Telegram ni mtandao huru kwahiyo kama unaona kuna kitu ukiripoti hakifanyiwi kazi jua ya kwamba sio tatizo ndo maana unaona kuna uhuru mwingi na pia wazungu wanataka kuitumia kwa kupata taarifa nyingi za watu kwa sababu wanaamini ni mtandao upo huru sana
Pameanza kuchangamka wanageukana na watu maarufu na wenye hela ellon musk hawaelewi tena huyo nae tena, pia nayule mwanzilishi wa wickrics ,mabillionea wote walioko Europe wamerudi kwao china
Ningewachangia ila shida qmuongeagi siasa za tanzania uwezi kusafisha sebule ya jirani yako wakati uvunguni mwa kitanda chako kunanuka nautaki ata kujuwa nini sababu ya arufu mbaya iyo tanzania inanuka rushwa ,ufisadi,ila amtaki kuongelea au kuchunguza ndokwanza mpo busy na kumsapoti mama wa uarabuni 😂😂😂