Тёмный

MZEE MSUMI" HATUMTAMBUI MAGOMA/ANATUMIKA KUCHAFUA KLABU/KUNA WATU WAMEJIFICHA NYUMA YA PAZIA 

Mpenja TV
Подписаться 532 тыс.
Просмотров 98 тыс.
0% 0

Leo July 17,2024 Mpenja TV Tumefika Makao Makuu ya Yanga Jangwani na tumezungumza na baadhi ya Wazee waliopo kwenye Baraza la Wazee wa klabu hiyo, Kuhusu kile kinachoendelea ndani ya klabu hiyo mara baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutoa uamuzi wa uongozi uliopo Madarakani, ukiongozwa na Eng Hersi Said ung'atuke madarakani.

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 201   
@ZanikMwakanyamale
@ZanikMwakanyamale Месяц назад
Safi sana angalau akili yangu imetulia... kweli daima mbele nyuma mwiko 💛💚
@hawajohn749
@hawajohn749 Месяц назад
Mimi nilivoona hizi taarifa nilivurugwa kiukweli
@Ramadhani-y6e
@Ramadhani-y6e Месяц назад
Mwenyewe kidogo I'm happy now
@chinaaudax6459
@chinaaudax6459 Месяц назад
Asante Mzee wetu Umeongea point zote sisi ni Yanga moja tusonge mbele
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 Месяц назад
UTOPOLO mejambishwa n mzee magoma 😂😂
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 Месяц назад
CHANGAMOTO ZITAIFANYA YANGA ICHUKUE KOMBE LA AFRICA CHAMPIONS LEAGUE....WANACHAMA TULIENI EVERYTHING WILL BE ALRIGHT....VIVA YANGA VIVA.❤LOVELY YANGA.
@AishshibnShibani
@AishshibnShibani Месяц назад
Kipeni moyo
@damianmcba9525
@damianmcba9525 Месяц назад
Soma ulichoandika kabla ya ku share,,, utajitukana bure kisa yanga inakuumiza roho " # Daima mbele ​@@AishshibnShibani
@AishshibnShibani
@AishshibnShibani Месяц назад
@@damianmcba9525 nikitukaba sindio vizur ww yanakuhusu nn kama nimekosea embu pelaka mwiko wako uko nyuma
@AishshibnShibani
@AishshibnShibani Месяц назад
@@damianmcba9525 kwaro gani yakuniuma kisa utopolo
@ruthkami2273
@ruthkami2273 Месяц назад
Mzee Msumi Mungu akutunze
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa Месяц назад
Kateni rufaa akishindwa hiyo mzee afutwe uanachama mnapata tabu na mtu mmoja hiyo hataki maendeleo ya yanga
@GraceMarine-vo9hu
@GraceMarine-vo9hu Месяц назад
Yeye mwenyewe ameshakataa amesema hicho kinachotambaa mitandaoni kimetoka wapi? Kina lengo lakumchafua, anadai endapo angekuwa amepeleka kesi mahakamani na akashinda kesi inamaana yeye ndo angepewa nakala ya hukumu kisha yeye angetuma watu wake waipeleke yanga, Sasa yeye hana nakala ya hukumu, hana nakala aliyoituma yanga ameshangaa tu nayeye ananyooshewa kidole bila kujua yanayoendelea mitandaoni yametoka wapi
@rahmaabdul1820
@rahmaabdul1820 Месяц назад
MPAKA hapa tunapoongea sio MWANACHAMA WA yanga maana tangu KADI mpyaa zitokee hajajisajilo
@chinaaudax6459
@chinaaudax6459 Месяц назад
Rufaa ya nyokwe
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa Месяц назад
@@chinaaudax6459 rufaa ya nyokwe
@mcnakupenda
@mcnakupenda Месяц назад
Mzee yupo vizuri sanaa
@user-mp6zd2ui7r
@user-mp6zd2ui7r Месяц назад
Msumi Asante ngojanijiandae nikanywe kahawa umenitia moyo sana.
