Тёмный

UKIOTA NDOTO YA CHOO AMA KINYESI INA MAANA HII KIBIBLIA. USIOGOPE - Apostle Johaness John 

SHINING STAR HEAVENLY EMBASSY
Подписаться 34 тыс.
Просмотров 27 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

13 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 41   
@subirapallangyo5670
@subirapallangyo5670 4 месяца назад
Barikiwa mtumishi , asante Sana Kwa maneno ya Mungu
@joliapantaleo349
@joliapantaleo349 3 месяца назад
Nimekusikiliza vyema laminitis mimi niko tofauti nikota kinyesi au kimenizunguka hua nafanikiwa sana nanitashika ela sana
@Neema-q3b
@Neema-q3b Месяц назад
Na,je ukiota unafanya haja ndogo yani kukojoa
@mummymaduhu5307
@mummymaduhu5307 4 месяца назад
Asante baba ubarikiwe mno
@agathemichelle238
@agathemichelle238 8 месяцев назад
Bwana Yesu asifiwe Mtumishi Nisaidie kwa tafsiri pls nimeota kwa choo panaja uchafu mwingi sana maana yake nini
@shiningstarheavenlyembassy
@shiningstarheavenlyembassy 8 месяцев назад
ISHARA ya DHAMBI na ROHO CHAFU kukufuatilia
@agathemichelle238
@agathemichelle238 8 месяцев назад
@@shiningstarheavenlyembassy Asante nashukuru kwa tafsiri mubarikiwe na Bwana
@emilywafula9237
@emilywafula9237 8 месяцев назад
Hi..Mimi Niliota majirani wangu wanakuja kijisaidia kwa choo changu ...yani majirani kona zote wanakuja chooni mwangu nimeshtuka😢🙄
@linahkavishe3745
@linahkavishe3745 5 месяцев назад
Asante mimi baada ya kufunga maombi ya toba nmeota namfuta mama yangu mavi mara mbili
@MwaduduFatma
@MwaduduFatma Год назад
Ameen..mtumishi m nliota naenda haja kubwa alaf baadae nkaoga pia Io inamaanisha nn
@HaikaBeatrice
@HaikaBeatrice Месяц назад
Thank you
@inviolathaMasinde-yy1by
@inviolathaMasinde-yy1by 9 месяцев назад
Amen mtumishi
@latifakisena8345
@latifakisena8345 6 месяцев назад
Nikwel kbsa mtumishi nimeota nipo chooni nachungulia kinyesi baada ya hapo nikaoga nakutoka nje ....najitahid sana kuomba. Nina maadui wengi kunamda ninaroho yakukataliwa nawatu pia napitia magum kwenye ndoa yangu mwanaume amenikimbia mwaka mzima na hakuna sababu yamsingi yakuniacha nilee watoto peke yangu naumia mnoo nakitahid sana kuomba ila bdo sijafanikiwa naomba uniweke kwenye maombi namm
@shiningstarheavenlyembassy
@shiningstarheavenlyembassy 6 месяцев назад
Amen
@VeronicaRobert-oy7cf
@VeronicaRobert-oy7cf 5 месяцев назад
Habari mtumishi Mie nimeota nipo ndani nimelala nikachukua kopo nikajisaidia kinyesi kisha nikawa nataka kukitoa nje watu wakawa wapo nje nikawa wavizia watu wasione nimetoka na kinyesi ndani
@SabrinaMsuya
@SabrinaMsuya 12 дней назад
Mi niliota nasafisha kinyesi
@JeniferIminza-ur3wj
@JeniferIminza-ur3wj Год назад
Amen mm apo nyumba nilikua naota sana nimeingia chooni lkn imejaa kila mahali mpaka akuna penye unakanyaga lkn sikuizi uwa sioti tena kwa sababu nimeachia mungu mambo yangu yote
@JoyceOnyino
@JoyceOnyino 6 месяцев назад
Ameniii mjugaji nimeota nimetapa choo inakinyezi na maji ilijaa Kwa choo nanikaosha na mtoto akakuja inaanaana gani
@rehemathomas1160
@rehemathomas1160 19 дней назад
Naomb unisaidie nimeota miti ya nyumban kwang ime katik na upepo mingin imeng olewa kabisa alaf jilan yang ambae hatuongeleshan akaj kuniomb msamaha
@annandunguru2678
@annandunguru2678 10 месяцев назад
