Тёмный
No video :(

UTACHEKA KUTANA NA AISHA MCHINA ANAEPIKA VYAKULA VYA KITANZANIA CHINA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 180 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

2 апр 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 267   
@castoljmwalyego3778
@castoljmwalyego3778 5 лет назад
Swahili to the world... Tanzania flag to the world..... Ahsante.......
@emmyjuma5171
@emmyjuma5171 5 лет назад
Yaaaah
@enockkilatu41
@enockkilatu41 4 года назад
Jack
@claysonjulius6520
@claysonjulius6520 3 года назад
Tunapeperusha bendera!!
@castoljmwalyego3778
@castoljmwalyego3778 3 года назад
@@claysonjulius6520 pamojaaaa
@nassorkhatib8645
@nassorkhatib8645 5 лет назад
Hongera sn kijan wng sultan mungu akujaalie ufike mbali zaid.. pia sharo kwa dada Aisha kutupikia vyakula vya kibongo mm npo Hangzhou ila sku nikij Guangzhou ntakuj kula mkahawan apo 😘
@is-hakhassan1090
@is-hakhassan1090 5 лет назад
Nassor Khatib chiiii
@justinmagotti
@justinmagotti 5 лет назад
Wachina watu wa kazi sana..imagine hajawahi kufika bongo..lakini imebidi ajifunze kiswahili ili aende sawa na wateja wake..hili ni somo tosha sana kwa watanzania
@kagirisamson9221
@kagirisamson9221 5 лет назад
Hata wabongo wapo wanapiga kichina balaa
@mwajumasaidi5236
@mwajumasaidi5236 5 лет назад
Justin Magotti q
@alikiba9960
@alikiba9960 5 лет назад
Twafanana majina ya Babu Magoti..ila sielewi
@paulofesto4948
@paulofesto4948 5 лет назад
Ee ase!
@muhammadnnacho7425
@muhammadnnacho7425 5 лет назад
Hv v2 vya kawaida....kutana na mama wa kimasai hajasoma lkn anaongea kizungu na anamuuzia mzungu vinyago
@ramadhannasibu7753
@ramadhannasibu7753 5 лет назад
Good. I will be there kupata chakula cha nyumban. 👌👌👍👍💪🏽💪🏽
@bjzee1981
@bjzee1981 5 лет назад
Kajifunza kiswahili miaka minne bado ana mumunya na yuko sawa. Mtanzania akisoma eglish kuanzia form one to form four akatoka hajui hata kujitambulusha mna mwita mjinga
@pasquallungwa3517
@pasquallungwa3517 5 лет назад
Hapo umechanganya vitu viwili kati ya mfumo wa elimu ya tz ya miaka 4 na kujifunza lugha ya kiswahili kwa miaka 4 kwa huyo mchina, hupaswi kuringanisha kihivyo
@rehemahramadhani3428
@rehemahramadhani3428 5 лет назад
inategemea alijifunza vip kunakusomea darasan na kukaa na watu ambao wanajua lugha mm hp najua kiarabu na huu ni mwaka wa 3 naongea kama waarabu wenyew
@zuwenadavid856
@zuwenadavid856 5 лет назад
Hahahaahhahhaahjahahhajajajaaj nimecheka kwanguvu😂😂😂😂😂😂😂
@theophilotheodosy5565
@theophilotheodosy5565 5 лет назад
Do minne... Tusijisahaulishe 7 ya primary 🤣🤣🤣
@rasterwangu9708
@rasterwangu9708 5 лет назад
englishi ya skuli ni ya somo sio ya lugha
@suratfrank6282
@suratfrank6282 5 лет назад
Dah mchina anabonga kiswahili wakati baadhi ya wabongo mafara wnajifanya wazungu# hongera Aisha
@michaelkiumba6015
@michaelkiumba6015 5 лет назад
millard kazi nzuri kaka mungu azidi kukubariki tuzidi kuona vitu vingi
@hamzalaus9599
@hamzalaus9599 5 лет назад
Hongera Sana Aisha kwa kuitangaza tanzania respect agoshi kwa kumuungisha aisha
@maezadam5492
@maezadam5492 5 лет назад
Kama unangalia 2019 gonga like hapa😎😎😎😎😎
@williamalex4792
@williamalex4792 5 лет назад
Yaani huyu anafaa apewe uraia kabisa maan na ameutangazia ulimwengu kuhusu tamaduni za ki kwetu
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 5 лет назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hongera Aisha Kiswahili Hatareeee.