@MohammedAlly-hp8fg
@MohammedAlly-hp8fg Месяц назад
😅😅😅😅😅
@bmkaskazinib4363
@bmkaskazinib4363 Месяц назад
Ikithibitika Magoma anayumika kuiharibu Yanga ahukumiwe kwa kosa LA kuifhalilisha klabu na uongozi wake
@user-lx9jl7de3m
@user-lx9jl7de3m Месяц назад
Afungwe
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt Месяц назад
Hakika,anawadhalilisha viongozi wetu,anataka tuanze vibaya
@TwahirAlly-w4g
@TwahirAlly-w4g Месяц назад
Nipeni namba za huyu mzee ana facts sana nimtumie chochote ila huyo magoma jau sana ni simba huyo
@user-bj7kd8es2x
@user-bj7kd8es2x Месяц назад
Akitoka Engnea tutaandama kakenya wakalale tutpiga watu huyo magoma.
@akimAkimuWA-m3t
@akimAkimuWA-m3t Месяц назад
Zipigweeeeeeeeeee
@user-ym4pf9ib6o
@user-ym4pf9ib6o Месяц назад
Huyu mzee ni adhina ya taifa letu ana elimu ya kutosha pia ana uwezo mzuri wa kuifadhi nyaraka za taasisi mungu akubariki baba angu
@kazimilykulwa2516
@kazimilykulwa2516 Месяц назад
Huyu mzee Yuko vizur 🤝🏾
@kayikumazoya322
@kayikumazoya322 Месяц назад
Umeelezea vizuri sana, watu huwa tofauti sana ata ukiamka ugawe maadazi kila siku kwa majirani Kuna wengine watasema umetuona hatuwezi kutafuta hela ya kununuliia maandazi amaanisha nini si kila umuonaye akufurahie, kuteseka kwako ndio furaha kwa mwenzako
@idybwoytz8485
@idybwoytz8485 Месяц назад
Magoma tuna kaziii nae 😢😢
@leonardbihemo4797
@leonardbihemo4797 Месяц назад
Huyo hakimu pia aliyesikiliza kesi achunguzwe huwezi anadhalilisha mahakimu wenzake
@user-ws5uj8rz6r
@user-ws5uj8rz6r Месяц назад
Mzee nazingua kama kashiba makana mwembieni akacheze anako chezaga atuwache naichinia uwetu
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy Месяц назад
😂😂😂 kashayatimba kwa wazee uyu magoma ngoja wamnyooshe
@user-nx9sm2ry3g
@user-nx9sm2ry3g Месяц назад
Safi sana nimejikuta nalala vizur sana mzee umepigaje hapo?
@HabibuHeri
@HabibuHeri Месяц назад
Asante mzee msumi nimekuelewa yanga tupo pamoja
@Mudathir-tx1md
@Mudathir-tx1md Месяц назад
Magoma ni mdogo wake mangungu kabc😂 sasa kazi ipo
@josephmwangita7041
@josephmwangita7041 Месяц назад
Asante mzee wetu
@hawajohn749
@hawajohn749 Месяц назад
Nimekupenda Bure mzee msumi
@mgobanyapazi7738
@mgobanyapazi7738 Месяц назад
Anatafuta kufa bila kujijua. Mzee Msumi anajielewa sana. Sijui huyo Magoma kama anafika hapa kwa uelewa alionao Mzee Msumi
@user-lq1fm4dj2n
@user-lq1fm4dj2n Месяц назад
Mzee mungu akubariki
@oscarclaine5878
@oscarclaine5878 Месяц назад
Magoma na Mangungu ni ma homeboy ndo maana wanafanana😅
@robertempire9542
@robertempire9542 Месяц назад
+Akilimali😂😂
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 Месяц назад
Huyu ni Mzee wa maana kabisa tuachane na magoma
@ronaldissack3338
@ronaldissack3338 Месяц назад
Asante Mzee msumi
@alexsikab6433
@alexsikab6433 Месяц назад
Magoma aje Simba ndo tuwe tuna washenyenda vizuri
@elment7269
@elment7269 Месяц назад
Mzee anapoint sanaa
@thabithamagnus638
@thabithamagnus638 Месяц назад
Wananchi tumechukia mno mno kwa kweli,atuondolee nuksi hapa,Magoma umetuudhi
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 Месяц назад
KATA MIRIJA YOTE YA HAO WAZEE WALIZOEA KUZURUMU DAMU ZA WACHEzAJI NJAA ZINAWASUMBUA, bRAVO ENGINEER KWA MAENDELEO MAKUBWA YANGA , MIMI NI SIMBA LAKINI BIG UP KWA ENGINEER MFANO WA KUIGWA!!!
