Тёмный

KUSHINDA ROHO YA USINGIZI NA UZITO || PASTOR GEORGE MUKABWA 

Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Подписаться 77 тыс.
Просмотров 119 тыс.
50% 1

#jrcchurch #jrctz #Tanzania
Jesus Restoration Center ni kanisa liliopo Mwanza, Tanzania (Kirumba Polisi Mwisho wa Lami) Likiongozwa na Pastor George Mukabwa.
Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa
Gospel Teachings for soul winning Purpose.

Кино

Опубликовано:

 

30 авг 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 242   
@user-ph2vj3qw8p
@user-ph2vj3qw8p 7 месяцев назад
Hawwa ndio waubiri wa ukweli wazidishiwe kipawa na MUNGU zaidi
@everlynecheposera
@everlynecheposera 2 месяца назад
Bwana asifiwe pastor,,nabarikiwa sana,, from Kenya ,westpokot county
@RizikiRiziki-qb4iz
@RizikiRiziki-qb4iz 2 месяца назад
Bwana yesu asifiwe pst George, mafundisho yako yananibariki sana yananiongeza hatuwa moja baada ya nyingine.
@Ambwene
@Ambwene 2 месяца назад
Nipo south Africa 🇿🇦 toka nianze kumfatilia pastor George nimebadilika saana
@IssaKoloba
@IssaKoloba 2 дня назад
Baba Mungu mkumbuke mtumishi wako huyu na uzidi mpa,maarifa
@evamusuruve3196
@evamusuruve3196 11 месяцев назад
Amen ,Mimi nahishi tu kwa NEEMA tu ya Mungu ,kama sio huyu YESU 😭😭 sijui ningelikuwa wapi ,, Glory Glory be to God ,,niniti Nguvu mungu wangu Ili nikutumikie nyakati zino za mwisho ,,natamani moyo wangu uwe na KIU ya NENO lako Eeee MUNGU wangu😭😭
@brysonkaaya5151
@brysonkaaya5151 10 месяцев назад
Asante pasta kwa mafundisho mazuri mungu akubariki
@HendricaAjiambo
@HendricaAjiambo 28 дней назад
Nashukuru kwa neema ya mungu amenipa siku ya leo aninunganishe na ushirika wa roho mtakatifu pamoja nanyi kwa jina la yesu krito mkombozi wetu Emen emen 🙏🙏🙏 mungu wa amani akulinde akupiganie kila wakati
@wilfredluhwago9246
@wilfredluhwago9246 37 минут назад
Hallelujah God bless you pastor George
@PangaSelina
@PangaSelina 23 дня назад
Pastor George, Nabarikiwa na mafunfisho yako Sana, kupitia mafundisho yako Kuna mahali nimetoka Mungu akubariki Sana, np Arusha
@monicahmwalozi
@monicahmwalozi 11 месяцев назад
😭😭😭🙌🙌Mimi hata sijui asingelikuwa huyu Mungu kunitetea kwa mkono wake wa nguvu adui angelinimaliza nasema tena ASANTE YESU 🙏🙏
@Luciannjevusia
@Luciannjevusia 2 месяца назад
Amen 🙏 🙏 🙏 from kenya you are a blessing to many 🙏people
@user-ye6qh8lo4e
@user-ye6qh8lo4e Месяц назад
Same here 🇰🇪🇰🇪 this man of God is sually a God's sent
@maggytonga8410
@maggytonga8410 11 месяцев назад
Ameen,naliinua jina lako Mungu maana unastahili baba,kama siyo wewe Mungu sijui ningekuwa wapi,asante kwa ajili ya mtumishi wako mlinde na kumpa afya njema,muinue kwa viwango vya juu zaidi Baba
@user-vx5rb6rg1v
@user-vx5rb6rg1v 10 месяцев назад
Amen 🙏
@cathelinemgaza6694
@cathelinemgaza6694 10 месяцев назад
Asante pasta nimeamka kuanzia sasa
@VictorSanga-qx7rw
@VictorSanga-qx7rw 2 месяца назад
Mungu akubariki mno baba maaana niwengi tunapona kupitia mafundisho yako
@georgemtey6195
@georgemtey6195 11 месяцев назад
Bwana Yesu asifiwe pastor George Mukubwa, nabarikiwa sana na mafundisho yako. Nipo Dar es salaam. Nitafurahi siku moja nikikutana na wewe, you always speak about my life when you preach. Mungu akubariki sana
@user-hx2yc2hd6v
@user-hx2yc2hd6v 11 месяцев назад
Karibu sana
@georgemtey6195
@georgemtey6195 11 месяцев назад
@@user-hx2yc2hd6v asante sana
@DelopuDopliter-oh4yp
@DelopuDopliter-oh4yp 11 месяцев назад
Ubarikiwe pastor mafundisho yako yananijenga sana kiroho.
