Тёмный
No video :(

EXCLUSIVE NA MREMBO ANAYEISHI NA NYOKA | HUU NDIO UKWELI WA HISTORIA YAKE YA UTAJIRI 

Bongo Touch
Подписаться 741 тыс.
Просмотров 14 тыс.
50% 1

Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that
;Cast Latifa Mussa
:Host JS
: Camera 1 Charles
: Camer 2 Kasamalu

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 75   
@mathiasndekimo3983
@mathiasndekimo3983 3 месяца назад
huyo dada nimchawi kweli na aliongea mwanzo niukweli Sema kapigwa mabiti naserikali kupotosha vijana waache kufanya kazi wafate ushenzi Yani huyu kazingua sana sana mbona mwanzoni alijiamin sana saiv imekuwaje anashindwa kuongea acheni kufanya watu watoto wadogo
@arafatali2796
@arafatali2796 3 месяца назад
kwaio kuwwambia vijn wafany kaz waach kuuw na tamaa na majoka ndo ushenz ama vip
@LiangGirle
@LiangGirle 3 месяца назад
Huyu muongo atakuwa katishiwa tu ila mchawi kwer​@@arafatali2796
@Official83640
@Official83640 2 месяца назад
Anasafisha chanel maana walitaka kufungiwa na zile clip zote waliambiwa wafute😂😂😂
@aminamaulid7371
@aminamaulid7371 2 месяца назад
Pumbafu zake asingepigwa mikwara ingekuwaje? Mwanga mmoja tu huyu.
@GodfreyGabriel-jn8ge
@GodfreyGabriel-jn8ge 3 месяца назад
Hamna cha ilikuwa ni story hapo bali ni uhalisia/ukweli. Ushauri wangu kwake, atubu kwa MUUMBA wetu kisha aachane na ushetani huo.
@user-iy3fx7cl1j
@user-iy3fx7cl1j 3 месяца назад
Media nyingi za kibongo habr zao utaskia alikiba kajamba, diamond kahara, wema sepetu anaugua, tafteni habr za maana watu wanachangamoto kibao, za maisha acheni ujinga msitulete habr za ujinga
@SharonGodwill
@SharonGodwill 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂 umeniuwa
@sirlimomari2633
@sirlimomari2633 3 месяца назад
Bongo touch mnazingua mnatufanya watoto. Ingependeza mtangazaji yulyule aliyemuhoji akiwa na joka amuhoji hii video,, kuna kitu kingine tungekijua
@VictorLyimo-so9xr
@VictorLyimo-so9xr 3 месяца назад
Uyo nyoka anaye mpaka Sasa anampa ela,ila amekatazwa asiongee hzo habari vijana watamaliza ndugu
@user-ob9qd4vu4j
@user-ob9qd4vu4j 2 месяца назад
Dada mwamin mungu yeye nitajir wamatajir
@HawaShaibu-dq5nr
@HawaShaibu-dq5nr 2 месяца назад
Huyu dada ni muongo sana
@SwaumuRamadhanDhahabu
@SwaumuRamadhanDhahabu 2 месяца назад
Tena sio kidg
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 3 месяца назад
kumbe ajakoma😊😊
@channychizzo5144
@channychizzo5144 2 месяца назад
Hujyamuliza vizuri. Kama ilikuwa story mbona hukumuwuliza ile nyoka tuliwona ilitoka wapi?
@ZaituniAthumani-q8u
@ZaituniAthumani-q8u Месяц назад
Mh
@sirlimomari2633
@sirlimomari2633 3 месяца назад
Ya kwanza ilikuwa ina % kubwa ya ukweli,, alaf anasema Et kuiendleza story mpk apate kibali,, kibali kutoka kwa jini au
@LuluByams
@LuluByams 2 месяца назад
Niukweli Utaigiza vipi Na nyoka Mkubwa ka yule
@MwaIne
@MwaIne 3 месяца назад
Mmh
@user-gm4fq4xj2z
@user-gm4fq4xj2z 3 месяца назад
Mmmh ss yule nyoka ilikuaje
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад
Ni mkirsto baba ako amesema marina umejibadil8sha kwanini unausaliti uislam
@nusaebahkeis6774
@nusaebahkeis6774 3 месяца назад
Wanaudhalisha uislam nankuukaahif kwa manufaaa yake
@jamyabdul4321
@jamyabdul4321 3 месяца назад
Ile ya kwanza inaukweli ndani yake... jamani yule mwandishi alivyokuwa anaruka nyoka asimguse😅😅 kweli leo ni mwandishi wa vitabu? Duuuhh.