@rigobertdimoso6637
@rigobertdimoso6637 Месяц назад
Hukumu itelelezwe haraka kama viongozi hawajakata.rufaa Magoma apewe timu yake kashinda kesi kwishaaa
@MariaNicolaus-uk8of
@MariaNicolaus-uk8of Месяц назад
Upo sawa baba washindwe kabisa kusambalatisha yanga
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn Месяц назад
Mzee naomba namba yako nikutumie hela ya soda,pili huyu kagoma mnyanganyeni kadi ,kagoma ni mtu wa simba na mo anawatumia
@NdevuKamdini
@NdevuKamdini Месяц назад
Saf mzee wangu
@user-kz8di5th6e
@user-kz8di5th6e Месяц назад
Mzee msumi upewe mauwa yako 🎉🎉
@MuddySalim
@MuddySalim Месяц назад
Good up sanaa mpeni salamu magoma
@meckcassius3983
@meckcassius3983 Месяц назад
Mzee anajielewa sana🎉🎉🎉🎉
@TravisGvn
@TravisGvn Месяц назад
Interview bora hii 👏👏
@NdevuKamdini
@NdevuKamdini Месяц назад
Nicee
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz Месяц назад
inamaana izi mahakama zetu zinapokea tu kesi bila kuangalia ukweli wa kesi hizo
@joshuamwambene2874
@joshuamwambene2874 Месяц назад
Kwani mahakama inatoa hukumu bila kuwepo mshitakiwa ? Huyo magoma ameendaje huko ?
@TashirfaHashim-w2w
@TashirfaHashim-w2w Месяц назад
Uwe unasikiliza vzur
@mohamediibrahimu7064
@mohamediibrahimu7064 Месяц назад
Uko vizur mzee umetoa elimu tosha
@OmarySamata
@OmarySamata Месяц назад
Mzee unaongea point sana
@robertmswanyama8488
@robertmswanyama8488 Месяц назад
Kwanza sio mwanachama hai iyo mahakama inasikiliza kesi iliopelekwa na mtu ambae sio mwanachama hai iyo hukumu ajaielewa kabisa na atuto waelewa
@user-qw2ti8mo1b
@user-qw2ti8mo1b Месяц назад
Safi sana Mzee
@thabithamagnus638
@thabithamagnus638 Месяц назад
Jamani huyu Magoma angekuwa Wananchi tulivyochukia?Au kuna Siri nyuma ya pazia? Maana wenye vyeo nao wanaweza kuvuruga jambo jema kwa kumtumia mtu wa chini kabisa! Sura yenyewe ya Magoma inaonyesha ni mtu wa kuomba hata hela ya mboga,Kweli ndiyo tumpe tomu mtu kama huyo jamani
@user-uk9vr6yk5v
@user-uk9vr6yk5v Месяц назад
Magoma tuna kazi naye ameyatimba
@DottoMoshi-x9o
@DottoMoshi-x9o Месяц назад
Uyo mzee magoma ameyatimba bola ata akacheze anako chezaga
@EmanuelMika
@EmanuelMika Месяц назад
Mzee wa yanga umefafanua vzr
@rigobertdimoso6637
@rigobertdimoso6637 Месяц назад
Magoma yupo sahihi na ndio demokrasia yenyewe
@LisiasiFanueli
@LisiasiFanueli Месяц назад
Huyo mzee maga Hana mpango anatafuta kk yakujulikana anaona jua linatua bila kujulikana
@ImanueliMwakajinga-ry8ig
@ImanueliMwakajinga-ry8ig Месяц назад
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO🙌🏽🤗
@edwardchecha-gz7sr
@edwardchecha-gz7sr Месяц назад
Mzee katulia kweli Katika maongezi yake
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 Месяц назад
Mzee msumi anatetea ugali wke UTOPOLO lkn mzee magoma yupo sahh 😂😂😂
@ZephaniaMgaya-ns5vm
@ZephaniaMgaya-ns5vm Месяц назад
Huyo mzee magoma ni chizi akapimwe milembe
@magoripiru1757
@magoripiru1757 Месяц назад
Atusomee kifungu cha katiba
@babycandycharles7816
@babycandycharles7816 Месяц назад
Kweli baba ilo magoma lifuteni uwanachama lisiwaumize kichwa yeye nani katika timuyetu nyinyi ndiowazee mnaojitambawa ilo magoma halijitambuwi lifukuzeni lisitualibie timuyetu wehu huyo
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg Месяц назад
Hawa wenye vichwa vinavyoelekea Kiisugu
@hashimurashidi6573
@hashimurashidi6573 Месяц назад
Wapeelim mzeewangu
@PhilimoniKazungu-bi2ru
@PhilimoniKazungu-bi2ru Месяц назад
Magoma nimabaki ya mzee akirimali
