Тёмный

MZUNGU ALIYEUWA MAMBA MKUBWA DUNIANI,MBUNGE MPINA AFICHUA TUHUMA NZITO.... 

OFFTRACK TV
Подписаться 114 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

#OFFTRACKTV #offtracktv #wazirimkuu #kassimmajaliwa #bungelive #bungeni
Karibu kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 whatsapp.com/c...
KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
/ offtracktv
Email | info@offtrack.co.tz
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 769 612 166)
🔴 Email: info@offtrack.co.tz
Www.offtrack.co.tz
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
...............................................................................................
Subscribe: / offtracktv

Опубликовано:

 

2 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 94   
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 3 месяца назад
Speaker huna uchungu na nchi .....shame on you
@JackiePaul-sd1jt
@JackiePaul-sd1jt 3 месяца назад
Tulia ni mwehu tu kila chenye haki anapinga tu
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 3 месяца назад
Mnateteana ujinga mamba angeingiza Pesa nyingi sana Kuliko pesa alio itoa Huyo jamaa hii NCH Ina viongozi wa hovyo kabisa
@FredymaswiMwita-oj6gv
@FredymaswiMwita-oj6gv 3 месяца назад
Tulia mbona unakuwa kama mtetezi wa serekali badala ya kutetea mwanainchi wa kawaida.. kutoka kwenye meno ya wachumia tumbo
@samsonnyihita3985
@samsonnyihita3985 4 месяца назад
Ila hili taifa wakat mwingine uzalendo ni mdogo asante Sana mheshimiwa mpina kaka
@benjaminkundy128
@benjaminkundy128 3 месяца назад
Mimi sijawahu kujua maana ya bunge
@barakambuzeyonja6935
@barakambuzeyonja6935 3 месяца назад
Yaani Africa aliyesoma na asiyesoma kuna wakati unakosa tofauti nchi hii imezidi kabisa yaani MTU anafanya upuuzi huu kweli Acha wazungu waendelee kutuzalau
@Husenimuddi
@Husenimuddi 3 месяца назад
Huyu spika sio mzalendo kabisa hatuna mtu hapa
@noelimori4621
@noelimori4621 3 месяца назад
Wabunge wa ccm hawana uruma hata kwenye mambo ya hii nchi
@emmanuelkanyela275
@emmanuelkanyela275 3 месяца назад
hapo tumepigwa hila haya angekuwepo chuma msingeona mawindo hayo
@hongerakimbwala8650
@hongerakimbwala8650 3 месяца назад
Angekuwa mtanzania wakawaida Angewinda hata mjusi angesimulia huko jela
@golebenson4597
@golebenson4597 3 месяца назад
😂😂😂mtumwa ndani ya nchi yake
@ErastoMaridadi
@ErastoMaridadi 3 месяца назад
Hicho chama kimetekwa na mafisadi hawana uchungu na taifa hili.toka huko hata kwa usalama wako
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 3 месяца назад
Siku zote mjadala wa mpina uwa unapigwa vita bungeni
@cartersport_1362
@cartersport_1362 3 месяца назад
Huyu spika ,, ngoja ninyamaze mwenye mwanasheria aendelee kuniongelea
@bazilmateru915
@bazilmateru915 3 месяца назад
Kwa afrika mashariki watanzania tupo nyuma sana kujielewa na kufuatilia rasilimali zetu
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 3 месяца назад
Washakula rushwa 😂😂😂😂 nan wakutiwa kitanzi
@mukeshramji1537
@mukeshramji1537 24 дня назад
Hu uamuzi ugefanywa offisini SIYO MPAKA bungeni HUYO Mamba awindwe Au JAMANI hebu fanyeni KAZI vizuri SIYO KILA SIKU nilawama tuu Sisi WANANCHI tuelewe VIPI viongozi wapo Au
@husseinkuchi5510
@husseinkuchi5510 Месяц назад
😂..... Yan apo mtu kashapitishiwa mrungura ......kama anataka mtu kuwinda mamba c angepelekwa kwengine
@AbdallahChingua
@AbdallahChingua Месяц назад
hutu mind ni mzarendo kweli
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 3 месяца назад
Hili bunge inafaa watanzania tulichome moto,hili ni bunge la hovyo mno
@saeedally268
@saeedally268 3 месяца назад
Tatizo nchi hii lipo kwa rais hana lolote ndo mambo kama haya yanatokeya tuna viongozi wa hovyo sana hawatufai naamini 2025 chadema watachukuwa wabunge wengi pumbavu zao hawa viongozi wa hovyo
@josephjeremiah-x5v
@josephjeremiah-x5v 3 месяца назад
Sio spika huyu kaingia kwenye mfumo viva mpina ww wazil lopolopo nenda marekan kawinde bas