@talibally842
@talibally842 5 лет назад
Asanteee Millard dayo kw kuleta vpnd km hv n pia jribun kupit nchi nyng kujua ynayofnyk Kun wt haw jaajiriw il wmejiajir wenyew n wkion mmbo km hy nd wnxd kuwa n frja Hongern xn 🙏🙏👏👏
@gallousgosbert4993
@gallousgosbert4993 5 лет назад
Asante sana wachina wote tunawapenda pia najivunia kuwa Mtanzania.
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 5 лет назад
Aysha niajiri bas na mm jamani niko Beijing nikupikie vyakula vya kitanzania🔥❤😊👌
@teachingtruthmissionafrica9998
Yani Mimi.miaka 35 sijui kichina
@bantuvoicemuchaikinuthia2536
@bantuvoicemuchaikinuthia2536 5 лет назад
Nime ingia china kama nime kuzidi umri lakini sasa nakiUngumza... sasa takriban miaka miwili nimekuwa huku... Unayo nafasi..🇰🇪🇹🇿
@rehema2018
@rehema2018 5 лет назад
Teachingtruth Missionafrica Kichina kigumuu bhna 😂😂😂
@merlinahwillie3139
@merlinahwillie3139 5 лет назад
Haha ua point killed me
@pelusiemanueli6926
@pelusiemanueli6926 5 лет назад
😂😂😂😂😀
@elizabethsamwel9903
@elizabethsamwel9903 5 лет назад
😂😂😂😂😂
@abdulisimba6035
@abdulisimba6035 5 лет назад
I do like that hakika Naipenda TANZANia yangu...
@salamoman9375
@salamoman9375 Год назад
Mashaallah ❤
@mtaalamwamambo2099
@mtaalamwamambo2099 5 лет назад
Aisee Aisha Anaongea Kama Chiriku 😂😂😂😂😂
@susanw8926
@susanw8926 5 лет назад
🤣🤣🤣
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 5 лет назад
😂😂😂😂Umeonaaaa
@muniraabdul205
@muniraabdul205 5 лет назад
😂😂😂😂😂
@omaniom6030
@omaniom6030 5 лет назад
@@muniraabdul205 😳😳😳
@fadhiliromwald
@fadhiliromwald 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@KaluperumaSL
@KaluperumaSL 4 года назад
Wow wow.... Am sri lanka 🇱🇰 Kalu 💓
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv Месяц назад
Mimi nipo hapa 🇨🇳 nataka kufika hapo ipo sehemu gani❤
@ratwifamajid3383
@ratwifamajid3383 5 лет назад
apo kwa maini nilikua nimesikia kama kasema mende😂😂😂😂lakini nipoa nimeipenda ongela sana aisha mwanamke kazikazi💪💪
@babukasiaka2833
@babukasiaka2833 5 лет назад
uwiiii wewe utanivunja mbavu mwaya duh!
@reyham1722
@reyham1722 5 лет назад
Nimechekaaa uwiiiii
@merinayakobo2078
@merinayakobo2078 5 лет назад
.