@MahmoudKhamis-cv9pi
@MahmoudKhamis-cv9pi Месяц назад
Huyo mzee anaelezea Katiba ya Sasa laki kesi aliyo shinda Magoma ni Katiba iliyo pita kabla kuundwa ya sasa
@personalitiesan9806
@personalitiesan9806 Месяц назад
Daaah.....afadhari naanza kupata amani ya moyo ila magoma
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 Месяц назад
Kajua kutuchangamsha mi nimelala na marue rue shenz kabisa hyu magoma
@JumanneIbrahim
@JumanneIbrahim Месяц назад
Magma ni mshenz sana
@yakubuipariro6392
@yakubuipariro6392 Месяц назад
Magoma akapige2 ngoma takukur wamchunguze inawezekana katoka kuzim kwan hao sindo wanaouuza viwanja mbingun😮😮😮😮😮
@HanifaBruno-lv1qf
@HanifaBruno-lv1qf Месяц назад
Anatumiwa na watu wavuruge kwa uwezo wa mungu huyu shetani magoma mbwa kabisa tena mshenzi
@ridhiwanijuma5743
@ridhiwanijuma5743 Месяц назад
Kumbe tuna wazee wenye akili nyingi kuliko ata wachambuzi
@FrancisBogori
@FrancisBogori Месяц назад
Huyo Mzee me nikwambie yanga daima mbele nyuma mwiko
@michaelmpangwa6366
@michaelmpangwa6366 Месяц назад
Hilo zee Lina njaa hakuna kingine njaa tupu
@lwzmangulu7532
@lwzmangulu7532 Месяц назад
Huyo mzee bahati Yake yaan angekuwabmtaani kwetu si tungemuongezea kiparaa aseee
@MombokaMomboka
@MombokaMomboka Месяц назад
Msumi uwezikusemakweri godoro unaroraria rinachapa GSM.
@user-ru1yk6tc7w
@user-ru1yk6tc7w Месяц назад
Sawa mzee
@sadicksalekhe
@sadicksalekhe Месяц назад
Hao wazee wote hao ndio wanachangia kuiloga simba
@KhamisHassan-ql5ut
@KhamisHassan-ql5ut Месяц назад
KESHATUCHOKOZA MAGOMA NGOJA TUMTIE UBOVU NA HATUMUACHI
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 Месяц назад
HARAKA SAAANA WANACHAMA KUJADILI NA KUPITISHA HAO WAWILI KUFUTIWA UANACHAMA WAO HARAKA SAAANA
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises Месяц назад
uyo mbwa magoma, asitake kutuona wabaya,magoma magoma,kama autkaki kuishabikiya yanga toka 😮
@aminangano3635
@aminangano3635 Месяц назад
👏👏👏👌💛💚💛🙏
@SammyMwita-z7e
@SammyMwita-z7e Месяц назад
Hyo mahakama imerogwa,,,,,,wameona yanga inaendelea vzuri wanaleta longo longo ikasome kwanza Allah
@AbdallaShaban-j1q
@AbdallaShaban-j1q Месяц назад
Huyo mzee atuachie yanga yetu mzee mchaw huy katumw
@user-ut9zv7ft1g
@user-ut9zv7ft1g Месяц назад
Wafafanulie vixuri kwa sababu wameshikilia kidedea mno
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 Месяц назад
DAWA NI KUFUTIWA UANACHAMA WAO HARAKA SAAANA WANACHAMA KUJADILI NA KUPITISHA HAO WAWILI KUFUTIWA UANACHAMA WAO TUUFUTE SABABU NI WASALITI WAKUBWA
@valentinoswenya748
@valentinoswenya748 Месяц назад
Watu wasiojulikana wausike nae uyo mzee
@user-sy4wf5ll4o
@user-sy4wf5ll4o Месяц назад
Magoma uko vzr broo
@damianmcba9525
@damianmcba9525 Месяц назад
Huyu sio magoma huyu ni Mgumi. ,,,,Magoma ndio mzee anaeleta njaa, Zamani walikuwa wanaenda klabuni kukinga,,Sasa hivi akuna hiyo ndio mzee ana mind
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 Месяц назад
Huyo Mzee Magoma wala siyo ni tapeli wa viwanja anashinda kila siku pale Ardhi House
@enockjoseph3818
@enockjoseph3818 Месяц назад
Fact ni kwamba Mzee alitaka apewe nafasi flani ambayo atakuwa anapata chochote kitu halafu awe na sauti pia ifike sehemu tukomeshe huu ujinga na hii inshu jamani tunaimaliza sisi mashabiki juu ya huyu Mzee timu ikifanya vizuri wasemwe wakifanya vibaya wasemwe mashabiki tumvae huyu mtu kwanza alikuwa mwanachama huko katoka kwahiyo Sasa hivi sio mwanachama tunahangaika nae vipi ?