@rabeckadararybarikiwa6446
@rabeckadararybarikiwa6446 10 месяцев назад
​@@user-hx2yc2hd6vMina mc unanibariki sanaaaaaaa 👏
@rabeckadararybarikiwa6446
@rabeckadararybarikiwa6446 10 месяцев назад
Huwa nabarikiwa nafunguriwa namuona MUNGU KUPITIA kipidi hiki siku nikikuona nitafurahi sana
@user-ln9jr8vs4v
@user-ln9jr8vs4v 10 месяцев назад
Amen mtumishi wa mungu akubariki sana Ninabarikiwa sana na mafundisho yako.mungu aendelee kukuinua zaidi katika viwango vya juu zaidi 🙏🙏🙏
@PastaBahariaWilliam-vi1jo
@PastaBahariaWilliam-vi1jo 4 месяца назад
Utafika mbali sana baba,na mimi napita njia hizi,barikiwa baba🙏🙏nakupenda sana ipo siku tutaonana
@user-iy7jc5ee8v
@user-iy7jc5ee8v 2 месяца назад
Jmn hili kanisa wamshukuru Mungu amewapa mtumishi wa kweli. Nawaonea wivu.
@everkivuyo8596
@everkivuyo8596 10 месяцев назад
SHALOM pastor George mukabwa Mungu akuzidishie mafuta
@MariamKazungu
@MariamKazungu 7 месяцев назад
Baba nipe neeema ya kua macho kwa jina la yesu🙏🙏🙏🙏🙏
@selinadancan1525
@selinadancan1525 2 месяца назад
Mafundisho ni mazuri sana Barikiwa
@rashealmwikali2081
@rashealmwikali2081 15 дней назад
Ooooh thank you Jesus for this far
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 11 месяцев назад
JRC mkumbukwe na Mungu daima asante kwa kuabudu pamoja nasi
@user-cv2js2oc6g
@user-cv2js2oc6g 11 месяцев назад
Ubarikiwe mchungaji wangu Mimi hapo Pana nihusu Mungu anisaidie lazima nitoke
@Patience763
@Patience763 7 месяцев назад
Kwa kweli mafundisho haya ni mazuri juu mimi nilikua ni melala usingizi lakn kuanzia sasa acha nifanyie kazi mafundisho haya mungu akubariki kwa mafundisho mchungaji
@magrethpaul2207
@magrethpaul2207 11 месяцев назад
MUNGU akutunze kwa umri mrefu uendelee kua Baraka kwa wengi we love you so much
@user-xd8mb1gd6f
@user-xd8mb1gd6f Месяц назад
So blessed pastor George from saudarabia
@Jessica-qz1qw
@Jessica-qz1qw 4 месяца назад
Mafuñdizo yako postor kuna Mahali inanielekeza mungu akufunulie zaidi.
@gracekunambi7438
@gracekunambi7438 11 месяцев назад
Amen. Ninapokea nguvu mpya 🙏
@genevievesunday
@genevievesunday 6 месяцев назад
Amina mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana Kwa mafundisho. Nakuelewa sana unachofundisha ni maisha ya Bwana Yesu,. Tunapaswa kumfuata yeye.
