Leo August 23 Mpenja Tv imezungumza na Shabiki kindakindaki wa Klabu ya Simba SC Maarufu kama Mzee wa Saluti ambaye ametoa tambo zake juu ya kikosi chake na matumaini aliyokuwa nayo katika msimu huu wa NBC 2024/2025.
Aidha Mzee wa Saluti amewaomba mashabiki wengine wa Simba SC kuwa na Imani na kikosi Chao kwani bado ni kipya.
27 окт 2024