Тёмный

CHIMBO JIPYA LA ESHA BUHETI ALILOWEKEZA MAMILIONI YA PESA ZA MUMEWE, ASIMULIA MAGUMU ALIYOPITIA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 78 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 169   
@queenlinda255
@queenlinda255 Год назад
Pazuri sana but usiongee vitu vyako vya ndani sana
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Год назад
Wallah ofisi ni nzuri dahhh oesa uko wapi wanawake wenzetu mnaweza
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 Год назад
Pazuri sana Masha'Allah Napenda vitu kama hivi ukipata fulsa itumie kikamilifu.
@merinakassembe4251
@merinakassembe4251 Год назад
Sijafika hapo lakini aiseechapati hukutakakuzijua sichambuke bwana first klass kwa chapati Ongera sana 🙏🙏🙏🙏👌👌👌👌👌👌👌
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 Год назад
Pole esha❤❤❤ALLAH AKUFANYIE WEPESI
@abedmzungu9057
@abedmzungu9057 Год назад
hongera mdogo wangu mungu akufanyie wepesi kaka yako abedi hoza mzungu
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Год назад
Mwenyezi akusimamie na akulinde na kila balaa ktk biashara yako, akujaalie uzidi kufanikiwa ktk miradi yako
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo Месяц назад
Ma sha allah
@messaabbas739
@messaabbas739 Год назад
MaashaaAllah ❤❤❤❤❤
@karimjuma4019
@karimjuma4019 Год назад
Ameweza hongera sana dada
@emanuelmbise2348
@emanuelmbise2348 Год назад
Wow good place to be,,staff wamependeza sana infact pako poa
@ZaitunOmar-w3t
@ZaitunOmar-w3t 2 месяца назад
Hongera dada mungu akulinde
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 Год назад
Masha Allah mama asha mungu akupe uvumilivu na akuepushie na vijicho vya hasada za binaadamu
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Год назад
MashaAllah
@helenkambi3918
@helenkambi3918 Год назад
Love you sana Esha Buheti
@mariamanzazi2696
@mariamanzazi2696 Год назад
Congratulations dada Esha
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Год назад
Mashallah lakini Acha kuweka Sana wazi kuepuka husda na hongera kwa kuwapa vijana kazi
@sakinaomary7207
@sakinaomary7207 Год назад
ana tangaza biashara
@johanesnixon5473
@johanesnixon5473 Год назад
Moja ya ten peks za interprener ni advatice ment chukua iyo ishi nao
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Год назад
@@johanesnixon5473 yap but siyo.kuweka waz everything
@johanesnixon5473
@johanesnixon5473 Год назад
hasanaat bhana ngojea nikupe kitu kwa ufupi Katika maisha yako ujue kuwa kuna side mbili know by u and knowing by others apo yy kwajinsi nilivyo muelewa mm ametumia KNOWING BY OTHERS Yan ivyo kwayeye haina effect kwasababu ya business umenisoma adi apo ..?
@MadinaHusseinramadhani
@MadinaHusseinramadhani Месяц назад
hongera sana
@lulugama1547
@lulugama1547 Год назад
Super woman ❤❤
@euniceodegea9180
@euniceodegea9180 Год назад
Esha I love ya my sister because of Allah
@edinamwanasenga1584
@edinamwanasenga1584 Год назад
Mungu akubari sanaa nimependa ❤❤❤
@ekkymumba8566
@ekkymumba8566 Год назад
Nilichogundua Esha masikini Hajui kuongea anaongelea mambo yake ya nyumbani kuliko ya Ofis😱 dereva Naomba tukifika Igunga nishushe Ninunue Juice tafadhari👌
@HidayaKarim-wy9yc
@HidayaKarim-wy9yc Год назад
Nakupenda sana 🥰🥰🥰
@marrypius576
@marrypius576 Год назад
Yan navyopenda kula vizuri lazim nikutafut 😋😋🍛🍛
@beatricefredilick1646
@beatricefredilick1646 Год назад
Sasa hapo unatangaza maisha yako au biashara
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Wowow hongera sana mama wawili 😘🙏🏿pazuri sana
@furahasarakikya3223
@furahasarakikya3223 Год назад
Mume Wangu mume wangu.. duh too much 😢
@roseeuphrase3853
@roseeuphrase3853 Год назад
Pole sana na kuumwa pamoja na majukumu ya kila siku.
