Тёмный
No video :(

NACHATI NA MWARABU 

Joti TV
Подписаться 1,1 млн
Просмотров 197 тыс.
50% 1

Jamani hasa wadada hii tabia unawasiliana na mtu kwenye mtandao humjui na unakula pesa yake mwisho wa siku inabidi ukailipe

Опубликовано:

 

10 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 432   
@allymwinyi970
@allymwinyi970 Месяц назад
Kanyinyi herufi za Qur'an unaxitamka vizuri Maashallah. MUNGU akubariki.
@feisalabdulaziz2675
@feisalabdulaziz2675 Месяц назад
Htr nimeshangaa sana😂
@maimunamudiri2616
@maimunamudiri2616 Месяц назад
Nimependa kanyinyi alivyosoma quran mashallah
@allymwinyi970
@allymwinyi970 Месяц назад
Anajua na anayamka herufi vizuri Maashallah.
@omarymsusa8903
@omarymsusa8903 Месяц назад
Mashaallah
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 23 дня назад
Mashallah❤
@dominiquebirler2791
@dominiquebirler2791 Месяц назад
Leo nipo top 3 kwa wakenya. Anguka nayo🎉 Wapi likes zetu Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@DenvoiceChome
@DenvoiceChome Месяц назад
😂😂😂😂
@kiinamamargaret237
@kiinamamargaret237 Месяц назад
Na anguka nayo😂😂
@theoriginals3240
@theoriginals3240 Месяц назад
1 legee😂
@neyjackson4507
@neyjackson4507 Месяц назад
Mmm
@neemaallybendera1496
@neemaallybendera1496 Месяц назад
Badala ya kwenda kuokota miili ya ndugu zako umesimamisha mshipa unaomba likes🤦🏾‍♀️
@chaggastar9236
@chaggastar9236 Месяц назад
Leo joti kashinda kila siku ana fale😂😂😂
@habiibanahassan4455
@habiibanahassan4455 Месяц назад
Anafeli akiwa kama nishai😂😂
@hawafelician7363
@hawafelician7363 Месяц назад
😂😂😂😂
@chaggastar9236
@chaggastar9236 Месяц назад
@@hawafelician7363 😁😁
@jovinmoses255
@jovinmoses255 Месяц назад
Joti umefanya vizuri kuwaongeza wachekeshaji waliopotea muda mrefu kama asha boko kwenye hili jambo lako, na huyo mwengne anaongea kama wamakonde hii ni nzuri.
@mamasalhat
@mamasalhat Месяц назад
Da mwene huyo akiwa mwene na Asha boko hatariii😂😂😂
@munirmuhamed5908
@munirmuhamed5908 28 дней назад
SAHIHI
@hassansaul7098
@hassansaul7098 24 дня назад
Mbona Asha yupo kweny sinema tu nyingi mpya
@mustafarajabu4005
@mustafarajabu4005 Месяц назад
Joti hana mpinzani.na TV yake ni kubwa ina million na kitu
@AmCool_
@AmCool_ Месяц назад
KANYINYI KASOMA VIZURI SANA QURAN MASHALLAAH. Ila hapo kaoa yeye hajaoa mwarabu 😃😃😃😃😃😃😃😃😃
@Kidoaaisha
@Kidoaaisha Месяц назад
😂😂😂😂😂😂
@saidilome-ue2df
@saidilome-ue2df Месяц назад
Nishai mitwango kitombangile muarabu wa Facebook 😂😂😂😂😂
@ahz6907
@ahz6907 27 дней назад
😂
@athumanimtajih
@athumanimtajih Месяц назад
Mwarabu hunuki hata mafuta ya taa😂
@missdija4959
@missdija4959 Месяц назад
Hii comment nimeona kabla hiyo sehemu haijafika🤣😂😂😂😂 nimecheka kabla🤣🤣🤣
@athumanimtajih
@athumanimtajih Месяц назад
@@missdija4959 😝😝
@KhadimDiop-bp9do
@KhadimDiop-bp9do Месяц назад
Umetisha bro joti n group lako
@verahkokyactresskenya5059
@verahkokyactresskenya5059 Месяц назад
Mm namba 10 Leo wapi likes za wakenya
@dr_ridhiwan
@dr_ridhiwan Месяц назад
Hivi nyie Mnaoomba hizi LIKE zinawalipa Kiasi gani??? Ole wenu Mlike hii Comment😊
@chaggastar9236
@chaggastar9236 Месяц назад
@@dr_ridhiwan mbinu za kivita naona umeambuli 26😁😁😁
@dr_ridhiwan
@dr_ridhiwan Месяц назад
@@chaggastar9236 Kwanini walkie?¿?
