Shabiki wa yanga SC Mashaka Mpingo 'almaarufu mzee wa utopolo' ameongea na Mpenja TV kuhusiana na hali ya timu yake ya yanga huku akifurahishwa na usajili wa Chama,Prince Dube.
Aidha amezungumzia kuhusiana na watani wao wa jadi Simba SC huku akidai kuwa hawajafanya usajili wa kueleweka.
27 авг 2024