NIKIMKOSEA MUNGU NTAPATA STRESS... Bilashaka binaadamu wengi huwa tunaropoka maneno yasiyokuwa ktk matendo yetu. Kitendo cha kujiona uposawa haliyakuwa hauposawa na hautaki kuonekana hauposawa ni hatari. Bora angekuwa haongelei mambo ya Mungu kungekuwa na nafuu ya watu kumpa nasaha au yeye kujishtukia. Lakini kujifanya unajuwa wakati unakosea....😢