Тёмный

NAMNA YA KUSHUGHULIKIA UCHAWI BILA KUPATA MADHARA (III) - PASTOR SUNBELLA KYANDO 

Reality of Christ Church
Подписаться 75 тыс.
Просмотров 20 тыс.
50% 1

UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our RU-vid: ru-vid.com/show-UC67L...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando RU-vid
/ @pastorsunbellakyando

Опубликовано:

 

24 дек 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 31   
@bettyjohn8933
@bettyjohn8933 6 месяцев назад
Ameen pastor somo nimelielewa yaani nahisi kama hili somo ni langu Mungu akubariki Pastor
@user-vt4wj1fr2c
@user-vt4wj1fr2c 7 месяцев назад
Mungu ni mwema kila wakati.
@lindahkeverenge8496
@lindahkeverenge8496 2 года назад
Amen GOD bless you Man of GOD 🙏l salute you 🙏 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dorothyezzie2136
@dorothyezzie2136 2 года назад
Mimi ni mjane naishi Nairobi Kenya na wanangu nabarikiwa sana na huyu mtumishi wa Mungu naweza kuwasiliana vipi nawe mtumishi?
@bethmbwilo3092
@bethmbwilo3092 2 года назад
Amina Mtumishi wa Bwana,nabarikiwa sana
@neemasaidisaid1791
@neemasaidisaid1791 2 года назад
Amen amen amen amen amen amen amen asante yesu kwa ujumbeee huuu
@happinessmtani7621
@happinessmtani7621 2 года назад
Mhh asanteh najifunza hapa namimi ndio wale wa kutafuta pesa mahusiano nimeyaweka pembeni,nilifungiwa lango la biashara nikaamua mpk kuondoka Tanzania,nilipokuja nilipo ninaona Mungu ananitengeneza sasa kufunga na kuomba kumekua ni kawaida tofauti na mwanzo kifupi nahisi nimeletwa patimo. Najifunza hapa Pastor najidisconect ktk miungu na roho za kichawi.
@omantel4680
@omantel4680 2 года назад
Kweri
@Esther-gy6gl
@Esther-gy6gl 2 года назад
Amen. 26/12/2021 09:25HRS
@romanus6219
@romanus6219 11 месяцев назад
Ni kweli mtumishi watu tunaonewa na wachawi lakini kimwilj hatuwaonikwa macho
@sifasylvie3941
@sifasylvie3941 2 года назад
glory be to the almighty god amen
@mosesfrancis3946
@mosesfrancis3946 2 года назад
Nimejifunza mengi kupitia somo hili.
@victoriamaige2862
@victoriamaige2862 Год назад
Mch unaongea na maisha yangu lakini nikupateje huo mfano wa mtumishi ni mimi kabisa ht mimi imeshindikana kbsaaa kuishi na mume wangu ni mkali balaa huduma imekataatumetengana ni wewe wa kunisaidia mtumishi sipo Tanzania nisaidieni
@gloriachalle4532
@gloriachalle4532 Год назад
Amen
@happinessmtani7621
@happinessmtani7621 2 года назад
Asanteh pastor,kupingwa sio sababu ya kudhani unachofanya sio cha kimungu,nilivunjika moyo nilipopingwa na mbaya zaidi hata niliokua naamini wako upande wangu walinipinga.
@barmedastv
@barmedastv 2 года назад
ASANTE BALIKIWA
@reeneyfredy2569
@reeneyfredy2569 2 года назад
Amen 🙏
@beastforever734
@beastforever734 Год назад
Kanisa lake liko sehemu gan na mkoa gan msaada jamani
@bennymisheto1655
@bennymisheto1655 Год назад
😊
@jacklinemashenene5976
@jacklinemashenene5976 Год назад
Mtumishi hiyo siku ya kuonana na mtu mmjammoja nisiku ipi niko shinyanga
@damiandaniel6468
@damiandaniel6468 2 года назад
AMEN AMEN
@musungumakabwa743
@musungumakabwa743 Год назад
Amen
@annemusau6734
@annemusau6734 2 года назад
Lango langu please naliona
@jackiemaggy2484
@jackiemaggy2484 Год назад
Ameeeen man of God
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 2 года назад
tumbo kumbwaa... wizi wa sadaka tuu
@celinamutta5058
@celinamutta5058 2 года назад
Lazima u-comment? Kwani wanaoibiwa wamekulalamikia? Waache watu na imani zao na wewe baki na yako. Ikikupendeza basi usifungue chanel yake. Kuwa na staha!!
@Jastus100
@Jastus100 Год назад
Bwana akukemee
@Jastus100
@Jastus100 Год назад
utakuwa mchawi wewe anatoa Siri zako 🤣🤣 Pole sana
@Esther-gy6gl
@Esther-gy6gl 2 года назад
Yesu Kristo naomba break through Leo uchawi wowote unaofanya kazi kwenye maisha yangu baada ya Maombi haya Yesu unifungue kwa gharama yoyote Ile, katika Jina lako Yesu Takatifu. HAZINA ZANGU ZOTE nazipokea sasa katika ulimwengu wa Damu na Nyama.
@happinessmtani7621
@happinessmtani7621 2 года назад
Nikiwa binti mdogo nilikua naota naendesha gari na nimebeba familia yangu yote lakini mpk sasa sijawahi kununua gari,mwaka jana ndoto hizo zikaanza tena na nikaona nikwa na kijana wangu hapo ndipo nilipoanza kumtafuta Mungu na kumuomba hazina zangu zilizofichw,Pastor naamini unachozungumza.
@christermlewa8471
@christermlewa8471 9 месяцев назад
Amen
Далее
ROHO ZINAZOZUIA MATOKEO (II) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:22:23
MWISHO WA UCHAWI BY PASTOR SUNBELLA KYANDO
56:45
Просмотров 6 тыс.
UFAHAMU WAKO JUU YA MUNGU - PASTOR SUNBELLA KYANDO
26:28
MTAZAMO WAKO NDIO MPAKA WAKO
1:02:20
Просмотров 69 тыс.
MUNGU WA AGANO  - PASTOR SUNBELLA KYANDO
18:43
Просмотров 19 тыс.
MIPAKA YA KIJAMII
1:09:10
Просмотров 72 тыс.
ROHO ZINAZOZUIA ONGEZEKO - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:12:39
FUNGULAKUMI LIMEPITWA NA WAKATI ?
40:21
Просмотров 31 тыс.