Mkuu wa kitengo cha elimu, mafunzo na uenezi Makao Makuu ya Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, SP. Abel Swai ameeleza makosa ambayo watumiaji wa barabara huyafanya sehemu zenye pundamilia na adhabu zake.Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Madereva #zebracross #UsalamaBarabarani
5 май 2020