@salamamohamed843
@salamamohamed843 Год назад
Hongera sana,but angalia na afya yko maana Hadi mwili umenisisimka ulivyo drive Hadi Tanga ndani ya mwez mmoja tokea op
@mosesnyamhanga449
@mosesnyamhanga449 Год назад
Hii tz me s Hami huu uongo tu! mshahara?
@JokhaJokhaabla
@JokhaJokhaabla Год назад
Sindano unaweza kukaa Ata miaka zinauma mm nishafanya oparatio 3 za kizazi sindano uzizoee
@fatnashemliwa-jq9ez
@fatnashemliwa-jq9ez Год назад
Nice
@roseeuphrase3853
@roseeuphrase3853 Год назад
Umetoka kufanyiwa operation kubwa. Tafadhali sana tena sana zingatia ushauri wa dakitari wako. Afya yako ikiwa nzuri ndiyo msingi mkubwa sana wa wewe kufanya shughuli zako. Take care about your health yourself. ❤
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 Год назад
Opareshen ya nn dada?
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 Год назад
Waouh
@philipomussa
@philipomussa Год назад
Mpambanaji 💪🏿💪🏿
@Kibaadvocate
@Kibaadvocate Год назад
Melezo ya mume wangu yamezidi shoga yanguuuuu
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 Год назад
Nafikiri huyu dada sababu mama hana na baba hamjui mume ndio kila kitu
@farijanibakari9018
@farijanibakari9018 Год назад
Safi sana
@siriyangu4724
@siriyangu4724 Год назад
Mashallah da esha lkn angalia afya wko kwanza
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 Год назад
Mna_pesa_wenzetu_uma_SIKINI_Huu_wenzetu_mna_shika_Mamilion_kila_kukicha
@sidikassim6759
@sidikassim6759 Год назад
Da esha nakpnda snaa tngu upo uigzaji alfu jina kma la ddangu wa damu esha lkin kwnin usiach kuza pombe ddangu itkuvnjia rizki we ni muslimu dda
@zuhuraRamadhanl-dz7tl
@zuhuraRamadhanl-dz7tl Год назад
Umejitahidi sana
@LailaLaila-kg2qd
@LailaLaila-kg2qd Год назад
Hongera sana ila kiwanja pia ni kizur sana kuwekeza
@championtop2
@championtop2 Год назад
Mtu anayefanyiwa interview mda wote haonekani! Upuuzi
@merinakassembe4251
@merinakassembe4251 Год назад
Hingefahren sana l proud of you
@mwalitv4555
@mwalitv4555 Год назад
Anafunguka sana mambo binafsi kuliko kupromote biashara yake...nimemsikia zaidi mume kuliko biashara yake mpaka nimehisi kuna chakula kinaitwa 'Mume bufee'
@awadhisarai4331
@awadhisarai4331 Год назад
Husimlaumu sana cozy mtangazaji ndio yuamuliza maswali
@faithlucas1723
@faithlucas1723 Год назад
😆😆😆😆😆umenichekesha ,
@rezegerezege691
@rezegerezege691 Год назад
😂 😂 😂 nimecheka kama Mazuri
@haruniaisha5905
@haruniaisha5905 Год назад
Yaaani hawa wasaniniii wajinga
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Год назад
😅😅😅😅😅
@marianajoseph1892
@marianajoseph1892 Год назад
Gari sio asserts. Nyumba viwanja,
@beatricefredilick1646
@beatricefredilick1646 Год назад
Operation in mazoez Fanya zoez
@AlenKinyina
@AlenKinyina Год назад
Mwanamke shujaa
@pendomarco8928
@pendomarco8928 Год назад
Esha naomba kazi na mimi
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Год назад
Yn mnaekeza pesa nyingi sn sehemu ya niaxhara badala ungenunuwa sehemu yk na ukajenga sshemunyabiashara
@rukiamziwanda7458
@rukiamziwanda7458 Год назад
Shule muhimu sana ana mmpromot mumewe baada ya biashara
@shabanpazi531
@shabanpazi531 2 месяца назад
Sio baada ni badala
@happyfaniabatromeo8010
@happyfaniabatromeo8010 Год назад
😄😄😄Anajielezea Sana vitu vya ndani kuliko maono ya biashara yake ya chakula duuuuuh 💔🙌
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Год назад
Ukiona hivyo kuna kitu hakiko sawakwa ndoa yake
@PeninaMlay
@PeninaMlay 2 месяца назад
Ila esha unapika bhanaa
@rizoibrahimovich605
@rizoibrahimovich605 Год назад
Mi mwenyew hata sitaki kuweka hadharani vitu vyangu mengne Bora niseme na moyo wangu
@zakhiamsuya4922
@zakhiamsuya4922 Год назад
Umewwzaaa dadaaa alafu una chakula kitam balaaaa
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 Год назад
Sasa maneno yote yanini? Kuhusu kukupa hela yake usajili? Alafu sijui amekupa kiasi kikubwa!!! Ili watu wamjue anapesa ? Wakati mpira wabongo hauna hela hivyo wachezaji wangepuga makelele ? Alafu team yenyewe basi anayochezea huyu kweli Esha kichwa matope
@kazikazini1042
@kazikazini1042 Год назад
Yaani kuna tabia inakita mizizi ya kusema visivyofaa kusemwa
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Mwanamke wa Kiswahili , huyo mwanaume ni zuzu biashara yote jina la mwanamke na mshahara wote mwanamke anapokea, hao wanawake wa Kiswahili ni kama kunguru hawafugiki si tumeona hata wapewe nili uwa ni wasaliti tu
@hoseastephen4508
@hoseastephen4508 Год назад
@@kabwelasutiviraka4765 Acha wivu we naye mwanamke au?