@Zamdaswahibu
@Zamdaswahibu Месяц назад
Amen nashukuru sana Mtumishi wa Mung ubarikiwe
@joycelanda8987
@joycelanda8987 7 месяцев назад
Hakika matendo ya Mungu ni makuu sana maishani mwangu,huwa natafakari namna àmenipigaania katika ndoa yangu iliyokuwa na misukosuko mingi na upinzani mkubwa sana ,nilikua ndo kwanza nimeeolewa nikaiona ndoa ngumu sana nikiwa binti ila Mungu amenivusha ktk Hali ya ajabu sana nashindwa niseme nini Kwa Mungu wanguuu👏👏👏👌❤️Jesus ninaemtegemea maishani mwangu ,ninashuhuda nyingi jamani ,IPO nguvu ya ajabu sana ktk kuomba wapendwa!!🖐️🖐️
@InnocentHelmet-pn9mh
@InnocentHelmet-pn9mh 6 месяцев назад
Ubarukiwe
@joycelanda8987
@joycelanda8987 6 месяцев назад
Amen!!
@mikalijesmart3546
@mikalijesmart3546 4 месяца назад
Ame
@victoriasezi2469
@victoriasezi2469 10 месяцев назад
Asante Bwana,naomba uzidi kunifungua kupitia mahubiri haya kupitia mtumishi wako❤❤❤🙏🙏🙏
@rimahsteve3738
@rimahsteve3738 11 месяцев назад
Ameeen❤❤ thanks God for RU-vid watumishi kama hawa tungewapata wapi.
@JanethLekule-pm8qe
@JanethLekule-pm8qe 11 месяцев назад
Amen Amen sina chakumrudisha Jehova
@kezziahbenson58
@kezziahbenson58 3 месяца назад
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu,,nakutazama nikiwa Kenya na unabariki moto wangu sana,,,nimejifunza mengi Toka kwako,Nena neno kwa maisha yangu ya wokovu na pia kwa huduma yangu ya uimbaji na kuongoza maombi kanisani,,,ubarikiwe sana 🙏🙏🙏
@user-kt8xh9nj5v
@user-kt8xh9nj5v 11 месяцев назад
Aminaa Mungu ninasema Asante Mungu mwaminifu maana nimeona mkono wako mkuu maana umenipe kibali tena mwezi moja pokea sifa na utukufu maana unasitaili Baba mtakatifu maana mim kwa akili yang nilipanga safari ukaniambia bado mda mwanangu Mungu Asante maana nakuona kila saa kwangu Mungu pia namwombea mfunike kwa Dam ya Yesu kiristo mtunze mlinde Mubarak san Amina 🙏🙏 🙏
@daniellamgunda339
@daniellamgunda339 11 месяцев назад
48:08
@enriqueganywamulume570
@enriqueganywamulume570 11 месяцев назад
Mungu Nina Ku rudishiya utukufu wako mwenyewe una stahili. Mubariki paya mtumishi wako Pastor Gorge apekuwa baraka sana iwangu
@linmoses7871
@linmoses7871 11 месяцев назад
😊😊😊😮
@LuciaVenance-nd2kd
@LuciaVenance-nd2kd 11 месяцев назад
Libarikiwe jina la bwana mungu wetu kama sio yeye sijui ningekuwa wapi mungu wetu ni muamnifu amejawa na neema na rehema tele❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@InnocentHelmet-pn9mh
@InnocentHelmet-pn9mh 2 месяца назад
Hii kichwa ni noma, syo rahis kuumuelewa utaona tu kama unasoma physics
@ErickChisongela
@ErickChisongela Месяц назад
Nabalikiwa sana na huduma zako
@user-zm4nj2vy2f
@user-zm4nj2vy2f 5 месяцев назад
Mungu akubariki mtumishi ,mungu akupe maisha marefu ili akufunulie na mengine utufundishe zaidi ,tunatamani kumwona Mungu kupitia mafundisho yako , naitwa wema mbawala nipo ruvuma wilaya ya Mbinga ,fanya ziara na huku kusini
@user-ye6qh8lo4e
@user-ye6qh8lo4e Месяц назад
Pastor mungu akubariki 🙏 unanibariki na mafundisho yako ,,umenipa sababu ya kukuskiza Kila wakati nikiingia mtandaoni,,hakika umebadilisha mawazo yangu kwa mafunzo yako ,,ombi langu siku Moja nikutane na wewe
@TullyMwakibete-xt5xm
@TullyMwakibete-xt5xm 2 месяца назад
Asante sana mtumishi wa Mungu,Mungu akubariki sana,kuna kitu umenibadilisha sana ktk maisha yng,Mungu akukumbuke uendelee kutufungua
@jonasnsabimana6803
@jonasnsabimana6803 Месяц назад
Thx,Pastor, ubarikiwe Santa.
