Тёмный

MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 139 тыс.
50% 1

MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

2 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 333   
@zephreinsuleimanpriciselyu5223
@zephreinsuleimanpriciselyu5223 2 месяца назад
Mpina ni mbunge wangu Wa jimbo la kisesa, Hongera sana Saizi ushakuwa jembe Usiogope tuko nyuma yako❤❤
@user-ps6wm2qm4f
@user-ps6wm2qm4f 6 дней назад
Hongera sana Mbunge Mpina.Tunahitaji kuwa wakweli na wawazi sio makofi tu.Haileti maana yoyote.Hatutajenga Taifa hili kwa style hiyo
@Elimunamalezi
@Elimunamalezi Год назад
Yaani speaker Tulia unajua sana na hongera sana upo vizuri sana ,yaani wewe dada upo vizuri sana nakupenda bure ,unajibu hoja vizuri sana
@user-sk1xp8of6x
@user-sk1xp8of6x 20 дней назад
Spika wetu nakupenda Sana asa unapotoa maelekezo nimempenda upivyomjibu jenista muagama huyu kazi yake ni kuwazuia wabunge kusema!!! Hongera mh spika wetu!!!
@user-gg1ef9gc3t
@user-gg1ef9gc3t 5 месяцев назад
Hongera mbunge mplna tungewapa watano kama nyingi tuko mbali sana
@daudwilliam2326
@daudwilliam2326 20 дней назад
Dr Tulia is one of best speaker in this country big up madam ur right mauwa yako chukua una umakini ulio pitiliza mpina yupo right tulia yupo right ila hao wengine wame rukia gar kwa mbele na kukosa umakini hasa huyu jenista kwanza ana poteza mda😂😂😂😂😂
@GeraldLembris-jr3yz
@GeraldLembris-jr3yz 4 месяца назад
Hongera sana dr tulia. Nafasi alokupa mungu inakustahili kabs, pia mpina mungu akuongezee confidence ulonayo kutetea wananchi
@Luhende1
@Luhende1 Год назад
Hongera Mhe Mpina, Hakika una uwezo mkubwa sana, umewapiga kwa hoja mpaka wametulia! Na hongera kwa Mhe Spika wa Bunge, unachambua hoja vizuri sana!
@pendokimathi99
@pendokimathi99 8 месяцев назад
Mpina kuna watu pia wanauwawa ngorongoro pia hao uwazungumzie hongera kwa mada yako
@gagalinodenatrick1652
@gagalinodenatrick1652 3 месяца назад
Kiukweli huyu spika akigombea urais naenda kupiga kura anatenda sana haki
@agnessangawe3844
@agnessangawe3844 3 дня назад
SAFI SANA SPIKA UKO SAHIHI.SIMAMIA HAKI NA UKWELI.MUNGU AKUBARIKI
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 9 месяцев назад
Hongera Mpina hapa wabunge wengine hata kufuatilia cho chote. Wanataka kuwa wachawa tu kwa kweli hali ya hili bunge lake ni dharau tu wanatutendea maovu mengi.
@agnessangawe3844
@agnessangawe3844 3 дня назад
Mungu akubariki Mh Mpina.
@mokeya
@mokeya 5 месяцев назад
Bunge hili jmn kidg nitukane walah mungu nipe uvumiliv . Limekuw bunge lakutetea viongoz na cy lakutetea wananchi . Mpina mungu akulinde sana upo sahihi
@victorjames3730
@victorjames3730 Год назад
Wabunge wanafanya utoto😢😢😢
@magesagambajr3546
@magesagambajr3546 5 месяцев назад
Ndo nimegundua kuwa ili bunge limejaa wa kupiga makofi bila kuelewa Nini kinaongeleka Hongera sana Mpina lkn Pia Speaker mtu makini sana salute kwako
@patsonanyitike9584
@patsonanyitike9584 3 месяца назад
Mpn Doo mmbunge peke yake
@zephreinsuleimanpriciselyu5223
@zephreinsuleimanpriciselyu5223 2 месяца назад
Yaani kama huyu Anaejiita Jenister ni hovyoo kabisa Mpina excellent
@marianmartin7483
@marianmartin7483 Месяц назад
Muhagama anapoteza muda wa mh Mpina. Spika umeelewaka vizuri sana.