@fatmaabdi1722
@fatmaabdi1722 5 лет назад
😁😁😁😁
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 2 года назад
Saaafi Kiswahili hicho
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 5 лет назад
Daah yani aisha nime mkubali sana aisee yuko vizuri
@qudratv9169
@qudratv9169 5 лет назад
Hyo kalii😄😄 Ugali mlendaa china, kwanza anapata wap muda wa kupika vtu vyote hvyo na yupo mwenyew
@emaneez
@emaneez 5 лет назад
Yupo na mumuwe . acha kukurupa
@badaral6167
@badaral6167 Год назад
Mashallah Aisha
@husseinkitingi8186
@husseinkitingi8186 5 лет назад
Agoshi vizuri sana bro umepiga boonge la atua enzi ya ilala hakuna aliekuzania ivi cku 1.. Good
@ashnaomi2385
@ashnaomi2385 5 лет назад
Wow nime Kupenda Aisha mnaubunifu.
@a.856
@a.856 5 лет назад
Asanteni ayo tv mnawork hard kutuletea habari
@rozeeroz2515
@rozeeroz2515 5 лет назад
Good job hongera Aisha
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 5 лет назад
Hongera sana Collage mate wangu Sultan lakini unatakiwa uwafundishe Kiswahili Fasaha ili wakifahamu. Mpe hi Cameraman wako Mohammed HB
@ramadhanjuma5046
@ramadhanjuma5046 3 года назад
Good
@hamisaferuzi4648
@hamisaferuzi4648 3 года назад
Waoooooooh Aisha
@superiorsucces5388
@superiorsucces5388 5 лет назад
hongera dada mchina
@kassimayoub5586
@kassimayoub5586 5 лет назад
Kweli kiswahili kigumu umejifunza miaka 4 alaf unaongea hvo hhhhhhh hongera dada aisha
@brinahminja8256
@brinahminja8256 5 лет назад
Aisha miss u mom soon I'll be here
@juliussanane1860
@juliussanane1860 5 лет назад
Safi sana Aisha nimependa kiswahili chakoo
@kudramzee5769
@kudramzee5769 2 года назад
Maashaallah
@lukundomalunga3233
@lukundomalunga3233 5 лет назад
Mchina ashindwi
@user-qs9rn2je4c
@user-qs9rn2je4c 5 лет назад
mko juu hongeren
@clintzeroTZ
@clintzeroTZ 5 лет назад
Hatari fire
@ummydaudi4940
@ummydaudi4940 5 лет назад
hlo zege lake mashallah😋😋😋😋😋
@valerieshinia8526
@valerieshinia8526 4 года назад
Tanzania watu na mzuli😂😂😂😂😂😂😂
@mwanatz5980
@mwanatz5980 5 лет назад
Mashaallah .
@rukkyayub2438
@rukkyayub2438 5 лет назад
Aisha karibu sana Tanzania😀
@bintkirunga4274
@bintkirunga4274 5 лет назад
My name piga kazi safii sana
@austinkennedy9870
@austinkennedy9870 5 лет назад
chips mayai yake inaonekana hatari!!
@zainabmwengela5987
@zainabmwengela5987 5 лет назад
Umewaza Kama mimi
@malongoisack5811
@malongoisack5811 Год назад
Mtangazaji unaharibu Kiswahili MGAHAWA UNAITA MKAHAWA
@adamsilumbe2764
@adamsilumbe2764 5 лет назад
Nimependa kumbe hata kuna watu wanaamini tz ipo na pia inatamaduni zake
@najma3268
@najma3268 5 лет назад
Nimempenda huyu dada,Aisha aniajiri mm niwe nawapelekea wateja vyakula walipo
@hamidaala2832
@hamidaala2832 2 года назад
MimiNimeipendaHyoSuruariYakakaYanjanoooo😃😃😃😃
@salamandavituz30
@salamandavituz30 5 лет назад
Nice
@josephshayo6641
@josephshayo6641 5 лет назад
Nani aliesikia lafudh ya kichina kwa mtangazaj gonga like twende sawa
@fahadjuma5150
@fahadjuma5150 5 лет назад
Hongera AISHA
@marthaminjaminja261
@marthaminjaminja261 5 лет назад
Hongera sana Aisha karb Tz
@hamedmaskari518
@hamedmaskari518 5 лет назад
Ubosh au agosh Alhamdulilah umetengenea
@PESMOBILEHIGHLIGHTS-rt6rc
@PESMOBILEHIGHLIGHTS-rt6rc 4 года назад
Afro dj anawaigizaga sauti sana
@hijazhija316
@hijazhija316 5 лет назад
Aysha mchina vs Juma sharobaro
@lilyrose4066
@lilyrose4066 5 лет назад
Ha ha haaa ingependeza sana!