@chemli23
@chemli23 Месяц назад
WW spika haufai unatetea ujangili na spika nae yumo kwenye njama hizo.
@judy830-b5v
@judy830-b5v 3 месяца назад
Sijawahi kuona kitu kama hiki tangu kuzaliwa. Ee MUNGU I rehemu nchi yangu.😢
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 3 месяца назад
Poleni sana watanzania
@MwemajaphetyZackalia
@MwemajaphetyZackalia 3 месяца назад
Ivi jamani sisi Watu weusi nani ameturoga ivi hii nchi Kuna Watu kweli Wana ubongo na wakikaa wanafikilia kabisa ivi kweli sisi kweli tana akili pore Mungu anajuta kweli kutuhumba poreni Watu wenye ngozi nyeusi
@czarelija6114
@czarelija6114 3 месяца назад
Hopeless kabisa dada yangu kutetea ubadhirifu
@TeamKRX
@TeamKRX 3 месяца назад
Kwani I watanzanua musiwacharukie hawa wanunge hewa wee I Kama Kenya mamba Kwa tamaa zao wanacheka tu mbwa hawa😤😬
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 3 месяца назад
Hili bunge kweli la ccmu😂 yaani badala muangalie mawala ya uchumi wetu mnawaza mamba, huu ni ufala
@manaseliberatus1347
@manaseliberatus1347 3 месяца назад
Duuu!!!!!!, kazi kweli kweli
@jumannechibaladya6223
@jumannechibaladya6223 2 месяца назад
Alafu unakuta mtu ananifukuza mim niliyebeba gunia la mkaaa aisee
@chemli23
@chemli23 Месяц назад
Kwa Nini apewe kibali mmezoea kuwinda winda tuu.
@bakarininga4100
@bakarininga4100 3 месяца назад
Hao wawindaji hawana waongozaji🚮🚮🚮
@ChristopherChimala
@ChristopherChimala 3 месяца назад
Hapo spika hatuna, hana uchungu na raslimali za Tanganyika, afu mibunge mingine imekaa kimyaaaa, looh !!!
@SalehAbuu-d6h
@SalehAbuu-d6h 3 месяца назад
Uyu ni mtetez wa selikar au ni spika wa bunge
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 3 месяца назад
Watanzania wakikutwa tu na nyama pori....jela inawahusu....leo mamba porini
@ntegrity277
@ntegrity277 3 месяца назад
Huyo jamaa kwanini awinde huyo mwamba wa kipekee sasa mmebaki na kenge watumie sasa Kwa utalii
@HamzaGaudence
@HamzaGaudence 3 месяца назад
😂😂😂 saloot sana
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 3 месяца назад
Uyu mpina ni chama gani ni chadema au maana ana oja za msingi sana
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 3 месяца назад
Jamaa ana akili sana huyu,ila hicho kispika kijinga mno
@christianmwashala9760
@christianmwashala9760 3 месяца назад
Spika kunamda anakua sawa kunamda anapinda pinda
@AshrafuJuma-l3l
@AshrafuJuma-l3l Месяц назад
Bunge iri bovu cja wai kuona
@czarelija6114
@czarelija6114 3 месяца назад
Mmmh mnatuandaa kuingia mtaani
@amanikwayu2808
@amanikwayu2808 3 месяца назад
wanyama hubadilika kimaumbile kuenanda na mda haswa kutokana na changamoto za mazingira, hivyo ukisema kushakuwa na mamba wenye urefu zaidi ya 16 .2 feet wameshawindwa hiyo hoja haina uzito, kwenye ikolojia na wildlife management and conservations science, na mara nyingi jinsi mda unavyoenda ndivyo maumbile yanapungua na kuwa madogo zaidi.
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 3 месяца назад
Uko sawa
@josephjeremiah-x5v
@josephjeremiah-x5v 3 месяца назад
Hakuna spika hapo
@ruzindazajonas8506
@ruzindazajonas8506 3 месяца назад
Kenya, the worst Africana country in politics, human-rights , discipline, disrespect for God ect...
@Faridkhalid-z3p
@Faridkhalid-z3p 3 месяца назад
Watanzania ni maboya hakuna mfano majinga, si bdo mliwapeleka hawa bungeni wawakilishe, majinga milioni 65
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 3 месяца назад
All Tanzania population stand help mpina by full force change Tanzania from dictotaship to civilian tools reject such move chadema odinary Tanzania people stand behind mpina protest so that give ccm who are inside palament cames with capacity of understand they right into Tanzania Palament wekerup chadema use your capacity wekerup tanzania population difend mpina even if the ccm mp because has been difend tanzania people
@Flaviosafari
@Flaviosafari 3 месяца назад
Hamna bunge hapa.
@ruzindazajonas8506