@KatijaMaziku-x4s
@KatijaMaziku-x4s Год назад
Hana lolote Huy DD anaringa alikuja kazn kwangu alinikera anamdomo
@tynercolin5060
@tynercolin5060 Год назад
❤❤❤❤❤❤
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 Год назад
Naomba tu dada esha nkuulize, ivi mnaongeaga na shishi ww?
@yahayaally9193
@yahayaally9193 Год назад
Nimekusikiliza dada ila epukamambo binafsi kuweka hadharani sio vizuri.mambo yako ya ndani ciolazima ajue kila MTU kuwamuangalifu
@fahidashishi255
@fahidashishi255 Год назад
Basi shilole. Apo atakosaa usinhizi na lazima. Alipizrr😂
@salimmachila5736
@salimmachila5736 Год назад
Interview ya udakuudaku tu badala kuchukua nafasi kutangaza biashara yako...😂😂
@hameezhami7795
@hameezhami7795 Год назад
Kujenga ni mpango mzima .biashara ikiyumba inakuwaje
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 Год назад
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 Год назад
Ila naona hii biashara haina maisha
@ahmadimbazi5843
@ahmadimbazi5843 Год назад
Pazur mno
@saeedalyahmadi1738
@saeedalyahmadi1738 Год назад
Kiwanja kinapoteaje NA ni cha kwako😮?
@cisselamerverille5286
@cisselamerverille5286 3 месяца назад
Kake hamadi kapiti pagumu Sana ...ila nikushauri tu .....achana na hao wakwe unaowaita baba na mama .... Utakuja kunishukuru baadae ...hao sio wazazi wako acha ujinga ..wewe ni mtu mzima then acha kua muwazi kwa Kila mtu .. 😢😢😢 natamani nikutane na wewe nikushauri zaidi....
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 Год назад
Mmmm kwani esha ana mafua mda wote maana anavyovuta iyo pua
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Год назад
Huenda ana pumu hajajijua .ni pumu hiyo...anunue nasal sprayer itamsaidia sana
@rahmamct
@rahmamct Год назад
Zuchu tunajuwa anapumu jee mama yake jee na yeye anapumu
@edithaandrea4203
@edithaandrea4203 Год назад
I wish ningekueleza kariakoo kwa wanaouza dawa za uvimbe
@wishjrtz
@wishjrtz Год назад
Yani kiwanja ukadhulumiw?