@maryfides591
@maryfides591 Месяц назад
Uyo mzee hanatafuta kifo tu😮
@MohammedAlly-hp8fg
@MohammedAlly-hp8fg Месяц назад
Kwakwel 😅😅😅
@mohamedkutwambi
@mohamedkutwambi Месяц назад
Magoma 😢😢
@GULIELMAS
@GULIELMAS Месяц назад
Wazee msibaguane. Huyo mzee magoma ni mzee mwenzenu msimtupe kwa namna moja ama nyingine. Ukimsikiliza utagunduwa kitu. Clabu mliipokea toka kwa Wazee mkiwa kitu kimoja iweje Leo mu mtenge? Bila shaka kama mngalikuwa mna jinsi ya kuwaangalia hao Wazee wala wasinge peleka case mahakamani. Acheni uroho juaneni.
@user-ck6lf9gg6v
@user-ck6lf9gg6v Месяц назад
Shida tumachagua watu kwa weredi wa kusema sio kwa uwezo wa elimu tutafute viongozi bora hakuna anaewatuma ni uwezo wao tu umefika mwisho eti unaomba ngoja niseme unasema ujinga njaa tu sasa kuwa mwanachama toka 77 umesaidia nini
@gaddafiswallahbawazir7999
@gaddafiswallahbawazir7999 Месяц назад
Magoma mirembe anaitajika 😂😂
@MonahMosafiri
@MonahMosafiri Месяц назад
Mbele daima nyuma mwiko
@saidseleman2973
@saidseleman2973 Месяц назад
Ilo jambo la kishelia amuezi kutoa maamuzi
@tabasamtv6728
@tabasamtv6728 Месяц назад
Najaribu kujiuliza swali hv kuna Club za Nje ya Nchi zina wazee kwenye uongozi wanaojiita baraza.
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 Месяц назад
Kagoma jeshi la MTU MMOJA (Putin)
@user-kz8di5th6e
@user-kz8di5th6e Месяц назад
Uyo ni paka kama mapaka walio mtuma
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn Месяц назад
Hili pepo kagoma linatoka wapi?
@nuruelsamiu
@nuruelsamiu Месяц назад
Kajib mahakamn
@IbrahimMohammed-f2t
@IbrahimMohammed-f2t Месяц назад
Magoma anakitu nimegundua sasa mwnachama anafaidika na nn kwanu mashabiki na wanachama😅😅😅
@yuzolove7120
@yuzolove7120 Месяц назад
Huyu magoma tutampiga mbuzi kagoma mpuuzi sana
@AbdulMuhammed-e5q
@AbdulMuhammed-e5q Месяц назад
Me ctaki kusikia kuhusu injineer kuondok na kama akiondok tunahama yanga
@LisiasiFanueli
@LisiasiFanueli Месяц назад
Huyo Hakim alieamua hiyo kesi anafi........
@KhamisHassan-ql5ut
@KhamisHassan-ql5ut Месяц назад
HEBU HUYO MAGOMA TUACHIENI SISI HUKU ZANZIBAR TUMFANYIE KAZI
Далее
Chelsea gym be like.. 😅⚽️
00:20
Просмотров 6 млн
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Просмотров 383 тыс.