Тёмный

NAFANYA UPASUAJI PUA YANGU IFANANE NA YA DIAMOND AU RAYVANNY - BABA LEVO 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 29 тыс.
50% 1

www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии    
@ntakirutimanaali6885
@ntakirutimanaali6885 Год назад
I really like Baba levo,I wish they should create the app so that we can listen them even out of the country
@emmanuelngunyale3639
@emmanuelngunyale3639 Год назад
😂😂😂😂baba levo saluti sanaaa ananogesha sana kipindi
@mudibojaffar9269
@mudibojaffar9269 Год назад
CHAWA PROMAX,,,Wasafi Tv ,,Hii imeendaaa‼️
@MawazoMwamba-fz5hr
@MawazoMwamba-fz5hr Год назад
Baba levo🥰🥰
@babalao3250
@babalao3250 Год назад
Baba levo hongera sana kwa sababu unakipaji Unafeli wapi mbona usiwe comedian😂😂😂😂
@gastonfuraha
@gastonfuraha Год назад
Huyu jamaa namkubali sana baba levo
@michaelkipara8205
@michaelkipara8205 Год назад
😂😂😂😂babalevo nakupenda jamani kipindi kinanoga
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Год назад
😂😂😂 BABA LEVO akikosa kwenye kipindi hua sisikilizi kabisa
@davidibrahim9138
@davidibrahim9138 Год назад
Linajuwa sana na linafurahisha
@Yangaone-h8j
@Yangaone-h8j Месяц назад
We ndo tuko pamoja na mimi, huyo jamaa anajua kunogesha kipindi sana 🤣🤣🤣🤣🤣
@mathewungani9724
@mathewungani9724 Год назад
Kwetu PUA,tunaita Penenga,Baba Levo anamaliza Hewa.
@Japhet954
@Japhet954 Год назад
Utatutowa roho wewe bana daah 🤣🤣🤣🤣 Moses from Drc congo 🇨🇩
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 11 месяцев назад
Nashauri kama ingewezekana aalikwe Dr.Eli
@BarakaSagamba
@BarakaSagamba 4 месяца назад
Baba levo unanogesha sana kipindi
@MwitaMtete
@MwitaMtete Год назад
Baba levo hiyo pua kwakweli ukatwe tu
@eligiuskalisa8222
@eligiuskalisa8222 Год назад
Kweli kipidi Baba levo anakinogesha sana
@adamapollo9859
@adamapollo9859 Год назад
Hhh nampenda baba levo alivo mkweli eti lipuwa langu hili😂😂😂
@emmanulvictory507
@emmanulvictory507 Год назад
No mwendo wa mturinga tu❤
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 Год назад
Wapumbavu tu mnashindwa mshukuru mungu kwa neema ya maumbile yenu ya asili kwanza kila mtu mwenyezi mungu kamkadiria umbile lake unapokwenda kujibadilisha mjue mnakufuru mungu tu jitafutie maradhi ujinga tu huo
@SuzyMukhawana
@SuzyMukhawana Год назад
M Suzy hapa from Kenya cihitaji serger mwenye atanipenda vile nk sawa km hawezi hakahe m n oneGb❤
@MaryamAbass-z1x
@MaryamAbass-z1x Год назад
Baba levo mbavu zangu😂😂😂😂😂😂😂😂 Mungu hajakosea kukuumba ww
@sadikhanboy
@sadikhanboy Год назад
😂😂😂babalevo haboeshi kabisa kwenye kipindi one love wasafi
@frankelias106
@frankelias106 Год назад
Bi levo ba unakipendezesha sana hiki kipindi sema nn wasaf Tv mlizingua mngekua mnaonesha live tv pale azam
@simonibonifasi3131
@simonibonifasi3131 Год назад
Hiyo nikumukufulu mwenyezimungu hiyo sajali haifai kabisa lizika namwenyzi mungu alivowaumba
@KimbilimaSocial-dy9cl
@KimbilimaSocial-dy9cl Год назад
Kwel wenye Matako lain wanapendwa Sana sana
@DirectortristanKevin_POKOTTV
😂😂😂😂😂nomaa sanaa 🔥💯
@NamimanaClaude
@NamimanaClaude Год назад
Kwel diamond Ni baba lao waduniya simba
@mr.uhakika
@mr.uhakika Год назад
Mm ni mwanaume nna makalio maneno kidogo, inanifanya nijiskie vbaya watu wananizushiaga eti mm n shoga, naumiaga sana kiukweli cgongwi, nlitaman sana kupata msaada wa daktari kama inawezekana
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 Год назад
Ni million tatu tu kaka ,being ya boda boda kiss kupunguza taking🤣
@KesslyTravelZanzibar
@KesslyTravelZanzibar 11 месяцев назад
Fanya mazoez sana
@MariamIbrahim-h7p
@MariamIbrahim-h7p 4 месяца назад
Baba levo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 Год назад
