hasanaat bhana ngojea nikupe kitu kwa ufupi Katika maisha yako ujue kuwa kuna side mbili know by u and knowing by others apo yy kwajinsi nilivyo muelewa mm ametumia KNOWING BY OTHERS Yan ivyo kwayeye haina effect kwasababu ya business umenisoma adi apo ..?
Nilichogundua Esha masikini Hajui kuongea anaongelea mambo yake ya nyumbani kuliko ya Ofis😱 dereva Naomba tukifika Igunga nishushe Ninunue Juice tafadhari👌
Umetoka kufanyiwa operation kubwa. Tafadhali sana tena sana zingatia ushauri wa dakitari wako. Afya yako ikiwa nzuri ndiyo msingi mkubwa sana wa wewe kufanya shughuli zako. Take care about your health yourself. ❤
Anafunguka sana mambo binafsi kuliko kupromote biashara yake...nimemsikia zaidi mume kuliko biashara yake mpaka nimehisi kuna chakula kinaitwa 'Mume bufee'
Sasa maneno yote yanini? Kuhusu kukupa hela yake usajili? Alafu sijui amekupa kiasi kikubwa!!! Ili watu wamjue anapesa ? Wakati mpira wabongo hauna hela hivyo wachezaji wangepuga makelele ? Alafu team yenyewe basi anayochezea huyu kweli Esha kichwa matope
Mwanamke wa Kiswahili , huyo mwanaume ni zuzu biashara yote jina la mwanamke na mshahara wote mwanamke anapokea, hao wanawake wa Kiswahili ni kama kunguru hawafugiki si tumeona hata wapewe nili uwa ni wasaliti tu
Kake hamadi kapiti pagumu Sana ...ila nikushauri tu .....achana na hao wakwe unaowaita baba na mama .... Utakuja kunishukuru baadae ...hao sio wazazi wako acha ujinga ..wewe ni mtu mzima then acha kua muwazi kwa Kila mtu .. 😢😢😢 natamani nikutane na wewe nikushauri zaidi....
Usipotoshe wache.ardhi is a very fantastic investment and it's appreciate.biashara sio mbaya lkn ikifilisika ndio umeisha.kwaio biashara and properties usijivunie kupanga nyumba ilhali Una watoto.faida ya biashara kuilipia rent ndio kufanikiwa.nyinyi wasanii mnapotosha watu sana
Ushamba uliopitiliza, alafu bado hajajua kuchuja maneno ya kuzungumza ktk sehemu kama hizi. Aisee shule inasaidia sana. Mambo ya afya yake,pamoja na mambo ya ndani kwake hayakupaswa kuyaweka hapo. Angedeal na mambo ya biashara tu
Tatizo uwaga awamtembelei akaeleza mambo yake l kwahyo hapo ndo kapata pa kueleza baada y kutangaza biashara anaongea n mengine. Ili watu wajue anapendwa kapata sehemu ya maana hzo ndo tabia zetu z uswahilin mtu akimpata bwana w kumpa vocha z 2000 na alikua ajapata bas akipata hyo vocha aitoki kinywani 🤣🤣🤣
We nae mchawi tu umejuaje kama shishi mchawi? Dah ina watu wengii umeona shishi tu mmhh toa chuki zako at tutamuombea 😏we mwenyew umeahindwa kujiombea mambo yako ya mwingine utaweza puuhh
We ndio mchawi mwenyewe , watu mnamatatizo Gani? Bila kuwafurahia wanawake wenzenu na kuwafunga mkono ,mmejaa wivu wa kijinga na fikra za kimasikini, Kila Mmoja ana riziki yake shishi anapata yake Kwa kile anachokifanya na Esha nae anapata yake , pole wewe maskini mwenye mawazo ya kichawi ,wenzeo Wanamake maisha hapo
Wewe esha fahamu wanaosikiliza baadhi ni watu wa afya, huwezi kupelekwa op na damu tatu. May be una matatizo ya kusahau. Alafu acha kuweka mambo yako ya ndani adharani, Tena unatangaza na afya yako sidhani kama kulikuwa na haja ya kuongea hayo yote.
Yaani mshukuru sana Mungu kama alikupa akili. Huyo mchezaji ni mpumbavu wanawake wenyewe wa kiswahili hawa, mwanamke wa mjini aliolewa na kuachika, then ni stupidity eti biashara yote ameandika jina lake hela yote umempa hadi mshahara wako ana umanage mwanamke wa kiswahili 😢, kuna Leo na kesho angeandika jina lake kama a share holder kwenye hiyo biashara
@@diyembarak5506 upumbavu mtupu huo nani asiyejua wanawake wa Kiswahili hao eti biashara yote jina lake na unampa mshahara wako , huyo zuzu siku atakuja kulia , si tumeona kwa Haji manara wanawake wa Kiswahili
Mtangazaji unaudhi sana, keshakwambia asingependa kutaja kiasi alichopewa na mumewe, ila bado unaendelea kuuliza eti inazidi mil. 10 for what? Mbaya zaidi unaenda mbele unauliza kwa mwezi anapokea sh ngap huyo mme wake. Unatia aibu tasnia yako