@hayeshimpeziy
@hayeshimpeziy Год назад
Hapa nimemkubali sana Mh. Spika, kwanza ni msikilizaji mzuri sana, ilibidi nirudi nyuma kusikiliza hoja ya Mh.Mpina vizuri..She is so much brilliant. Yaani hoja ni moja tu kama kama maelekezo yalitolewa na Waziri Mkuu yamefatwa ama laa
@magesagambajr3546
@magesagambajr3546 5 месяцев назад
Speaker,of course she's bright leader
@danielmkulat1598
@danielmkulat1598 Год назад
Hongera Mh.sipika kwa uchambuzi wa kina
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf 8 дней назад
Professional speaker i love you my dear good day you stand with Tanzanias citizen
@MasanyiwaDeus
@MasanyiwaDeus 2 месяца назад
Mpina ubunge unautendea kazi mungu akubariki ,,,bila kksahau spika wa bungu you are so bright at all
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 7 месяцев назад
Huyo mama jenista kazi yake kubwa ni hii kweli...ameumia sana kuhusu kauli hiyo
@prosperjohn2047
@prosperjohn2047 5 месяцев назад
Jenista soma hata mitandaoni uone uachoeleza na Cha mpina, we unge tulia tyuuu mama angu, na Mungu akupe umri haraka haraka Ili.....
@zesootv6726
@zesootv6726 Год назад
Mpina upo vizuri hla nchi yetu hii utakufa mapema ukiwa na msimamo kama huo ndugu yangu ww chakufanya jaribu kula na kipovu kwasababu hao hao wanao piga makofi ndiyo wasaliti .
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 7 месяцев назад
Haya makofi, yana maana gani?
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 9 месяцев назад
Wewe Ndumaro siku zote unapenda kuongerea kujipendekeza na wote ni wapiga makofi tu. Sasa hapa kuna bunge au ni vitu vya ajabu sana. Hata sisi wanainchi hatuoni kama tuna wabunge wakiwa hatuna wawakilishi wo wote. Mpina ndiye peke yake anakumbuka wanainchi waliowapeleka bungeni lakini wengine hamna habari na sisi wanainchi
@JosephLukumaiLukumai
@JosephLukumaiLukumai 7 месяцев назад
Mh. Yuko sahihi ujawahi shindwa mungu akubariki
@Msafirimzigwa
@Msafirimzigwa 27 дней назад
Mim ninaiman kunawabunge awajielewi na awajui majukum yao
@juliusmartin1839
@juliusmartin1839 Год назад
Waziri wa Mali Asili na Utalii alitakiwa kumpa Mbunge taarifa ya hoja...siyo kazi yake kumtetea Waziri Mkuu...waziri Mkuu analindwa na Kanuni.
@manaxelukama2926
@manaxelukama2926 7 дней назад
Ni mmoja ya mbuge ambaye wananchi wake wanajivunia kuwa na mbunge imara na mtulivu hongera saana damu ya kisukuma kwa utumishi mzur
@malcomx4067
@malcomx4067 Год назад
Mpina ndiye mbunge pekee aliyebaki mwenye ideology ya Magifuli ya kuwatetea wananchi.
@gracemima5234
@gracemima5234 Год назад
Kabisa. Samahani nikisema karibu wabunge wote ni mazuzu. Hawako bungeni kutetea wananchi zaidi ya matumbo yawo
@ahmadmlima8155
@ahmadmlima8155 Год назад
Uko vizuri sana Mhe.spika
@robinsonpaschal8550
@robinsonpaschal8550 2 месяца назад
Spika uko vizuri umemjibu vizuri jenesta muhagama. Jenesta muhagama anatetea kiti na si point. Mawaziri wameisha jijengea tabia ya kuteteana bila kujali matakwa ya inchi
@Trys6254
@Trys6254 Год назад
spika kwel kaiva kisawa sawa kwakwel nakubali sana
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 21 день назад
Mungu aipe Tanzania viongozi wakuwatetea watanzania. Kwa woga tulio nawo viongozi wengi hawafanyi Kazi zawo kwa faida ya watanzania, bali kutetea nafasi zawo na kujishibisha wenyewe. Wabunge walizko bungeni kwa kutetea haki za watanzania kimya. Hawana hata AIBU kupiga męża kumpinga Mpina mutetezi wa watanzania. Hawa jeśli tuwaite vyula viziwi.
@josephatdunda1937
@josephatdunda1937 Год назад
Mpina usirudi nyuma, ni wengi mno tunaokuunga mkono
@mpajibinaisa7238
@mpajibinaisa7238 7 месяцев назад
Big up sana kwako spikia kwa ufafanuzi huo nimekuelewa sana
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 Месяц назад
Hongera sana Mh.Spika uko vizuri sana.