@lilyrose4066
@lilyrose4066 5 лет назад
Ha ha haaa ingependeza sana!
@nahyasalum8093
@nahyasalum8093 5 лет назад
Adiraha jamani mungu ajalie Aisha kiwasaidia watanzania huko
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 лет назад
Jamani jamani 😝😝😀😀😀😀😀 yaani made in China mpaka chakula Cha kitanzania😄😄😄
@juvicufjumuuiyayavijanacuf9538
Yaani anajua Sana, mm miaka 3 sijui lugha ya watu
@ashuramhando5285
@ashuramhando5285 3 года назад
Shikamoo kiswahili saf china
@nurumambovphelman7852
@nurumambovphelman7852 5 лет назад
Namjua huyu nachakula chao nimekula sana
@nyanzalakaporo2504
@nyanzalakaporo2504 5 лет назад
Duu! Hatari sana Hongera sana Aisha
@rosejoseph9378
@rosejoseph9378 5 лет назад
Nice inapendeza kuona Tanzania ipo juu mpaka china
@EjazAhmad-cl2fb
@EjazAhmad-cl2fb 5 лет назад
Nimepata kitu kutoka kwa Aisha asante millardayo
@jacquelinechalamila2256
@jacquelinechalamila2256 5 лет назад
Hatari Fire
@naimabruno1351
@naimabruno1351 5 лет назад
Ahahahahah
@alimakame8134
@alimakame8134 5 лет назад
Hongora aisha
@narmyheart2021
@narmyheart2021 3 года назад
I lov u Aisha bure bure!! 😂🤣😂😂🤣
@shukridjibril6848
@shukridjibril6848 2 года назад
Duh sawa sawa 😂❤️🤗
@philipbiasaf8889
@philipbiasaf8889 3 года назад
Nakubali siku nikipata bahati nikija apo ndio mahudhurio kibao
@jocelinejohn7294
@jocelinejohn7294 5 лет назад
Uwiii Agosh hatar sana ,Agosh mwenyewe mpishi huyo ni hatareee 🙌🏻🙌🏻🙌🏻,Mchina mbele ya hela anaweza chocolate
@sarahminja7255
@sarahminja7255 5 лет назад
Mmh sili kwa mchina hata kidogo hata akipika vyakula vya kikwetu bado siwaamini naona kama watanilisha chura
@chabycarpoza2998
@chabycarpoza2998 5 лет назад
😂😂😂😂😂hutaki ujinga
@geraldemmanuel894
@geraldemmanuel894 5 лет назад
Njoo China uone kama hutokula
@vivianmahoo8611
@vivianmahoo8611 5 лет назад
Ninakula mbogamboga basi, na maharage
@kautharsalat6449
@kautharsalat6449 5 лет назад
Hongera sis
@swahiliupdates3051
@swahiliupdates3051 5 лет назад
Kumbe hata wachina Wanasema wafrika wanafanana nilizani wafrika tu ndo tunafikiria wachina wamefanana
@amalcsalim-uu7hk
@amalcsalim-uu7hk 5 лет назад
Sisi tunafanana rangi hao wanafanana sura.. wale ni watoto wa baba mmoja
@mirajifikirini6949
@mirajifikirini6949 5 лет назад
Safi sana Mllard
@ramadhanimussa882
@ramadhanimussa882 5 лет назад
Hongera Sana Mjasilia Mali Aisha Kazi Kazi
@mussamkalawa2101
@mussamkalawa2101 5 лет назад
Mmmmh jaman nawaomba waje ,,,,tafadhali mheshimiwa Raisi Jonh pombe MAGUFULi nakuomba watu hawa uwachukue waje hapa Tanzania,,,, nakupenda sana Rais wangu naomba unsaidie waje hata nipige nao picha