@nancyg8664
@nancyg8664 Месяц назад
​@@chaggastar9236😂😂😂Anazo 129
@chaggastar9236
@chaggastar9236 Месяц назад
31 Ila sijui faida yake nn?
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 23 дня назад
Kanyinyi kaisoma vzr sana qur'an mashallah❤🎉
@JamesReuben-gt8up
@JamesReuben-gt8up Месяц назад
Ila joti ni mbunifu sanaa
@jumajunior9934
@jumajunior9934 Месяц назад
Nanga mjinga eti mda uo😂
@LazyGang254
@LazyGang254 Месяц назад
Joti kama BABU😂😂😂
@user-jn9wm9bx6i
@user-jn9wm9bx6i Месяц назад
"Hata chui mkali lakini anazaa" 🤣🤣🤣 Joti una mbinguyako.
@JohnnyDepp-m4j
@JohnnyDepp-m4j Месяц назад
Kachukuwa wawili badala ya mmoja 😂 joti chizi kweli😂😂
@sadakombo-li7yi
@sadakombo-li7yi Месяц назад
Mchekeshaji maarufu kama muarabu like kwake ❤❤❤
@EricaBizuru-jp9by
@EricaBizuru-jp9by Месяц назад
Basi hapo kwenye Ngoma Doris hua anapenda 😂😂😂
@nemesapollo4846
@nemesapollo4846 Месяц назад
huo muda,muda ukifika huwezi kuogopa
@user-ik8yy2wj6f
@user-ik8yy2wj6f Месяц назад
Sas rafiki yangu joti sikuhizi hata komedi zako sio nzuri umeyaweka mazee hayo hayawez hata kuchekesh rudisha bwan wakina sopa nakipande toa zito na na hilo zee
@wilbaldshayo1222
@wilbaldshayo1222 Месяц назад
Wewe tulia ujui watu kaa kushoto..
@mohannadmohammed6631
@mohannadmohammed6631 Месяц назад
Acha roho mbaya unataka wazee wakale wapi?
@user-ik8yy2wj6f
@user-ik8yy2wj6f Месяц назад
@@mohannadmohammed6631 sio roho mbaya inatakiwa masilah kaz ziende mjini hela kwanz kama kila siku anadirop
@airfocymisosi
@airfocymisosi Месяц назад
Kazi nzuri sana joti asha Boko like zangu Inshallah nasubiria kutoka 🇰🇪
@user-ky4rb2lg3h
@user-ky4rb2lg3h Месяц назад
Joti niko chini ya miguu yako,naomba week ijayo uigize Uke wenza,timbwili kama lote
@mbwanahussein98
@mbwanahussein98 Месяц назад
Ili iyo klip umtishe mtu sio haki hiyo niamri kutoka Kwa mola wetu
@user-ky4rb2lg3h
@user-ky4rb2lg3h Месяц назад
@@mbwanahussein98 Ndugu siko huko kabisa,napenda akiigiza kama mwanamke,umenifikiria vibaya,samahani lakini
@mbwanahussein98
@mbwanahussein98 Месяц назад
@@user-ky4rb2lg3h sorry pia Kwa kudhani
@chadrackrunogeza3302
@chadrackrunogeza3302 Месяц назад
Wa kwanza toka drc kalemie ❤❤❤😮😮
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Месяц назад
😂😂 Mwarabu gan hata mafuta yataa hunuki. Kazi nzuri Joti tv ❤️❤️
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 28 дней назад
Suzi anapanikigi sana anakeraaaa😢 heebuu ajaribu kuwa kawaida sio kila sehemu anapayuka
@emmanuelymalange8332
@emmanuelymalange8332 Месяц назад
Namba one
@joelrwegasira1601
@joelrwegasira1601 28 дней назад
Suzy anatumia nguvu sanaaaaa anapitiliza..
