Sio kwamba sielewi ila waislamu tuna matatizo. Hivi umeona wanachokifanya nchi za kiarabu sasa hivi. Wanavyowakumbatia wauwaji wa Gaza na waungaji mkono wao licha ya dhulma na mateso wanayofanyiwa watu wa gaza. Hivi ni nani hajui kama wamagharibi wote ni maadui wa Uislam. Hivi dunia hii hakuna mbadala? Halafu tunakuja tunakaa tunalaumu.... Nioneni mbaya lakini nitasema kwamba kuna tatizo kwetu.
ujue dunia ni mbovu watu wote wametoa maoni yao kisa yako upande wao hutasikia tatizo nikitoa maoni yangu kisa niko opposite mm mbaya so inamaana wote tukubaliane na wanachozungumza ni tatizo kubwa mnooooo
wanalalamika ulaya uchina africa kila sehemu, 75 ya vita dunia wao ni source angalia kuanzia africa, middle east. zaidi eti jamii mbili zinapigana au nchi mbili zinapigana utaisikia vita nchi a vs Uislamu hii kitu ni shida y wengine hawalalamiki ni wao tuuu
Hahahaaaaa hawa jamaa Bana hata wakijikwaa njiani huwa wanajua ni wakristo tu,hata wakilala njaa tu lazima wasake mchawi na utawaona mbio ni wakristo na mayahudi tu wamefanya haya
@@husseina.sattar1434 nendeni shule mkasome ,tatizo lenu elimu mnaikimbia mwisho wa siku mnabaki kulalama ,hakuna anayewaonea Wala kuwapangia njama ila ujinga na upunga umewajaa sana ,Kila kitu lawama hata mkishindwa lala ma wake zenu ohhh wakristo ,kasomeni mtoe ujinga alaaaa
@@husseina.sattar1434 Dunia nzima nyie ndio walalamishi kwahiyo watu woote wapo kupanga njama dhidi yenu tu ? Ndio tofauti Kati ya dini ya majungu na dini ya maendeleo,wakati nyie mnaendelea ku promote majungu na malalamiko wenzenu wanazidi kuwaacha mbali kimaendeleo !
Lafudhu ya mzee kama mwenyeji wa pwani ya Ziwa Tanganyika. Kwa mara ya kwanza Nyerere aliingia katika mji wa Kigoma Ujiji 1957 mji wa waswahili, waislamu watupu! akakutana na kinamama wa kiislam wanaongea kiswahili kimenyooka na hawajawahi kufundishwa sarufi wala nahau kokote akashangaa sana. Hajua kwamba mji mkongwe wa Ujiji ulikuwako miaka 300 kabla ya Mzizima (Daslam), watu wakiishi pamoja kindugu. Wazungu walikuja Ujiji akiwemo yule Explorer maarufu David Livingstone kujenga na kueneza ukristo lakini wenyeji waislamu wakagoma kuingia ukristo. Mpaka sasa, kuna makanisa wanayachomeka chomeka lakini wanaosali ni watu kutoka huko mbali, sio pale kwa wenyeji Ujiji.
Watu wanaongezeka duniani na maeneo yanakuwa zaidi so usitegemee mambo ya 1950 ndo yawe mpaka Leo ,ndio maana huko kwenu ujiji bado porini kumezidiwa na miji iliyokua juzi Kwa sababu hakuna mawazo chanya
Ni kweli kabisa ujiji ndio maana bado porini,hata wao wenyewe wa ujiji hawajengi ujij bali wanaenda kujenga katika maeneo mengine ya mji kama vile kilimahewa,mwanga,mji mwema nk,kwa sababu watu wa ujiji wanaufinyu wa maono
HAO NI MA-ZAYONIST NDIO WAMEIVUNJA UMASIIH NA TAYARI WAMEWEKA VIONGOZI KATIKA UTAWALA ZA NCHI ZA KIARABU WENYE UASILIA WA KIYAHUDI NI WAFUASI WA KIZAYONIST MA-ZAYONIST NI MAADUI WA DINI ZA KIISLAAM NA UMASIIH NA UYAHUDI .MA-ZAYONIST NI WAFUASI WA IBLIIS .
Uislam ulishavunjika zamani sana na ndio maana waislam wana-convert to Christianity kila iitwapo leo,maana wanajua kuwa Dini haimpeleki mtu mbinguni,ila Imani ndio inapeleka mtu mbinguni.
@@Zainabnoor0087-ze Bora ubadilishe jina lilingani na imani yako.Zeinab sasa ni jina la Waislamu. Kadhalika unahakika kila liloandikwa kwa Biblia latoka kwa Mungu.Mbona vitabu na aya zagongana. Yes kwetu ni Mtume wa Mungu.Sio Mungu