#worldcup2022 #argentina #messi
Unabii huu ulitolewa tarehe 17/12/2022 wakati wa kusanyiko la Kambi ya Patmo katika siku ya tano(5) ambapo mtu wa Mungu Nabii BG Malisa alisema anaona bahati ipo kwa Argentina kutwaa Taji hilo pia na Bahati ipo kwa Messi kuchukua taji hilo na Kweli imekuwa hivyo..UNABII UMETIMIA
13 окт 2024