@liliansauwa8448
@liliansauwa8448 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂 Joti Mshenzi, eti hiyo picha nilikua kıjana na miaka 20. Hela za mwarabu umekula, kapambane na babu 😅
@josephmwaropha3067
@josephmwaropha3067 29 дней назад
Lilian Mambo vp
@melaniehalla4654
@melaniehalla4654 22 дня назад
Napenda kanyinyi anavyoigiza 😂
@user-dp1hi9io6j
@user-dp1hi9io6j Месяц назад
Joti on 🔥🔥 congratulations My brother 🙏🙏
@ochumajan4780
@ochumajan4780 Месяц назад
Video imefika kati joti hajaonekana, tunapenda joti ashiriki kuanzia mwanzo
@athumanimohamed9526
@athumanimohamed9526 Месяц назад
Kanyinyi yaliyomo yamo Maashallah😅
@meryanagenes9163
@meryanagenes9163 Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤❤makopa mengi kwa jotiii❤❤❤
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e Месяц назад
Uskute ni mwarabu fighter 😅😅😅😅😅😅😅😅
@richardomollo8608
@richardomollo8608 Месяц назад
Mwarabu gani ata mafuta taa hunuki wee 🤣🤣🤣
@consorathajames2693
@consorathajames2693 Месяц назад
Kazi nzuri sana hongereni sana
@SamsonSony-e6e
@SamsonSony-e6e 22 дня назад
Joti wewe ndugu yangu uarabu umeutoa wapi😂😂😂
@starjay3052
@starjay3052 Месяц назад
iyo ishawai kutokea mtani kwetu 😁😁🤣🤣🙌
@kamanyile
@kamanyile Месяц назад
Joti wewe ni kiboko wa comedian big up
@rabaniAmri
@rabaniAmri Месяц назад
Joti kashindi kana hayupo atakaye muweza joti❤❤❤❤
@HusseinBafadhili-md7ld
@HusseinBafadhili-md7ld 28 дней назад
Elimu kubwa sana hii. Mwarabu kapokonywa mke😂😂😂😂
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 Месяц назад
Wewe Suzy acha ujuaji huyo ni mwarabu 😂😂😂😂😂😂😂😂
@amridadi6196
@amridadi6196 29 дней назад
suzy anamikelele mpaka kero hawezagi kuongea taratibu au kwa kusikitika sehem yakufanya hivyo yeye ni kupayuka tuuuu khaa... anaboa sana
@awadhally1052
@awadhally1052 29 дней назад
😂😂😂.
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 28 дней назад
😂😂😂😂 jamani
@mosesbarnabas3379
@mosesbarnabas3379 Месяц назад
Kumbe kanyinyi muislamu safi
@captainjoseph8131
@captainjoseph8131 27 дней назад
😂😂😂😂 babuuu
@user-sw1ko6dj9u
@user-sw1ko6dj9u Месяц назад
Wanataka kuleta magirini apa
@daudiniyonsaba1113
@daudiniyonsaba1113 Месяц назад
#3 na sitaki likes...hahaha
@malakimoses6115
@malakimoses6115 26 дней назад
Babu Leo amekuwa mwarabu😂😂😂😂
@salymking1892
@salymking1892 Месяц назад
Nanga fundiii😂
@rasnchimbi
@rasnchimbi Месяц назад
🤣🤣🤣🤣mwarabu wa kuchat kweli hili ni funzo mapenzi ya digitali
@nchabhilondade6228
@nchabhilondade6228 Месяц назад
Bawasiri bwana harusi😂😂
@mohammedgulam9274
@mohammedgulam9274 28 дней назад
Hapo sawa❤
@furahabusanga3554
@furahabusanga3554 Месяц назад
Tuliyo sikiya Muharabu kuhitwa Dogo Janja ebu tu like hapa 🤣🤣💃🏽
@annaki318
@annaki318 Месяц назад
Kuview tu kulike na kucomnent aaaaah😂😂😂 Mnatushushia brand😂😂
@DannychiboJr.
@DannychiboJr. 29 дней назад
Mimi ndo mwarabuuu😂😂😂😂
@hilarymariki5696
@hilarymariki5696 19 дней назад
Joti falaaaa snaaa 😂
@boazambokile2587
@boazambokile2587 29 дней назад
😂😂😂😂 JOTI
@azizsaleh9402
@azizsaleh9402 Месяц назад
Jambia juu 😂
@EboyTanganika-tu8qh
@EboyTanganika-tu8qh Месяц назад
JoTi🎉 Moto sana🎉😂😂
@dullywa9973
@dullywa9973 29 дней назад
Nanga mbona utulii😂😂😂😂
@ramajozz-sp4tp
@ramajozz-sp4tp Месяц назад
Jamani joti hatari!!!!!!.