Kwani uyo adela anamzigo😂😂😂
@MS.independent8934
@MS.independent8934 Год назад
Oscar yupo sahihii japo kaambiwa kazeeka😂😂
@mariambilonkwa5183
@mariambilonkwa5183 Год назад
Isije ikaoza kama ya michael jackson
@sulaybizoofficial8736
@sulaybizoofficial8736 Год назад
Chawa hatarii chunga asije akamaliza Damu ya mlipa kodi
@kmotivation1130
@kmotivation1130 Год назад
ila pua ya baba levo ikiondolewa naacha mshabikia maana pua yako ndo kitambulisho chako hapa Tz
@GILIMSELA
@GILIMSELA Год назад
hahaaaa wawoooooo baba levo safiii
@onclemk
@onclemk Год назад
Baba levo 😂😂😂
@ibrahimsadick6137
@ibrahimsadick6137 Год назад
Baba levo anachangamsha kipindi
@ankoodeeog8511
@ankoodeeog8511 Год назад
Hahahaha Et MTU UMEZEEKA
@Gmalen
@Gmalen Год назад
Pua ya babalevo haina level imekaa ka mtego ya panya buku 😂
@omanmct135
@omanmct135 Год назад
Watuwengi wanakufa
@esikingamrperfume1997
@esikingamrperfume1997 Год назад
Yani Babake na levo wewe na momdy ndo furaha ya Wasafi bila nyie singekuwepo wasafi 🇰🇪 🇰🇪 Msambwanda😅😅😅
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Год назад
Acha pua lako hivyohivyo kama bakuli la magereza
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Год назад
Nimecheka kifala yani uyu baba levo nikipitiaga intew view zake mbavu sina🤣🤣🤣🤣
@janifajani8875
@janifajani8875 Год назад
NIKWELI KABISA KUNA MAGONJWA MAKUBWA BADO HAWAYAWEZI WANAENDE KUEKEZA VITU VYAKIPUMBAVU NASEREKALI ISHAJUWA AKILI ZAWA TANZANIAZIPO MATAKONIII😢😢
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂
@Jjstarfashion3567
@Jjstarfashion3567 Год назад
Ba levo shida yake yeye anatetea masilai yake juu ya kuonekana na ngazi za juu lakn anausomi wowote juu ya kuongeza makalio wala point ya kuelewesha jamii zaidi alicho pewa ni mdomo tu wa kuropoka for nothing
@nairaidid4936
@nairaidid4936 11 месяцев назад
Umezeeka lol 😂😂😂😂😂
@AmaniMakita-ld3bb
@AmaniMakita-ld3bb Год назад
Hahahaahha baba levooo kichaa atr angalia ucje ukawekewa matako kama ya diamond
@omanmct135
@omanmct135 Год назад
Apasuwaji ungine hatari sana
@seiphomary834
@seiphomary834 Год назад
Ujue tumesahau tunahtaj nn dunian hyo ndio maana ukiona sana dunia shetan ana shinda kwenye vichwa vyetu
@godfreyally-ps3fo
@godfreyally-ps3fo Год назад
B levo 🤣🤣
@wisperfect5320
@wisperfect5320 Год назад
Ila chawa pro max😂😂😂
@lydi791
@lydi791 Год назад
😂😂😂😂😂😂Baba levo eti wanachek buwa langu
@LindaMbilinyi-p8s
@LindaMbilinyi-p8s Год назад
Sio buwa puwa bhna😂😂😂😂😂
@lydi791
@lydi791 Год назад
@@LindaMbilinyi-p8s 🤣🤣🤣sim imetereza Na weye kaushiya🤣🤣
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 Год назад
Adela na ww simama tuone yaliyomo yamo?😂
@peterkichochi7510
@peterkichochi7510 Год назад
ALIYE nenepa hehehe hahaha hohoho huhuhu hihihi
@donnlucasto944
@donnlucasto944 Год назад
Chawa ywachamsha game😂games
@rutibatinya
@rutibatinya Год назад
Hhhhhhhhhh usisahau last born wako babalevo
@djrancky8029
@djrancky8029 Год назад
😅😅😅😅😅😅😅
@lydi791
@lydi791 Год назад
😂😂😂😂😂😂
@سوزي-ع1ل
@سوزي-ع1ل Год назад
Kwani mungu alikuwa muñjinga wakati anaumba
@MaryamMaryam-gi9zw
@MaryamMaryam-gi9zw Год назад
Sasa c bola akufile tu huyo daimond maana kila kitu ww daimond tu ata kma anakupa michongo ndo uwe kma shoga bhana
@AzizFathawi
@AzizFathawi Год назад
😂😂😂😂 bado hujasema
@AzizFathawi
@AzizFathawi Год назад
😂😂😂 bad hujasema
@leahzuu6468
@leahzuu6468 Год назад
Ni yeye makasiliko Yann😂😂😂
@tediciousndunguru1283
@tediciousndunguru1283 Год назад
Kinacho kuuma n nn au ww diamond n bwana wako
@godymastermind9534
@godymastermind9534 Год назад
Kwani kakosea wap si anapenda afanane na Diamond
Далее
Joseph Massad: Why genocide is a "Western value"
1:24:49