Masha Allah wapare kumbe wazuri na wanaongea vzr masha Allah Mkawe na maelewano mazur ktk uchumba hadi ndoa yenu dada Nandy na kska Billinas amina yarabi allamina Ila Dada Nandy umekosewa kwenye gauni mwenzangu jiziwa nje hikocsi vzr ila kama nawakwaza kuongea huvyo naomba msamaha wenu
Kiasi alone aibu anakwenda kukutana vipi na wakwe zake maziwa nje ndo heshima ya wapi hiyo?! Wenzie wote wamevaa vizuri nguo za heshima. Amefunika kichwa maziwa nje😏
Tusiwe wanafki jamani hongera kwa shughuli Nandi ila hicho kifua Jamani chote kiko nnje kama anaenda kupiga shoo ya mziki mnisamehe kama nime mkwaza mtu eti mnasema mashaAlla kapendeza kifuanje chote😭😭
@@johasaeed391 Ni mjamzito anajitahidi sana kuficha tumbo yani hayupo comfortable kabisa hicho kipepeo alichobeba mkononi yani akitulii kwa kweli kimemsaidia sana kujitahidi kuficha tumbo lake
Bahati yako upande wa mume ni waume tupu,mbele ya wakwe unaficha makucha nakuwasitiri hicho kifua unatafuta mume mwingine wakati ushampata,mshambiwa ndoa haina ustaa,
Onyesheni Mila na desturi zenu. Hayo mambo ya kubeba vipepeo, mikia nakazalika ni ya KINIGERIA, SASA NYINYI NI A ANIGERIA? KILA KITU KUIGA TUUU. NOT GOOD AT ALL.