@ruzindazajonas8506 3 месяца назад
Mh.Mpina anatoa hoja ya haibu kwa mtu anaesifiwa kua mtalamu
@omarifadhili651
@omarifadhili651 3 месяца назад
Bunge la kisenge kweli halifai hata kusikiliza
@jumannechibaladya6223
@jumannechibaladya6223 2 месяца назад
Spika imetoboka haitoi sauti ipasavyo... Aisee
@bernadethahalelimana3914
@bernadethahalelimana3914 24 дня назад
Jamani tuliaaaaa ni mtanzania kweli?,
@kalumunakalumuna7403
@kalumunakalumuna7403 3 месяца назад
Hii nchi bhana
@gibrilmongi5646
@gibrilmongi5646 3 месяца назад
Kwani huyu SPOKU ANASHIDA GANI😂😂😂
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 3 месяца назад
Hapo kazi ipo shughuli ni moja tukicheza lafu huku tukishangiliwa na wakuu
@omarinyahegs4539
@omarinyahegs4539 3 месяца назад
Sie ni mwabwege sana
@ChachaChacha-ne6yf
@ChachaChacha-ne6yf 3 месяца назад
Uyo waziri sijawai kumwerewa
@MrGoatAi
@MrGoatAi 3 месяца назад
Amna uzalendo hapo like serious mnajibu hivi
@claudesimukoko1436
@claudesimukoko1436 3 месяца назад
Mpina anaongea kitu cha maana sana alafu wengine wanaishia kucheka tu, na athabu yake ya kufukuzwa bungeni point kama izi zinachangia jama Hakiri nyingi saana
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 3 месяца назад
Huyu speaker hatufai kabisa kuwa kiongoz zaidi ya dictator tu
@wakayakaya6
@wakayakaya6 3 месяца назад
Hamna kitu yaani nashindwa kuelewa hakili hiz
@hamismohamed3541
@hamismohamed3541 3 месяца назад
Humo bungeni wangetoka wote tu coz mi naona kunamatahila tu humo ndani
@msafiriomary893
@msafiriomary893 3 месяца назад
Hampendagi ukweli sjui mpoje
@cosein
@cosein 3 месяца назад
Ningekuwa na mamlaka ningemtumbua spika
@michaelnsingija
@michaelnsingija 3 месяца назад
angekuwa mubongo angekuwa jera
@JackiePaul-sd1jt
@JackiePaul-sd1jt 3 месяца назад
Hilo ni bunge Haram na sio bunge tukufu
@IsakaMgeje
@IsakaMgeje 3 месяца назад
Nchi hii ishakua ya kifara na Inaboa kinoma yani .Wanaangalia Matumbo yao tyu .
@BARAKAJOSEPH-j4u
@BARAKAJOSEPH-j4u 3 месяца назад
Duh b😂😢
@marcomayalla5138
@marcomayalla5138 3 месяца назад
Hiii sio Tanzania hawajari kabisa achainyesheeeee
@blockchain1203
@blockchain1203 3 месяца назад
Mpina Anahangaika sana anachokitafuta atakipata tu..Mzee wa Negativity tu anaweza akawa na hoja ila Timing yake Mbovu..! Anyway the end will justify 🚶🚶
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 3 месяца назад
Acha chuki zako binafsi
@MrGoatAi
@MrGoatAi 3 месяца назад
Bunge dhaifu
@ErastoMaridadi
@ErastoMaridadi 3 месяца назад
Wabunge wanatia aibu
@SmithJacob-f2r
@SmithJacob-f2r 3 месяца назад
Sasa kwan tuna bunge 😅😅😅😅😅
@robertmoshi2113
@robertmoshi2113 3 месяца назад
mh spika 😢
@jiddahmaulidi3572
@jiddahmaulidi3572 3 месяца назад
Haya huyo mamba wamemzika
@ErastoMaridadi
@ErastoMaridadi 3 месяца назад
Hata waziri anaona aibu,hawa watu hawana uchungu na taifa hili.wanajali masrahi binafsi
@romanambelle6356
@romanambelle6356 3 месяца назад
Ila tulia khaa😮
@hekimamtazamo4151
@hekimamtazamo4151 3 месяца назад
Hatuna spika in hatuna wazalendo kabisa kwa taifa hili
@EmanuelMinja-fv9dn
@EmanuelMinja-fv9dn 3 месяца назад
Walimuua wa Nini mamba angetumika kma sehemu ya utalii
@FredymaswiMwita-oj6gv
@FredymaswiMwita-oj6gv 3 месяца назад
mpina tunakutegea
@japhetmasatu6149
@japhetmasatu6149 3 месяца назад
Huyu kiti kikuu kinamfaa!
@PeterJonathan-c8k
@PeterJonathan-c8k 3 месяца назад
aliyemwoa huyu spika analo, anajua kupindisha mada
@hosseasimon3887
@hosseasimon3887 3 месяца назад
Na wanachaka wanaona hana maana!!😢😢😢
@wilsonmoses2761
@wilsonmoses2761 3 месяца назад
Mambo ya ajabu kabisa
@manaseliberatus1347
@manaseliberatus1347 3 месяца назад
NILITAMANI HATA MIMI KUFANYA UTALII WA NDANI ILI NIKAMUONE MAMBA MKUBWA DUNIANI, R. I. P CROCODILE🐊🐊
@Paulo-e4c
@Paulo-e4c 3 месяца назад
Hii ni spika ya kiredio labda
Далее
Лучше одной, чем с такими
00:54
Просмотров 851 тыс.
I Took An iPhone 16 From A POSTER! 😱📱 #shorts
00:18
Лучше одной, чем с такими
00:54
Просмотров 851 тыс.