@sethkivuyo3342
@sethkivuyo3342 8 месяцев назад
Jenista Umepuyanga kipumbavu mno
@gracemima5234
@gracemima5234 Год назад
Tanzani ya Samia imekuwa mateso kwa watu wa chini. Viongozi wetu ikiwa pamoja na wabunge hawawajali kabisa watu wa chini.
@andrew29468
@andrew29468 9 месяцев назад
Safi sanaaa spikaa Umeongea vzr.Lazima kuwatetea wabunge wanaotoa hoja nzr zina na hata km zinamgusa kiongozi ndio demokrasia hiyo tuvumilie
@gustavrwekaza802
@gustavrwekaza802 2 месяца назад
🎉yaani spika umepewe maua yako katika hila ,Jenesta Mungu anakuona
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 9 месяцев назад
Hongera ndugu mbunge Mpina
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 9 месяцев назад
Kweli kabisa nakuelewa vizuri kwa sababu wabunge wengine wako kama wachawa tu. Kama ninyi mmetuchoka wanainchi ondokeni bungeni tuweke wengine kabisa. Sasa katika hayo tatizo la Mpina amekosea wapi?
@pendokimathi99
@pendokimathi99 8 месяцев назад
Umo ndani kuna wabunge vichaaaa na chawa wa viongozi sasa tunalitumia bunge ujumbe tukutane mtaani 2025 mpina waache wakae wakijua mbabe bado yupo anachoongea mpina yupo sahihiiiiii
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Год назад
Leo ndio imedhihirisha Wabunge wetu wengi hovyo ila Spika yupo vizuri sana
@sarahkingunza1516
@sarahkingunza1516 10 дней назад
Ubarikiwe sana spika
@herielinassary3645
@herielinassary3645 7 месяцев назад
Asante mh spika apo ni sawa
@laurentmichael8124
@laurentmichael8124 17 дней назад
Tulia ni kiongozi bora sana
@ruthsimon5846
@ruthsimon5846 11 дней назад
Sana!
@jacksonmwakasege6210
@jacksonmwakasege6210 4 месяца назад
Mpina wetu,Hongera sana!!!
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 4 месяца назад
Jenista kikwazo sana. Kuna mawaziri shida na mizigo.
@WILLIAMCHINA
@WILLIAMCHINA 8 месяцев назад
Mh. spika Wabunge Waelewe Mpina Anazungumza Ukweli , Chaguzi Zetu Kama Waziri , Anajibizana na Mbunge Hoja Aslimia Kubwa Huku Mitaani kila Mtu Anafanya Kazi.
@MohamedBlanker-jw9qy
@MohamedBlanker-jw9qy 7 месяцев назад
Hongera spika hongera mpina
@diomedesmwesiga4007
@diomedesmwesiga4007 Год назад
Spika wa bunge wazaz wako washukuriwe maana ela ya shule waliitoa kwa jasho lao sio za kuchota kama wengneo swaaa
@kudratkadawi6881
@kudratkadawi6881 Год назад
Kabisaaa
@luhanyamipawantobi6888
@luhanyamipawantobi6888 Год назад
Yaan natamani kuwa namtoto wahivi mimi
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 Год назад
Safi sana spika makini .
@ManaseJubilate-kk2gz
@ManaseJubilate-kk2gz Год назад
Bunge fuata upepo, so sad kwa kweli 😮,hebu tuwe wakweli wananchi waliopo huku field ndo tunajua ukweli wa mambo,hv tuna mawaziri na wabunge wasiyojua kupambanua mambo kwa kiasi hiki!?
@victorsanga2229
@victorsanga2229 Месяц назад
Jenester hana hoja, maelezo ya spika kuhusu mchango wa Mpina yapo sawa.
@josephinamkono5183
@josephinamkono5183 10 дней назад
Sasa kama waziri mkuu anatoa maagizo arafu hayatekerezeki na yeye nimmoja wao Kwenye tatizo ndomana ndomana hayatekelezeki🎉
@charlesmarco248
@charlesmarco248 2 месяца назад
Hongera kipenz Cha watu
@letustalk.tuongee2186
@letustalk.tuongee2186 Год назад
Mawaziri hawezi kujibu maswali. Wabunge wanapiga makofi kwa kila jambo yaan hawaeleweki lipj wanalipigania lipi wanahitaji. Hatuna bunge. It is just a meeting of a few people making money for nothing . It is shameful.