@LiangGirle
@LiangGirle 3 месяца назад
Huyu dada nimshenzi kaamua kuzuga tu ila nimchawi kwer
@SwaumuRamadhanDhahabu
@SwaumuRamadhanDhahabu 2 месяца назад
Huyu ni muongo sana jaman
@charlestryphone656
@charlestryphone656 3 месяца назад
Mwandishi wa habari unahoji kiboya huna maswali yanye maana! Unashindwa kumuuliza huyo nyoka niwananan na amewezaje kupata comfidance yakumshika!
@LiangGirle
@LiangGirle 3 месяца назад
Nikwer kabisa huyu dada nimchawi tu
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x 3 месяца назад
upuuuzi
@user-fi4md4np3h
@user-fi4md4np3h 3 месяца назад
🤣
@susanlikokhe4361
@susanlikokhe4361 3 месяца назад
Dress code
@user-bo1ew3xq6w
@user-bo1ew3xq6w 3 месяца назад
Kusema kweli watu walitoa laana nyingi sana na maneno yasio kuwa mazuri kama ni kweli huyu dada anavo sema ni story.paa watu wajufunze kupitia hili wasitoe hukuma kabla ya mwisho wakitendo..
@user-xs8lf7hp7i
@user-xs8lf7hp7i 3 месяца назад
❤hakika
@user-xs8lf7hp7i
@user-xs8lf7hp7i 3 месяца назад
❤❤❤❤
@PauloBarton
@PauloBarton 3 месяца назад
Ukweli tunaujua uchawi was nyoka tunaujua wewe nimchawi kweli Acha kutuzuga
@rukiahabib3444
@rukiahabib3444 3 месяца назад
mbona nyumba ya mwanzo na hii ni tofauti ama hawa wanatutungia hadithi za abunuasi hapa alaf nguo ni ile ile ama nyoka alisema uvae nguo hio hio
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад
Muongo sasa kama ni story na huyo nyoka wa nani na umempata wapi na
@zulekhaa6817
@zulekhaa6817 3 месяца назад
Uongo mtupu, Wala haielekei uongo wake. Kashabanwa asidanganye watu, lkn na hili pia anadanganya.
@salamamohamed843
@salamamohamed843 3 месяца назад
Anaficha tuu pumbafu mambo yangewageukiaaa
@husnathabiti4114
@husnathabiti4114 3 месяца назад
Sasa kumbe Alishika nn
@josemselle3844
@josemselle3844 3 месяца назад
Ni muongo sana
@abdallahsaid4139
@abdallahsaid4139 3 месяца назад
huyu anaogopa mkwala wa serikali
@user-ib8vo3qb4c
@user-ib8vo3qb4c 2 месяца назад
Mi nauliza kama ilikuwa story tu na wale wazazi wliohojiwa na ndugu je aliwapanga? Mbona mi dielewi
@abdallahsaid4139
@abdallahsaid4139 3 месяца назад
Na kile ulichotonyesha ni nn mdoli
@VictoriaMsiagi
@VictoriaMsiagi 2 месяца назад
Mshenzi huyu kabadilisha eti ni story
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад
Na jina pia sio lako na sio msambaa
@esterpaul5856
@esterpaul5856 3 месяца назад
Nyoka ulimpatq wap
@magdalenaisrael3432
@magdalenaisrael3432 3 месяца назад
Alhaji do sule alisema muongo kweli🤨
@user-iy3fx7cl1j
@user-iy3fx7cl1j 3 месяца назад
Nyinyi wenye chanal mnatafuta Kiki tu na uyu Dada anatafuta Kiki, ilimradi mpate viewers RU-vid na mpate pesa ya youtube, apo mwanzo ilikuwa hamjui kama anaongea uongo kuhusu nyoka, tafteni habar za maana mtuletee acheni ujingaa
@user-jd6vr9xw1o
@user-jd6vr9xw1o 3 месяца назад
Ila kweli we dada Ulitumia makosa makubwa sana kutumia mtandao kupotosha jamii
@hamzahamza7565
@hamzahamza7565 3 месяца назад
Nguo ni ile ile ya masharti 😂😂 na yule mzee kule pia alikuwa sehem ya script au😅
@user-xs8lf7hp7i
@user-xs8lf7hp7i 3 месяца назад
We fal kwel watak ukwel au watak nguo
@user-xs8lf7hp7i
@user-xs8lf7hp7i 3 месяца назад
😂😢
@user-xs8lf7hp7i
@user-xs8lf7hp7i 3 месяца назад
😅kumbe kuona huon hat kusom hujui nguo ile na hii ni moj yaaan wanaume wasiojua kuhudumia wake zao wanaish kwa kukalili haaaa😂😂😂
