@@marimissa569 jamaa ni mzuri sana kuwaaminisha watu huwongo kuwa ukweli na ukweli kuwa huwongo lakini ninavyomuona hatakujakuwa kwenye siasa ndio wanatakiwa watu kama hao.
Jambo gani ni kinyume na Uislamu? Ni nani duniani anayetenda kwa kadri ya maagizo ya dini zetu? Kama umemsifu kwa jambo la kumjua Mungu unatakiwa umuombee Kwa Allah ili awe mkamilifu na siyo kumhukumu
Ni kweli mwijaku mungu akuweke miaka Kama yote unaongea ukweli tupu ee mwenyezi mungu iwezeshe ndoa ya hamonize na kajala ipite salama waondolee husuda za watu ndoa yao idumu adi umauti utakapowakuta hakuna tegemezi lingine Zaid ya wewe alah we ndio kila kitu akuna awezae Ila ni mungu pekee.
Ila kama Konde alikula mtoto wa kajala, Asingerudiana nae kabisa! Kwetu hapa bongo, Ukisha kula mama na mtoto, Ndugu yangu hio ni dhambi kubwa sana na ni kosa kubwa katka maisha yako! Unapaswa kuona aibu maisha yako yote, Kosa hili huwa halisahauliki, Vivyo hivyo halisameheki,
Kajala ht km mzee kakuzidi wewe unayejiita kijana.si tafuta kijana na wewe akuowe km ni rahisi. Nyota yake inangaa usimuonee gele.mbona hajakuona wewe mshamba.uzee mwisho chalinze
Kumbe wew mwijaku hunga akilo sasa kinacho kuliza nn kwana kilamtu na diniyake ulikuepo sasa mbona tangu mwanzo mbona hujamsaidia umeka kazi usaliti tookazako uko mmnafik mkwabwa ww
Magumu gani sasa Mbona hungemtoa wewe, Acha kiki zisizo za kimsingi, ukweli ni, mondi kamtoa plus kampa jina...Kama mlikuwa mnamjua before kwa nini hamkumsaidia atoke...Saa hii ndiyo mnaona kateswa.Jamaa kapewa maisha kule mfano tu mnavyo mpa ibraa.Acheni kujifanya hamjui jinsi chibu alivyopambana kumtoa huyo panya. Manina zenu.
Mwijaku mwigizaji kweli kweli anaweza lazima uchawa uonekane apo yaani MTU anapata mapenzi wewe unalia pole DC WA konde boy yaani ukweli ukisemwa mchungu