@sixmundandrew381
@sixmundandrew381 Год назад
duuuhhhhhh,,,tutamtafuta baada ya miaka miwili tujue uyo mume wake anaendeleaje
@nunimwaropia3584
@nunimwaropia3584 Год назад
Usipotoshe wache.ardhi is a very fantastic investment and it's appreciate.biashara sio mbaya lkn ikifilisika ndio umeisha.kwaio biashara and properties usijivunie kupanga nyumba ilhali Una watoto.faida ya biashara kuilipia rent ndio kufanikiwa.nyinyi wasanii mnapotosha watu sana
@Officalnaph
@Officalnaph Год назад
KIWANJA KIKAZURUMIWA DUUUU
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 2 месяца назад
Huyo cjui anaongea nn mara damu 3 mara 11 mara alitoka na 6 hata haeleweki kbs
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Год назад
Kweny msos esha ni balaa
@hassankihimbi9555
@hassankihimbi9555 Год назад
Kumbe unajua eprienx ya wacheza mpira ok ok
@maisarahakizimana7074
@maisarahakizimana7074 Год назад
Kweli, nakupongeza unajitahid sana, ila unaongea sana
@lutenganolukali2122
@lutenganolukali2122 Год назад
Kila ambacho shilole anafanya nae anaiga anatembelea nyota ya shilole kwenye mambo ya ubunifu wa biashara
@oscanyakunga
@oscanyakunga Год назад
Nitakuja kukula
@shamimuomary831
@shamimuomary831 Год назад
Interviewa nzima anaongelewa mume 😂😂😂😂😂badla kupromote biashar yak
@namsifumihungo8504
@namsifumihungo8504 Год назад
Mdhamin😬😬😬
@sinawsinaw6201
@sinawsinaw6201 Год назад
Ww unaemtaja shoshinsa kusema ataloga kwanza hapo anajiloga mwenyewe maana sio kwa kujietezea,huko mmh mwache shishi kama shishi ni Jasho la mtu mmoja
@nigamo9645
@nigamo9645 Год назад
Halafu hapumziki na ikiwa ana operation na doctor kamwambia apimzike kwanza sasa ikitokea ttz lingine waseme karogwa
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 2 месяца назад
Hapo anajiloga mwenyewe maana sio Kwa kujieleza huko
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 Год назад
Ssa mmmmm kuongea kwa afya yako kwa tokea wapi
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Год назад
SASA HILO SWALI GANI HILO LA KIPATO CHA MTU
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 2 месяца назад
Mimi nadhani sio mzoefu wa interview
@beatricefredilick1646
@beatricefredilick1646 Год назад
Kiwanja pia ni muhimu nacho nunua
@merinakassembe4251
@merinakassembe4251 Год назад
Don’t talk yourself private thing s fur people Esha stop it
@alicekisanga8004
@alicekisanga8004 Год назад
Just use Swahili English is not for you 🤣 otherwise she's merely advertising her business which is very good.
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 Год назад
Esha bhana mbona km unanichochea mimi nina kahelea nataka kuongeza kiwanja sasa unataka kuniambia niwekeze kwenye biashara
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Год назад
Biashara inanafasi yake na kiwanja kinanafasi yeke
@estertiffa-ew5id
@estertiffa-ew5id Год назад
Dah ukupaswa kusem kama mumeo amekup mpk card yk umiliki mshahar
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 2 месяца назад
Ushamba uliopitiliza, alafu bado hajajua kuchuja maneno ya kuzungumza ktk sehemu kama hizi. Aisee shule inasaidia sana. Mambo ya afya yake,pamoja na mambo ya ndani kwake hayakupaswa kuyaweka hapo. Angedeal na mambo ya biashara tu
@janetahmed6948
@janetahmed6948 Год назад
dada pumzika operation ni mbaya usipade matatizo mengine
@ramadhanichuma7925
@ramadhanichuma7925 Год назад
Mswahili ni mswahili2 yani.kapata fursa ya kufanya marketing promotion yeye anafanya kazi ya kuongea person issues .shule nimuhimu sana.
@kitwanathabiti
@kitwanathabiti Год назад
Kweli kabisa hayo mambo mengine yatuusu
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 Год назад
Wewe una biashara gan
@grantjacob7821
@grantjacob7821 Год назад
Ww upo kwenye page hii kwajili ya mambo ya watu acha bwebwe
@mwalitv4555
@mwalitv4555 Год назад
Truee...
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Год назад
💯
@ashamaneno9819
@ashamaneno9819 Год назад
Tatizo uwaga awamtembelei akaeleza mambo yake l kwahyo hapo ndo kapata pa kueleza baada y kutangaza biashara anaongea n mengine. Ili watu wajue anapendwa kapata sehemu ya maana hzo ndo tabia zetu z uswahilin mtu akimpata bwana w kumpa vocha z 2000 na alikua ajapata bas akipata hyo vocha aitoki kinywani 🤣🤣🤣
@janethjonas1700
@janethjonas1700 Год назад
Shishi alivyo mchawi atamloga mtoto wa watu ila Mungu atamlinda
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Huyu anapika kuliko Shishi
@janethjonas1700
@janethjonas1700 Год назад
@@leokamil6284 ni kweli kabisa ila lile li shishi nilichawi sana tutamuombea hasadi isimpate...