@lennoxxmarina9364
@lennoxxmarina9364 5 лет назад
Hongera sana
@subirajohn728
@subirajohn728 5 лет назад
Aisha wangu nakupenda
@beatricehassan4877
@beatricehassan4877 5 лет назад
Wachina wanaipenda Tanzania sana
@abrahimali3628
@abrahimali3628 5 лет назад
Safi sana Bibi AISHA
@faustinelukozi4458
@faustinelukozi4458 5 лет назад
Wow😍😍
@bwwm7914
@bwwm7914 Год назад
upendo mwingi kutoka Kenya wapi video ya hivi karibuni yaani baada ya COVID basi kama polisi wamepunguza vizuizi
@gm7045
@gm7045 5 лет назад
Safi sana👌
@salamahamadisudi1912
@salamahamadisudi1912 4 года назад
Kiswahili cha 🇰🇪 Kisha Mombasa ndio kiko Sawa coz wanazungumza vizuri
@lizzybeth6344
@lizzybeth6344 8 месяцев назад
Kojoa ukalale
@watchme5678
@watchme5678 5 лет назад
Anaongea haraka hatariiiiiiii
@OnesmoEmmanuel-xr2rf
@OnesmoEmmanuel-xr2rf 8 месяцев назад
Yani nikija lazima nikutafute aisha
@mgishakaisi9849
@mgishakaisi9849 5 лет назад
miladi mfanyie mpango wa viza uyo mtoto aje bongo kula bata
@zainaramadhan7769
@zainaramadhan7769 5 лет назад
Mashaallah
@3li_minnahtemba955
@3li_minnahtemba955 5 лет назад
😍😍wow
@florencekashaija7539
@florencekashaija7539 4 года назад
Akili ya Mtu taa ya mafanikio yake.
@hamisinanyata1237
@hamisinanyata1237 5 лет назад
Duuuh safi saana
@oyay2821
@oyay2821 5 лет назад
Safi sana Bi Aisha
@peterogast5983
@peterogast5983 5 лет назад
Hiyo firigisi unatakiwa aseme firigisi ya mnyama gan maana hawachelewi hao vyura Nije nje
@AnitaBekka
@AnitaBekka 5 лет назад
Peter Ogast 😂😂😂😂
@msafiriduwiya7765
@msafiriduwiya7765 5 лет назад
Uyo kashakuwa muislamu ww
@abdulhamidy8920
@abdulhamidy8920 4 года назад
Kwanini askar wanasumbua
@loisjackeliakim4339
@loisjackeliakim4339 5 лет назад
Daaah aishaa
@thehuntervevothehuntervevo7703
Safi sana Aisha
@mathnasaeed3806
@mathnasaeed3806 5 лет назад
semeni kweli yenu watanzania mshawekeza migahawa uko mana watanzania wengi saiv wako china washaweka zizi mnarahisisha huduma ili wakiingia wafrica waingie Tanzania
@juvicufjumuuiyayavijanacuf9538
Well done, Kaka sulu
@annapeter1128
@annapeter1128 5 лет назад
Hyo chips yai konki
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 Год назад
Maishaallah bi Aisha 😂
@husseinkitingi8186
@husseinkitingi8186 5 лет назад
katisha
Далее
Lugha ya Kiswahili yazidi kukua
3:29
Просмотров 44 тыс.
Kufundisha Kiswahili Kama Lugha ya Kigeni
2:00
Просмотров 1,1 тыс.
Historia Fupi ya Kisiwa cha Pate, Lamu.
19:42
Просмотров 55 тыс.
Salama Na JOTI Ep 47 | SIMPLY SPECIAL PART 1
35:15
Просмотров 466 тыс.
TAZAMA WACHINA WANAVYOPIKA CHAKULA CHA KITAZANIA
9:00
Просмотров 140 тыс.