@RitaLoice
@RitaLoice 10 месяцев назад
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu... Nashkuru Mungu umenitoa mahali.. Amen
@CatherineMbuya-mb9ts
@CatherineMbuya-mb9ts 8 месяцев назад
Postor,umekuwa msaada mkubwa sana kwenye maisha yangu,Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu.
@user-wi8pk3os7o
@user-wi8pk3os7o 10 месяцев назад
Asante mtumishi wa Mungu mafundisho yako yamenizaidia sana,kutoka Kenya.
@ElizabethabrahamHassan
@ElizabethabrahamHassan 3 месяца назад
Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana. Ni abarikiwe sana na mafundisho yako.. Na Kufatilia kila siku. Hakikat unazidi kuninenga kiroho
@PaulNjiku
@PaulNjiku 10 месяцев назад
Asanteh Mungu Kwa kunilinda kulinda familia asanteh kulinda mtumishi wako pia,
@josephwawuda3204
@josephwawuda3204 11 месяцев назад
Ameen mtumishi asante kwa ujumbe huu mtumishi God bless you 🙏
@JONASNGHOKA
@JONASNGHOKA 10 месяцев назад
Amen
@elizanyarusi6154
@elizanyarusi6154 6 месяцев назад
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu awe nawe siku zote za maisha yako azidi kukutumia.
@cafrensartho
@cafrensartho 4 месяца назад
Nabarikiwa na Mahubiri yako Mungu wangu Nipe macho ya rohoni na nisilale usingizi wa mauti Amen
@Bahati-b1
@Bahati-b1 Месяц назад
Halleluya Halleluya Halleluya Halleluya Amen Amen Amen Ameen unanifungua akili yangu Mtumishi wa mungu barikiwa sana, mungu akulinde uzidi kufungua vizazi vilivo potea babayetu wakihoro 🙏 🙏 🙏
@user-ht2gl6fb9e
@user-ht2gl6fb9e 4 месяца назад
Ameen BABA MUNGU azidi kukulinda ,,unanibariki sana na mafundisho yako 🙏🙏🙏🥰
@user-mq6jc9sy8r
@user-mq6jc9sy8r 6 месяцев назад
Mungu akubariki Sanaa mtumishi was bwana,nabarikiwa Sana na mafundisho yako baba ,Mungu akutunze akupe Tena maono siku Hadi siku,zaidi Mungu aongeze maarifa kwako ili nasi wasikiaji tupate kupona nafsi zetu ,naitwa wema naishi Ruvuma wilaya ya mbinga
@leocardiamafwere6003
@leocardiamafwere6003 5 месяцев назад
❤amen Mungu anisaidie nishinde roho ya uzito kwanzia leo nimesikia neno la Mungu kupitia mtumishi wake
@ElizabethKazimil-rv8zz
@ElizabethKazimil-rv8zz 10 месяцев назад
Aksante sana Mungu kwa ajili ya mtumishi wako past George Mukabwa.
@JescarOchieng
@JescarOchieng 5 месяцев назад
Am watching from Nairobi, nimebarikiwa zaidi na Mungu akuzidishie uhai ili uendelee kutuelimisha❤❤❤ mafundisho.