@estermathias8354
@estermathias8354 Год назад
We nae mchawi tu umejuaje kama shishi mchawi? Dah ina watu wengii umeona shishi tu mmhh toa chuki zako at tutamuombea 😏we mwenyew umeahindwa kujiombea mambo yako ya mwingine utaweza puuhh
@emmadora7848
@emmadora7848 Год назад
We ndio mchawi mwenyewe , watu mnamatatizo Gani? Bila kuwafurahia wanawake wenzenu na kuwafunga mkono ,mmejaa wivu wa kijinga na fikra za kimasikini, Kila Mmoja ana riziki yake shishi anapata yake Kwa kile anachokifanya na Esha nae anapata yake , pole wewe maskini mwenye mawazo ya kichawi ,wenzeo Wanamake maisha hapo
@emmadora7848
@emmadora7848 Год назад
@@estermathias8354shangaa na wewe, wivu mwingine bana
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 2 месяца назад
Wewe esha fahamu wanaosikiliza baadhi ni watu wa afya, huwezi kupelekwa op na damu tatu. May be una matatizo ya kusahau. Alafu acha kuweka mambo yako ya ndani adharani, Tena unatangaza na afya yako sidhani kama kulikuwa na haja ya kuongea hayo yote.
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 Год назад
Esha unampenda mumeo ili upunguze kumuongelea
@alicekisanga8004
@alicekisanga8004 Год назад
She's proud of her husband, be proud too.
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Yaani mshukuru sana Mungu kama alikupa akili. Huyo mchezaji ni mpumbavu wanawake wenyewe wa kiswahili hawa, mwanamke wa mjini aliolewa na kuachika, then ni stupidity eti biashara yote ameandika jina lake hela yote umempa hadi mshahara wako ana umanage mwanamke wa kiswahili 😢, kuna Leo na kesho angeandika jina lake kama a share holder kwenye hiyo biashara
@diyembarak5506
@diyembarak5506 Год назад
Wacha roho ya korosho kama wewe huwezi wapo wanaoweza.
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
@@diyembarak5506 upumbavu mtupu huo nani asiyejua wanawake wa Kiswahili hao eti biashara yote jina lake na unampa mshahara wako , huyo zuzu siku atakuja kulia , si tumeona kwa Haji manara wanawake wa Kiswahili
@diyembarak5506
@diyembarak5506 Год назад
Mwaenzenu kanogewa mahaba tamu
@nareensaleh4957
@nareensaleh4957 Год назад
hii ndio mijanaume yenye roho za ubinafsi na roho mbaya
@lytwilliam7050
@lytwilliam7050 Год назад
achana na mapenzi ya watu. wewe ishi na mwanamke wako unavojua wewe.maisha hayafanani.
@trueexplorer894
@trueexplorer894 Год назад
Mtangazaji unaudhi sana, keshakwambia asingependa kutaja kiasi alichopewa na mumewe, ila bado unaendelea kuuliza eti inazidi mil. 10 for what? Mbaya zaidi unaenda mbele unauliza kwa mwezi anapokea sh ngap huyo mme wake. Unatia aibu tasnia yako
@happinessmtalika16
@happinessmtalika16 Год назад
Sasa unajisisifia kuhatarisha maisha Yako alaaaa.eti nimedraivu dar mpaka Tanga kidonda kibichi kisa pesa.unacheza na uhai wako we dada.
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 Год назад
Mjinga sanaa huyu
@ruthp8684
@ruthp8684 Год назад
Et Kiwanja kikizurumiwa 🙄🙄🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ZERO BRAIN
@rogathengowo1099
@rogathengowo1099 Год назад
Kwakweli hapo sijamwelewa
@ruthp8684
@ruthp8684 Год назад
@@rogathengowo1099 Umri wake na alicho ongea apo ni vitu tofauti.Ametuonesha wazi Jinsi gani Akili ake ni kisoda
@christinaonditi9341
@christinaonditi9341 Год назад
Mjinga kabisa mzuri bt like 0 brain. Unaongea ndg zake wanakusikia tayari unakaribisha vita
@wardaridhwankassim4774
@wardaridhwankassim4774 Год назад
@eshabuheti Plzplz Naomb utoe pombee Tuwe free tujee huko beleiv me..! Utapotez watejaa weeng 🥹
@athumaniferooz7790
@athumaniferooz7790 Год назад
😂😂😂😂 na akitoa natuji
@marystephen944
@marystephen944 Год назад
Kwan unaenda kunywa pombe au kula😂
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Год назад
Hebu pta hivi wanywaj tupo wengi...mtukome
@jasminshemsanga8727
@jasminshemsanga8727 Месяц назад
Mashallah
Далее