupitia kwenye Amri zake kuu yapi tunatakiwa kufanya na yapi hatupaswi kufanya chaguo ni letu, kwahiyo kila tunachofanya hapa duniani ni sisi ndio tunachagua. Tuwe na hofu ya Mungu kwa vitendo ndio njia pekee ya kuepuka kila lililo ovu.
Pam anza na kukubali ukweli, ukielekeza lawama kwa mtu, kwamba amekuingiza kwenye dawa utakua bado unaukimbia ukweli, Hatua ya kwanza ya kupona addiction ni kukubali uliingia mwenyewe kwenye madawa
@@mwanaishazain7985 Nani mbaya sana mtu kukataa ukweli mtu akitaka kupona ni lazima ajikubali na kukubali ukweli. Shida ya huyu Dada anajua sana si rahisi kubadilika kwa kuwa anajiona anajua sana fikiria mda wote yeye anaongea tu kujisifu haoni anashida. Mungu amsaidie
mtangazaji mashallah umevaa vizuri sn Allah azidi.kukuhifadhi na vazi lako hilo na pia watumiaji wa dawa za kulevya Allah azidi kuwaongoza na kuwatoa ktk hilo janga la dunia
I miss her,am so happy kumskia..mekumbuka mbali nkiwa nae alikua ananifundisha mengi Sana mtaani..kuna siku nlikua na changamoto kubwa Sana Dada alinipa courage Sana..May God grant her serenity to accept things she can change and courage to change things she can and wisdom to know the difference..stay clean and keep coming back Dada..we do recover🤗❤️
Hii kitu ni mbaya yani ukitumia lazima ubadirike hauwezi kuonekana sawa sauti afya japo mama ananijelewa lkn inakubadirisha tu tumuombe Mungu atuepushe na aepushe vizazi vyetu🙏🙏
Tafiti zinatuonyesha kuwa watu walio kulia mazingira yenye stress utotoni ni sababu kubwa ya wao kujiingiza katika madawa ya kulevya. na hata wanapopata stress ukubwani hujiingiza katika vilevi na uvutaji. Muyu mama anatumia sigara kama tranquilizer na kitu cha kujifariji. Wengi wa waathirika wa madawa ni wahanga wa malezi ya utotoni. na stress za ukubwani.
Sio kweli kwani ingekuwa watu wanaopitia shida utotoni ndio uharibikiwa ingekuwa wengi kweli .Mimi nadhani kuiga ndio moja wapo na kushindwa kujizuia endapo marafiki watamuofa mtu kitu ambacho hakijui madhara yake.Kuna kitu kile cha kutaka kuonekana mjuaji mbele za marafiki hiyo hugharamia watu big time .
Daaah Huyu mama So Sad😭😭😭😭 Huyu dada Kaniuma jamaniii nina Ndugu zangu wengi walienda Nje Mwisho wa Siku wemeishia Kula Unga Tu na Kufariki na wizi juu london imewaharibu kabisa🥺🥺🥺🙌🏾
@@arafakiloli749 Yaani Acha Tu maisha Haya Unga Sio kabisa Nilikua Baba Angu mdogo Akiacha Anakua Very smart, akianza Tu kula Unga Anakua Kama mwehu mara Aibe mara Auze nguo zake Alishafariki hana Mtoto wala Familia😭😭 Kujukuna Sasa Miguu Sijui ndii Alosto🥺🥺🙌🏾🙌🏾
Huyu mama ni muongo na watoto wake wasipotumia akili zao wakafuata porojo za huyu mama watamchukia bila sababu baba yao. Hilo tumbo tayari ishakuwa tatizo na haya mambo ndiyo yanatuharibia Dunia mambo ya single mother, madawa ya kulevya. Hovyo Sana.
@@soberhousetv2245 hiv kam mtu anakunywa tu pbe kupitiliza ila havuti madawa naye mnaweza msaidia akaacha jaman.. Nina kaka yang jmn ana akil San n ni mwandishi w habar mzur sana lkn pombe jmn imefukuzisha kazi naumia mm n hasa nikiwaz a wale watt alionao achen tu
@@soberhousetv2245 aisee ngoja tufany mpango aje maan jmn kachakaa sbb y pombe... Hamuheshim mama ake hat kidog yan akilew anamaneno machafu mno.. Ana wtt wana akil San n yey ndiy tegemeo lao lkn pombe zimemharib vibaya mno
Kwakweli addiction ya pombe ni janga kubwa sana,,,,mpaka mm nimeamua nihamie nchi za kimsimamo wa kiislam ambako pombo huwezi kupata,,,pole sana ila ndugu zako wataokolewa kwa neema,,,,watu wanasema shetani anaishi kuzimu lakini ukweli ni kwamba shetani anamaisha imara kwenye kwenye pombe,,sigara na dawa za kulevya,,aminini hivo ndugu zangu