Nikwel kbsa mtumishi nimeota nipo chooni nachungulia kinyesi baada ya hapo nikaoga nakutoka nje ....najitahid sana kuomba. Nina maadui wengi kunamda ninaroho yakukataliwa nawatu pia napitia magum kwenye ndoa yangu mwanaume amenikimbia mwaka mzima na hakuna sababu yamsingi yakuniacha nilee watoto peke yangu naumia mnoo nakitahid sana kuomba ila bdo sijafanikiwa naomba uniweke kwenye maombi namm
Habari mtumishi Mie nimeota nipo ndani nimelala nikachukua kopo nikajisaidia kinyesi kisha nikawa nataka kukitoa nje watu wakawa wapo nje nikawa wavizia watu wasione nimetoka na kinyesi ndani
Amen mm apo nyumba nilikua naota sana nimeingia chooni lkn imejaa kila mahali mpaka akuna penye unakanyaga lkn sikuizi uwa sioti tena kwa sababu nimeachia mungu mambo yangu yote
Niliota nimekwenda mahali tulikuwa wengi, nawengi wao ni wanafamilia wa tumbo moja, sasa hiyo nikaenda kusaidia nikakuta chooni ni kuchafu sikujisaidia, nikaenda sehemu nyingine hicho ndio kimjaa na wadudu wengi, nikatoka nikaanza kutafakari na kujiuliza nitafanyaje na nimeshikwa na haja, bahati nzuri nikatupa jicho nikaona niko karibu na eneo ambalo nilikuwa ninafanya kazi maana sasa hivi ni mstaafu nikaona niende kujisaidia, ghafla nasikia watu wanaongea kwa nje huyu yuko wapi, halafu ni usiku, nikatoka, wale watu wakaniambia unatafutwa sana na wale ndugu zako wamesema wanaingia watakiacha, bahati nikakutana nao mlangoni wakaanza kama kunilaumu nikawaambia huko siendi ninyi nendeni mara nikastuka kutoka kwenye ndoto, ina maanisha nini?
Mm niliota nimezaa mtoto wa kiume badaa ya kuza nikaenda chooni nilipo fika chooni nikakutana na shetani sasa tunikuwa tuna sukumana alikuwa anataka kuni igiza kwa shimo la choo sasa mm nikapata nafasi nikatoka nje nika mfugia kwa choo Lakin mm sikukojoa ina mana gani
Nmeota nmeenda kwa choo nikakuta kuna tundu limebomoka kinyes kinaonekan na kina funza wengi nikawa naziba lile tu nkaliziba lote hii ina maan gan naomba kujua
@@shiningstarheavenlyembassyMm nimeota nimemaliza kujisaidia kila nikijisafisha kinyesi hakiishikikawa kinadondoka nikakimbilia kwenye maji mengi hii ina maana gani?
@@shiningstarheavenlyembassy mtumishi niliota nimepoteza viatu high heels na raba nikakuta vimetupwa porini raba zimechafuka nin maana yake,then nikaota tena natembea nimevaa raba zilezile ni nyeupe ila zimechafuka msaada maana yake. Niliota siku tofauti