Kuna umuhimu wa wazazi kusoma jmn na kuwaelekeza watot wetu mfano hapo inachekesha ila inafundisha umeona mtoto anajua mama ajui sasa apo ngumu mtoto kumwambia mama amuelekeze kam kitu ajakielewa...ila zai ni mama mcheshi yupo free kwa mwanae mashallah❤🎉
@@zr7808 makubwa mbona makasiriko vipi kipenzi kwani nimelazkmishwa huku furaha kipenzi hakuna ata stress ya maisha kipenzi kama kurudi nitarudi inshaallah lakini sio kwa kusofiwa kipenzi huku pesa tuuu kipenzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa nini arudi? Kwani Tanzania hakuna stress? Kwanza ni bora kuwa na stress na hela anayo mfukoni kuliko kuwa na stress and on top of that hujui hata usiku unakula nini. Kilo moja tu ya sukari inawatoa jasho kununua. Wacha watu watoke nje ya nchi kwenda kutafuta hela.