Dah Mzee unazeeka vibaya fanya umrudie MUNGU wezako wanapambana kutubu zambi zao wewe Kwa umri huo bado unapambania hanasa za Dunia MUNGU akunusulu kwakweli upite njia safi inshallah 🙏
Mzee wangu mzee Magoma nimemekufualia muda mlefu sana kiukweli huko sahihi 100% kinachofanyika hapo hao unaopambananao wanajua ukweli ila wanaona kitumbua chao unskiti mchanga ndiyo maana wakoradhi wakupoteze kwanjia yeyote ile wanakutukana sana maana watakuja kua baadae wewe haupo pambana mungu yuko na wewe
Acha kuchanganya duniani kuna maraisi wa taasisi mbali mbali haihusiani na Rais wa nchi, kuna marais wa timu kama kawaida huko nje na duniani kote siku hizi, Kuna Rais wa Caf,Fifa na kila timu... usilete huruma za kisiasa Mama Samia Ana mambo mengi ya Kufanya ya maendeleo ya nchi sio kesi zako za kughushi saini na hasa za wakuu akiwemo mke wa muasisi wa taifa hili... Umeyakanyaga mzee wetu... Kiherehere muda mwengine kinapoteza muda na heshima Hatimae wote watakugeuka baadae.... we subiri... Ngoma imegeuka sasa unataka huruma za kisasa tafuta msikiti ukaombe toba mzee wangu usubiri Hatima ya maisha kwa umri wako ili walau upate khatma njema... Mungu huko haendi kuuliza mambo ya Yanga...
Huo uongo mzee Magoma hskuna aliyemfananisha Rais wa Ysnga na Rais Samia Sema unamwingiza Rais Samia ili upate huruma zake:Sasa Wewe utapambsna na Fatuma Karume Mke wa Baba wa Taifa la Zanzibar? Unadhani kati ysko na Mama Karume Rais Samia atakuwa upande wa Nani?!!!!
Kalipe bana acha kuwazungusha mdogo wangu wew uliyataka mwenyewe huna nguvu halafu unajifanya una kulujuani sasa ubao umekugeukia lipa chapu hiyo Hela tunaitaka tununue Ng'ombe tunywe supu
😂😂😂😂,, Milioni 70 muangalie alivyokuwa pole ghafla ,, ile mikwala yote na Sifa zimeingia pumbuni,, eti Mama samia na JUDGE MKUU Wamsaidie 😂😂😂 kashadata na picha ndo kwanza linaanza,, hizo media km zilikuwa zinamlipa sasa yy ndio atafute pesa awalipe ili wakamuhoji patanu hapo?
😂😂😂😂mzee ujue YANGA bado tunakuheshim sema unui tu ata unapo ishi si kwako tukitaka uame utaama Sasa ww jitoe ufaham😂😂😂icho kiwanja ulikingangania akikuwa chako😂
Mzee jipeleke gerezani mwenyewe kama uwezi kulipa hiyo pesa au uza nyumba zko Maana ulikuwa unaita hii media home kwako kuzidi kutuvuruga vichwa na kurujuan yko
Hivi vizee vyenye kurudisha nyuma maendeleo nyuma lazima vishughulikiwe,hakuna ujanjajanja,wazee Hawa wakafundishwe kulima,walioanzisha timu Nyerere na karume Hawa mammluki wasitusumbue
Nilitaka kushangaa upambane na yanga yakina Ghairbu halafu bushinde kesi, mzee ebu malizia tu uzee wako vizuri, kwa umri kwenda lupango kwa ajili yamambo yampira nihaibu sana kwako
Huyu mzee msenge anataka kuchonganisha hajui anatengeneza kess mpya ambayo polisi wanaweza kuifuatilia sim yake naikijulikana nimuongo atafungwa miaka 15