@puritycelina9240
@puritycelina9240 6 месяцев назад
Pastor you are a great blessing to me,I love your teaching..am from Nakuru county in Kenya
@user-py2ko5wg6v
@user-py2ko5wg6v 11 месяцев назад
Pst nabarikiwa naujumbe unaotulisha nimefunguliwa maeneo mengi umekuwa mchungaji wangu kunipeleka ktk malisho mabichi ubarikiwe
@fayjeff3651
@fayjeff3651 3 месяца назад
Amen! Amen! Amen May God bless you abundantly mtumishi wa Mungu
@irenemilau2946
@irenemilau2946 11 месяцев назад
BARIKIWA MTUMISHI KWA MAFUNDISHO..AMEN AMEN 🙏
@jeremiaisowe4443
@jeremiaisowe4443 7 месяцев назад
Amen!!!!Mungu naomba unipe maarifa yakuingia nakutoka. Niwe kichwa naniwe mkuuuuu sanaaaaa
@SarahHaonga-rr9ln
@SarahHaonga-rr9ln 3 месяца назад
Oooh haleluya mungu ni mwema ❤❤❤❤❤ Kama si mungu nisingefika siku ya leo
@user-yp4sv2rl1p
@user-yp4sv2rl1p 11 месяцев назад
ubarikwe pastor by sammy nakukumbuka sana🙏🏾🙏🏾
@marykitundu8712
@marykitundu8712 8 месяцев назад
Kwa kweli masomo yako yananibariki sana. Nami leo nakemea roho ya using ili na uzito ndani yangu kwa jina la Yesu.
@user-fv9br2qm1i
@user-fv9br2qm1i 6 месяцев назад
Asante sana mch nimebakiwa sana na mafundisho yako yamenigusa sana sana maana sikujijua kwamba kiroho changu kimevamiwa hivyo
@WinfridaKalinga
@WinfridaKalinga 9 месяцев назад
Amina mtumishi hakika namshuru Mungu kwaajili yako, kunakitu nimepata kupitia mafundisho haya
@Eliudpiri
@Eliudpiri Месяц назад
Blessed from Kenya..azidishiwe hyo pastor
@isaackmwinuka3301
@isaackmwinuka3301 3 месяца назад
Ubarikiwe sana unakuza sana karama yangu mungu azid kukukuza kwa viwango vingine
@elizabethaineah8861
@elizabethaineah8861 10 месяцев назад
Mafundisho yako yamepigisha hatua kubwa maisha yangu Mungu akubariki . Nipo Mtwara.
@annnjeri2108
@annnjeri2108 3 месяца назад
Balikiwa sana postor mungu akuongezee hekima mingi saana Niko kenya
@stellariwa2723
@stellariwa2723 11 дней назад
Thanks pastor George
@user-ic8dz9mw7e
@user-ic8dz9mw7e 11 месяцев назад
Tangu nianze kuskiliza mafundisho yahuyu mchungaj nimebadilishwa
@nyanjwabresh8307
@nyanjwabresh8307 11 месяцев назад
Hakika Ni Mungu tu, Amen.
@paulostephano9221
@paulostephano9221 11 месяцев назад
Anayekufuatilia atapokea kitu kutoka bwana
@user-cs4ks4dp8t
@user-cs4ks4dp8t 10 месяцев назад
Ubarkiwe mtumish wa Mungu Kwa maarifa haya
@kmtcuniversity9310
@kmtcuniversity9310 3 месяца назад
POWERFUL AND Amazing preachings from the greatest man of God❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-rw5oq7ni1f
@user-rw5oq7ni1f 6 месяцев назад
Mungu akubariki mafundisho yako yanaleta uponyaji maana unahubiri injili iletayo wokovu. I need to conduct you man of God
@user-zs1hk3no3f
@user-zs1hk3no3f 5 месяцев назад
Nashukuru. Muchunga mafundiso yako yamaombi kufunga mungu akufungulie Malango ni martin mpeketoni lamu
@annamazengo975
@annamazengo975 11 месяцев назад
Hakika kama si Bwana aliyekuwa upande wetu,ingekuwaje Leo.