@user-gm4fq4xj2z
@user-gm4fq4xj2z 3 месяца назад
Kwaiyo uze kitabu na story ndio uwishi hayo maisha jaman mbona mnaona watu wajinga et
@user-iy3fx7cl1j
@user-iy3fx7cl1j 3 месяца назад
Kiufupi Dada na wenye chanal washapata Kiki zao mjini na pesa ya youtube, wabongo wingi washazoweya kuskiliza ujinga wa mtandao na habr za ujinga
@user-xs8lf7hp7i
@user-xs8lf7hp7i 3 месяца назад
Akiwem wewe
@user-iy3fx7cl1j
@user-iy3fx7cl1j 3 месяца назад
Ata ww kwenye ujinga umo
@prophetmwonajisamson2079
@prophetmwonajisamson2079 3 месяца назад
Huyu anadanganya juu mganga wake alijitokeza pia mama yake mzazi na wakamsitumu. Mshirikina wewe
@arafatali2796
@arafatali2796 3 месяца назад
unauhaki kuq niwazaz wak kwel au nimgang kwel pngn nawao wapiingzwaj kweny ilo dili lakutft kiki z kijinga
@prophetmwonajisamson2079
@prophetmwonajisamson2079 3 месяца назад
@@arafatali2796 ukweli upo fuatilia hayo mambo yake vizuri utajua hata yule mganga wake alipata wateja wengi sana duniani na amechukua hera za watu wengi sana Tanzania, Kenya na nchi zingine. Hapa serikali ya Tanzania inamchukulia hatua ya kumiliki kiumbe kama yule ndani ya nyumba yake bila vibali Sasa anajaribu kuepa na kujitakaza. Kama kweli angeonyesha bahadhi ya vitabu zake ndio tujue ukweli wake
@user-xs8lf7hp7i
@user-xs8lf7hp7i 3 месяца назад
😅😅😅😅
@user-xs8lf7hp7i
@user-xs8lf7hp7i 3 месяца назад
😂Kwenye huo upumbav akiwemo na wewe ni mpumbavu
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 3 месяца назад
Hamkomi tu wenzenu juz yamewakuta
@BestLife486
@BestLife486 3 месяца назад
Tazama video acha kukurupuka wewe
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 3 месяца назад
@@BestLife486 Ukitazama ww inatosha🤣
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 3 месяца назад
@@BestLife486 Bando langu bado unipangie sukununu ww🤣🤣🤣🤣
@BestLife486
@BestLife486 3 месяца назад
Sasa ulalamika nini kwani kuna mtu aliku force ufungue
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 3 месяца назад
@@BestLife486 Wapi nimelalamika hebu tuliza mshono mtt wa kiume mdomo mrefu km chuchunge laza makende hayo yalolegea km nyanya ya nyongeza
@user-ed1cf9nq5w
@user-ed1cf9nq5w 3 месяца назад
Wanasaikolojia wenyewe huwa tunaelewa, huyu amelazimisha kugeuza uhalisia.
@user-gm4fq4xj2z
@user-gm4fq4xj2z 3 месяца назад
Yan leo unavyo ongea nasikuile ulivyo kuwa naungea nivitu viwili tofaut sikuilee ulikuwa ata usoni ulikuwa ukionekana ķabisa ulikuwa unaongea ukweli na leo unavyo ongea unaonekana kabisa umepigwa mabiti na viongozi ndiomana unataka kutudanganya kuna watu wakikutazama2 wanajua unaongea ukweli au unadanganya
@user-xz8mm5kt5m
@user-xz8mm5kt5m 3 месяца назад
Huyu dada ni mpumbavu tu, kila kitu kina mipaka yake. Mnapofanya hayo mambo yenu ya kishirikina ama kutafuta kwenu umaarufu kwanini mjinasibishe na uislamu? Fanya toba dada yangu usije ukaangukia kwenye ghadhabu za Allah!
Далее
BABA YANGU KIPOFU Full episode /34/ #love
30:22
Просмотров 97 тыс.
Как дела перцы?
00:25
Просмотров 62 тыс.
How to get Spongebob El Primo FOR FREE!
01:36
Просмотров 13 млн
لدي بط عالق في أذني😰🐤👂
00:17
Просмотров 3,1 млн
SNAKE BOY | ep 35 | SEASON TWO
30:48
Просмотров 62 тыс.
Как дела перцы?
00:25
Просмотров 62 тыс.