Niliota nimekwenda mahali tulikuwa wengi, nawengi wao ni wanafamilia wa tumbo moja, sasa hiyo nikaenda kusaidia nikakuta chooni ni kuchafu sikujisaidia, nikaenda sehemu nyingine hicho ndio kimjaa na wadudu wengi, nikatoka nikaanza kutafakari na kujiuliza nitafanyaje na nimeshikwa na haja, bahati nzuri nikatupa jicho nikaona niko karibu na eneo ambalo nilikuwa ninafanya kazi maana sasa hivi ni mstaafu nikaona niende kujisaidia, ghafla nasikia watu wanaongea kwa nje huyu yuko wapi, halafu ni usiku, nikatoka, wale watu wakaniambia unatafutwa sana na wale ndugu zako wamesema wanaingia watakiacha, bahati nikakutana nao mlangoni wakaanza kama kunilaumu nikawaambia huko siendi ninyi nendeni mara nikastuka kutoka kwenye ndoto, ina maanisha nini?
@annandunguru2678
@annandunguru2678 10 месяцев назад
Mi ni
@AishaTarimo-hj2nj
@AishaTarimo-hj2nj 20 дней назад
Mimi Leo nimeota na ndo maana nimekuja hapa
@janethmwihumbo1289
@janethmwihumbo1289 3 месяца назад
Shalom mmi niliota naingia choon nilivyo taka kuingia nikaishia mlangoni nilivyoona nikichafu hakina hata marumaru
@ZenaRamadhani-m6t
@ZenaRamadhani-m6t 9 месяцев назад
Habari ,niliota mwanangu anajisaidi kwa kuharisha na kukojoa kwa kwa kuvirusha kwa mbali nini maana ake
@Chizi-z9w
@Chizi-z9w Месяц назад
Mm niliota nimezaa mtoto wa kiume badaa ya kuza nikaenda chooni nilipo fika chooni nikakutana na shetani sasa tunikuwa tuna sukumana alikuwa anataka kuni igiza kwa shimo la choo sasa mm nikapata nafasi nikatoka nje nika mfugia kwa choo Lakin mm sikukojoa ina mana gani
@LilianEmma-h1b
@LilianEmma-h1b 11 месяцев назад
Niliota nimekunya kwa chumba changu .inamaana ngani?
@WinfridaSubira
@WinfridaSubira Год назад
Mm nimeota nasafisha choo Cha wazngu lakini inavitu vingi vichafu naosha mpk bs
@HarrietMwashi
@HarrietMwashi 6 месяцев назад
Ukiota unafukiwa kwa choo ?
@marryedson2762
@marryedson2762 8 месяцев назад
Nmeota nmeenda kwa choo nikakuta kuna tundu limebomoka kinyes kinaonekan na kina funza wengi nikawa naziba lile tu nkaliziba lote hii ina maan gan naomba kujua
@JoyceWanjiru-l1d
@JoyceWanjiru-l1d Год назад
Nasimu kuwanguka choo
@mareh18
@mareh18 10 месяцев назад
Na kueda haja kubwa kwa kiti????
@MariaJuma-q2k
@MariaJuma-q2k 11 месяцев назад
Ukiota unakuwa mavi,inamaanisha nini
@shiningstarheavenlyembassy
@shiningstarheavenlyembassy 11 месяцев назад
Yaani WEWE unageuka kuwa mavi au unakula mavi?
@MariaJuma-q2k
@MariaJuma-q2k 11 месяцев назад
Unakula mavi,inamaanisha nini
@Teshy23
@Teshy23 9 месяцев назад
​@@shiningstarheavenlyembassyMm nimeota nimemaliza kujisaidia kila nikijisafisha kinyesi hakiishikikawa kinadondoka nikakimbilia kwenye maji mengi hii ina maana gani?
@shiningstarheavenlyembassy
@shiningstarheavenlyembassy 9 месяцев назад
@@Teshy23 ACHA MAISHA ya DHAMBI, ni ISHARA ya AIBU nakupoteza heshima na utukufu WA MUNGU
@Teshy23
@Teshy23 9 месяцев назад
@@shiningstarheavenlyembassy mtumishi niliota nimepoteza viatu high heels na raba nikakuta vimetupwa porini raba zimechafuka nin maana yake,then nikaota tena natembea nimevaa raba zilezile ni nyeupe ila zimechafuka msaada maana yake. Niliota siku tofauti
Далее
UKIOTA NA CHOO NINI MAANA YAKE?
21:38
Просмотров 24 тыс.
Will A Basketball Boat Hold My Weight?
00:30
Просмотров 29 млн
RC Helicopter Trick
00:13
Просмотров 9 млн
Day 2 | IEM Rio 2024 | Playoffs | КРNВОЙ ЭФИР
6:11:51
Ndoto Ya Mkojo Sheikh Jafari Mtavassy
17:35
Просмотров 18 тыс.
Sababu 4 Ukiota Unakojoa Kitandani
1:33:12
Просмотров 3,1 тыс.