@merrynnko8374
@merrynnko8374 8 месяцев назад
Ameni nimebarikiwa sana na somo hili.ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
@user-rn5iu5pw8t
@user-rn5iu5pw8t 8 месяцев назад
Amina pastor .Mungu neema ya Mungu izidi kuwa nawe
@user-mc4yk5iv6j
@user-mc4yk5iv6j 3 месяца назад
Mungu nikomboe mtumishi leo hayo yote umeongea yamenikumba miaka mingi Mungu nirehemu na uniponye kutoka KENYA
@bettyadhiambo9557
@bettyadhiambo9557 11 месяцев назад
Nabarikiwa sana🇰🇪🇰🇪
@edinamachumu2227
@edinamachumu2227 6 месяцев назад
Namshukur Mungu kwa ajili yako Asante Sana nimekuelewa
@user-qd9wp1qj4n
@user-qd9wp1qj4n 7 месяцев назад
Asante mtumishi na barikiwa sana nikisikiliza mahubili
@rumariletimba7585
@rumariletimba7585 7 месяцев назад
Amen,umenibariki mtumishi wa Bwana,ni Rumari Letimba nikiwa Kenya samburu
@TomasKakami
@TomasKakami Месяц назад
GOD IS GREAT. Mafundisho ni nzuri zana
@lucaslutogisha3182
@lucaslutogisha3182 3 месяца назад
Mungu ni mwema sana. Mtumishi mahibiri yako yanamwanga mkubwa sana. Hakika tunaangamia kwa kukosa maarifa. Nimejifinza mengi. Nimesililiza nikiwa chato geita Tanzania.
@user-fh9gl5sv4v
@user-fh9gl5sv4v 6 месяцев назад
Naona nimepona niliulizwa moyo kiasi sitamani huduma Asante
@user-wp1ws5so8l
@user-wp1ws5so8l 7 месяцев назад
Asante pst Kwa mafundisho ya lord Jesus.
@DevothaMbwama
@DevothaMbwama 4 месяца назад
Amen amen sina cha kukurudishia wewe Jehova🙏🏻🙏🏻
@gideonwambua9498
@gideonwambua9498 11 месяцев назад
Amen and Amen and Amen and thanks to Jesus
@floraan4388
@floraan4388 11 месяцев назад
Amen and amen thank yesu
@user-pi7dd6fq2k
@user-pi7dd6fq2k 7 месяцев назад
Mafunzo haya yameniinuya Kwa viwango vya juu,nimeshukuru mtumishi,mungu niondolee roho ya usingizi
@rebecachristian5207
@rebecachristian5207 5 месяцев назад
Ukiandika mungu kwa herufi ndogo unamanisha miungu, jifunze kuanza na capital letter ( Mungu) unaweza fatilia kwenye biblia
@JONASNGHOKA
@JONASNGHOKA 10 месяцев назад
Be blessed the servant of God!
@collinssinclair
@collinssinclair 5 месяцев назад
man of God, You have been a great blessing to me 🙏, l was giving up but your word's always makes me feel better important,l wish one day l will visit your church in mwanza,am from Nairobi Kenya,let God be praised all the time.
@esthermutsoli9995
@esthermutsoli9995 4 месяца назад
The worship has made me cry.Av shared this to many.B blessed man of God
@AndrewWoiso
@AndrewWoiso 10 месяцев назад
Ameen Asante Mungu nimebarikiwa
@PGM20179
@PGM20179 10 месяцев назад
Ubariwe sana mtumishi kwa mafundisho yako
@user-zk7lp3vo7h
@user-zk7lp3vo7h 11 месяцев назад
Roho wa Mungu nisaidie
@ulderonyango
@ulderonyango 4 месяца назад
I love the Sprit of prayer in you man of God
@jeniajulius3247
@jeniajulius3247 4 месяца назад
Duu, hawa ndiyo watu Mungu wetu anapendezwa nao na kutukuzwa kupitia utendaji wao Mungu akupe hatua Zaidi kwa utukufu wake.
@JONASNGHOKA
@JONASNGHOKA 10 месяцев назад
Mungu akufanyie wepesi mtumishi wa Mungu
Далее
UMUHIMU WA KUONGOZWA NA ROHO || PASTOR GEORGE MUKABWA
1:17:28
JInsi ya kuvuta kibali cha Mungu cha mafanikio
46:50
Просмотров 1,3 тыс.
JINSI YA KUTAMBUA SAUTI YA MUNGU NA KUIFATA.
1:05:48
Просмотров 201 тыс.
I only teach well, why am I a victim
0:42
Просмотров 11 млн