@benedictorkambanga5209
@benedictorkambanga5209 Месяц назад
Mimi wa 20 Leo bigfunicture
@MirajiIssa-kd7dx
@MirajiIssa-kd7dx Месяц назад
Minyama nyama ya nini hio 😂
@user-hn8un5fz2n
@user-hn8un5fz2n 28 дней назад
Ila nanga hicho kicheko 😂😂
@k.o.n.g8925
@k.o.n.g8925 Месяц назад
Bro yuko vizuri. Nakubali Sheikh 🇿🇦
@jeremiahromward6784
@jeremiahromward6784 Месяц назад
#Joti ni best comedian Tanzania 🇹🇿 nzima. Kama unamkubali comment na like hapa tuwe sawa
@khalfanfundi2090
@khalfanfundi2090 Месяц назад
Kaua kenge
@feisalabdulaziz2675
@feisalabdulaziz2675 Месяц назад
Uyu nae nani mzuri uyu nae uyu😂😂😂
@MagrethNyakunga
@MagrethNyakunga Месяц назад
Kutokea Nigeria naangalia 😂,habarii zenu TZ
@ramadhanurassa2410
@ramadhanurassa2410 Месяц назад
Khaaaaaaa khaaaa hii inasound good
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 29 дней назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wewe si mtumzima sasa nakupa mtumzima mwenzio
@AljawadyRasheed
@AljawadyRasheed Месяц назад
Hcho kigoma cha Mwsho nmekielewaa😂😂😂😂
@benhanclove5997
@benhanclove5997 Месяц назад
Mwarabu mweusi😂😂😂 au ibakie kua jina tu basi😂😂
@chrismuganwa8634
@chrismuganwa8634 Месяц назад
Sure !!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
@zephaniamwangu9857
@zephaniamwangu9857 Месяц назад
Umetisha sana joti na nanga😂😂😂😂😂😂😂
@AshraphMajara
@AshraphMajara Месяц назад
Mwarabuuu😂😂😂😂😂😂😂😂
@salimhemed93
@salimhemed93 Месяц назад
Joti umeshindikana
@ErickmidoMsodock
@ErickmidoMsodock Месяц назад
From Japan Kuma moto I love u YANGA bingwa 25/26
@magesawambura3041
@magesawambura3041 29 дней назад
Pumbavvvvvvvvvvvv 😂😂😂😂😅😅😅
@hamisaally968
@hamisaally968 Месяц назад
Aliyewafungishaa ndoa kimyaa kama ayupoo😅😅😅
@jamesjamesh.5822
@jamesjamesh.5822 Месяц назад
Geuza gari geuza gari... Bibi Harusi twende😂😂😂😂😂
@GabrielSky64
@GabrielSky64 Месяц назад
26 people 😂. Mahusiano ya Online
@cororadotag5601
@cororadotag5601 Месяц назад
Noma sana
@hansrashid9821
@hansrashid9821 Месяц назад
nang mseng san😂😂😂😂
@dullywa9973
@dullywa9973 29 дней назад
binafsi nafurahia sana mafanikio ya Nanga😅😅😅
@JamesMpiga
@JamesMpiga Месяц назад
Wahuni wa zamani utake utaenda usitake utaenda 😂joti 🙌🔥
@PauPaulo-qf3wo
@PauPaulo-qf3wo Месяц назад
Nanga mpuuzi kabisa, eti rhaaaa rhaaaa 😂😂😂😂
@sherrymeddy6398
@sherrymeddy6398 Месяц назад
Somo amewafunda tanga nzimaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂
@user-qq4zr3sk2g
@user-qq4zr3sk2g Месяц назад
Sema we Suzy hebu acha wenge hilo😂😂😂😂huyo mwarabu kabisaa tena nahisi atakuwa mdogo wake Sultan Qaboos 😂😂😂😂
@AdonisMniko
@AdonisMniko 11 дней назад
Kanyinyi amewakilisha vizuri dini ya mtume
@gracethomas683
@gracethomas683 Месяц назад
Alivyoisema eeeeh muarabu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Twahamwela-ch5lz
@Twahamwela-ch5lz Месяц назад
Dogo janja tulia dah!!! Ha ha haha kumbe sio mwarabu huyu kumbe ni dogo janja
@RhobinaOmondi-hr2eg
@RhobinaOmondi-hr2eg Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂mwarbu mwiti mybe mwarbu n jina😂
@Khamisi-kipngu
@Khamisi-kipngu 29 дней назад
Ila jot na timu yako dah co powa😂
@amanifaraji2447
@amanifaraji2447 Месяц назад
Mimi wa mwisho😂😂
@malonemalick1999
@malonemalick1999 Месяц назад
Mi ndo mwarabu bhna😂😂😂😂
@wetemjini8818
@wetemjini8818 Месяц назад
Joti upo vzur sana
@abdallahmakumbato6688
@abdallahmakumbato6688 Месяц назад
joti miyeyusho sana
@msafirifabian2143
@msafirifabian2143 Месяц назад
Mwarabu hata mafuta ya taa hunukii. 😂😂😂
Далее
KUPASHA
10:54
Просмотров 130 тыс.
Мухочирон эхтиёт бошед!
01:31
Просмотров 84 тыс.
NOOOO 😂😂😂
00:14
Просмотров 9 млн
TOTO TUNDU
7:39
Просмотров 144 тыс.
ROBOTI WA CHUO AKUTANA NA DIAMOND PLATNUMZ😂
2:38
Просмотров 2,8 тыс.
NDARO STEVE WE NI TAPELI   MSIKILIZE MANENOYAKE
14:35
Просмотров 190 тыс.
NAMTAKA HUYU
10:37
Просмотров 776 тыс.
OFISI YA MIKOPO BOSS NI MPOKI BALAA LIPO HAPO
19:45
Просмотров 28 тыс.
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Просмотров 6 млн
NALOGA SHULE
10:38
Просмотров 154 тыс.