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 16 дней назад
Hivi kwanini? Mpange kununua tugoma twangozi hamoni kwamba wengine wanaiga kupiga ngoma
@CharlesSomeke-ml7ju
@CharlesSomeke-ml7ju 9 дней назад
😂😂😂😂😂
@emanuelkidali9733
@emanuelkidali9733 2 дня назад
Mpina yupo sahihi kabisa
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 3 месяца назад
Asante mh Spika kwa kukitendea haki kiti Ongera
@user-sk1xp8of6x
@user-sk1xp8of6x 20 дней назад
Akina getere awa ni moja ya kazi mbaya iliofanywa na jpm kuleta wabunge ambao wapo tu,wafugaji wa nchi hii wanatumia Sana!!! Mpina yupo sahihi!!!
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 4 месяца назад
Kama hayo ni kweli mhe Mpina hakika uko sahihi na Mungu atakulipa.
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 5 месяцев назад
HONGERA SANA MH.TULIA KWA SASA UNAITENDEA HAKI TAALUMA YAKO HONGERA SANA!!! URAIS WAKO WA DUNIA UNAKUSTAHILI SANA.
@GeraldLembris-jr3yz
@GeraldLembris-jr3yz 4 месяца назад
Kabisa kaka
@user-gu3yc1gw3v
@user-gu3yc1gw3v 5 месяцев назад
Spika tulia maua yako 🎉 unajua mpina si mwamini sana lakini spika umetenda haki safi sana hongera
@user-sr6tr7ko7w
@user-sr6tr7ko7w Год назад
😂😂😂😂😂 nicheke mie, eti bunge tukufuu!! Wote wezi watupu.
@uwezomayonko5101
@uwezomayonko5101 7 месяцев назад
Huyu mama ni mnafiki sana na habadiliki ninafikiri unafiki huo alizaliwa nao
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 14 дней назад
Hongera spika nakufutilia kwa karibu sana hebu wamuache mpinaachngie jamani
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 16 дней назад
Mnalindana kisa vyeo mpeni lukusa mpina mpina hongera mungu akulinde
@yassinhamza1969
@yassinhamza1969 Год назад
Tanzania tuna wabunge wawili tu mpina na kishimba tu
@azaellivingston7415
@azaellivingston7415 Год назад
dr Msukuma na Gwajima umewaweka wapi?
@timothalex3249
@timothalex3249 Год назад
Spika anaakili sana
@bobwhite9252
@bobwhite9252 Год назад
bunge limejaa wapiga makofii,ni aibu...as if ni kikundi flan cha watu waliojimilikisha nchi
@nangugu1657
@nangugu1657 7 месяцев назад
HakiKa mpina uko vizuli kwelikweli Upo makini na unaonesha ni kiongozi mahili usiye ogopa sula ya Mtu na unajikita Kwenye haki kwelikweli
@ahmadmlima8155
@ahmadmlima8155 Год назад
Kikubwa kinacho takiwa ni utekelezaji wa Maagizo ya viongozi wa juu Maagizo Yana tolewa Mhe waziri wetu Mkuu. Haya tekelezwi.
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 7 месяцев назад
Watu wengine wapo kama watu sijui kwa nini hao watu wapo
@nedkatunge5702
@nedkatunge5702 Месяц назад
Jenister tupe maelezo kama tulia alivyoeleza napata wasiwasi na kiwango cha elimu yake ninavyoona huyu anapalilia unga wake
@zakariamigeto3543
@zakariamigeto3543 Год назад
spika anafaa sana
@prosperjohn2047
@prosperjohn2047 5 месяцев назад
Ahsante sana muheshiwa spika
@user-xi2mf4xh7r
@user-xi2mf4xh7r 13 дней назад
Mpina yuko sawa kabisa,kilichopo ni Waziri mkuu kufuatilia ni nani asiye tii tamko lake?
@ngomaagustino5826
@ngomaagustino5826 Год назад
Wanapiga makofi wanataka hawaoni jinsi wananchi wanaumizwa ,na askari wa tanapa wanaopiga makofi wapokwa masilahi Yao na kupiga makofi wakitaka uteuzi
@ChristerShao
@ChristerShao 5 месяцев назад
Tunahitaji wabunge wanaotetea kusemea wananchi magumu wanayoyapitia sio wabunge wapiga makofi.
@KasangaKalanga-vo6od
@KasangaKalanga-vo6od Год назад
Mm nawashangaa wabunge wa Tanzania wanashabikia ujinga
@WILLIAMCHINA
@WILLIAMCHINA 8 месяцев назад
Waheshimiwa Wabunge Wetu , Anachorenga Mbunge , Hoja Ya Mpina Ni Ukweli Watendaji Walioko Huku Wamejikita Kwenye Utaratibu Wao , Hata Aridhi kunavitu Haviko Sawa Mpina Anacholengo Waziri Mkuu Amri Yake Watendeji Wanapuuza , Wanachofanya Wabunge Ni mambo Ya Hovyo Kwa Viongozi Tunaamini Unakinzana Kwa Fujo kumzuia Mtu Kuwakilisha Wanannchi
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 7 месяцев назад
Asante mbunge kutusemea wafugaji
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 Год назад
Msukuma kutoka Mwandu itinje HONGERA SANA Mpina
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 16 дней назад
Spika uko vizuri
@omaryjudasymwanga7172
@omaryjudasymwanga7172 8 месяцев назад
Kuna wakati ukifanya.maamuzi.kama kiongozi usiangalie kule kuna mtoto wa shangazi ilimradi anasimamia utumbo wa kuangamiza wengi zibua don't accept double standard mtavuna laana badala ya baraka
@ommyregga5829
@ommyregga5829 Год назад
Safi mpina
@omaryjudasymwanga7172
@omaryjudasymwanga7172 8 месяцев назад
Mnapiga makofi watu wanaumia na mali zao nadhani kuna uwezo wa kiutendaji na uwezo wa kufikiri kwa pamoja tembeleeni maeneo na wananchi husika ndio muongee
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 21 день назад
Huyu ndiye Mbunge wa kweli kweli, wengi ni vilaza, Hawajami shida za wananchi kabisa. Mpina watanzania wakenya haki kwa wote wanakupenda. Endelea kutetea Tanzania na watu wake.
@suleimanmnondwa9794
@suleimanmnondwa9794 10 дней назад
Mpina Mpina Mpina . Mungu yupo na wewe
@usitocassian3286
@usitocassian3286 13 дней назад
Sipika unaakili sana nimekukubaki mama
@jofreysaimoni4964
@jofreysaimoni4964 5 месяцев назад
Mpina upo sahihi pamoja namachawa kuwa wemgi
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 Год назад
Dhuluma haijengi haifai kudhulumu muogopeni mungu
@FrankNzombo-ps8gw
@FrankNzombo-ps8gw 11 месяцев назад
Kuna watoto ndani ya ukumbi wa bunge Mazezeta yanafunga meza badala ya kutetea hoja
@emmanuelshija9402
@emmanuelshija9402 9 дней назад
mpina na wanyama mtamkoma waulize wasukuma wa kwa joseph nyavu zao😂😂😂😂
@bobwhite9252
@bobwhite9252 Год назад
tuna spika mwenye akili sana
@najimmakongoro8024
@najimmakongoro8024 Год назад
Spika 🤝🙌🏽
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 9 месяцев назад
Tuna viongozi mshahara, critical thinking hakuna
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 Год назад
Bunge la hovyo bunge ndio. Kusifia sifia upumbavu. . tungepata wazalendo 5o tu kama mpina tungepiga hatua kubwa mno
@WitoKevela-ex2bp
@WitoKevela-ex2bp 2 месяца назад
Mh. Spika wa bunge nakukubali sana
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 15 дней назад
Asante sana sipika kuto kuwa na upande
@Dominaevance
@Dominaevance Год назад
Very Sad Kwa Upande Wa Wabunge Busara Nikumuqcha Mbunge Achangie Hoja Yake hata kama haikufurahishi Wewe na Finally Serikali ndo inaambiwa na inatakiwa kujibu Wabunge nao wanamfanyia fujo Mbunge mwenzao, Hongera Mpina Tuko pamoja
@AlhadjtwahaMbululo
@AlhadjtwahaMbululo 2 месяца назад
Kamati ya ulinzi, napendekeza huyu Mh Mpina apewe ulinzi mkubwa sana, cc wananchi tunamhitaji aweze kufichua uozo ndani ya serikali. Ni kiumbe muhimu sana kwa faida ya nchi hii.Bunge limenoga mfano la wakati ule akina Lissu na timu yake wakiwepo, M'mungu katuletea huyu kiumbe kwa makusudi maalumu. Sijui nimeeleweka?
Далее
D3 Ваз 2107 Не умри от зависти!
18:57
Июль в Tanks Blitz
51:46
Просмотров 91 тыс.
Mpina ajibu wanaosema anaipinga Serikali
38:01
Просмотров 45 тыс.
D3 Ваз 2107 Не умри от зависти!
18:57