Тёмный

Nchi 7 zataka raia wake kuondoka LEBANON hofu ya VITA kamili kati ya ISRAEL na HEZBOLLAH ikiongezeka 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

30 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 99   
@henry1933
@henry1933 3 месяца назад
Millard Ayo na wadudu wake SnS katika viwango vya kimataifa
@MwanaHussein-s2n
@MwanaHussein-s2n 3 месяца назад
Naomba hii vita itimie ili wote tuonje joto la jiwe 😢 .. Dhulma imevuka viwango.. 🙌💔🇸🇩
@ce-08
@ce-08 3 месяца назад
Wapigane waarabu wote na wazungu wote waafrika tuwauze chakula tu😂
@MwanaHussein-s2n
@MwanaHussein-s2n 3 месяца назад
@@ce-08 itatuonja wote Dunia yote haitakua salaama.. America keshasambaza meli za kivita baharini... Unaeza kupata pic yajayo hayafurahisha
@AliNassor-qt6fm
@AliNassor-qt6fm 3 месяца назад
Hamna hii vita itakua kubwa sio bora kuomba vita watu wanateseka
@AliNassor-qt6fm
@AliNassor-qt6fm 3 месяца назад
​@@ce-08tunateseka sisi mafuta mafuta yatapanda bei
@ce-08
@ce-08 3 месяца назад
@@AliNassor-qt6fm sasa wakipigana tutatafuta njia nyingine acha waumizane na wao kwanza hapo ndiyo tutapata akili yakujitegemea maana watakuwa hawazalishi Kuna mda shida inakupa akili
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 3 месяца назад
Israel awatofanya kitu uko lebanoni anaogopa.propaganda iyo kataze jwenda na israel.
@JoyceSekele-n2f
@JoyceSekele-n2f 3 месяца назад
mnao ibeza Israel mnajidanganya Israel nitaifa lilio balikiwa na mungu na wanahakili nying xana na wanaxilaha zakixaxa hao iziblaa mtawaxikia watakoxa pakukimbilia watawaletea watoto wao majanga
@DismasMaturine
@DismasMaturine 3 месяца назад
Waache wajifanye superior waone Lebanon ndiyo itapigwa wasiondoke Israel wataambulia majivu
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 месяца назад
Mwislam mnyonge ni yule ambae hajainua silaha, vita ya mwisho ya Israeli na hawa jamaa jasho liliwatoka hadi Marekani aliingilia kati, Wapigani wote wa Kiislam wataingia Lebanon, na Hezbola watalazimisha vita iende ya ana kwa ana hapo ndipo hali itakavyokuwa mbaya kwa Israel 🇮🇱
@lakasid3860
@lakasid3860 3 месяца назад
Kwaiyo hii kumbe ni vita ya waislamu?
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
​@@lakasid3860wameshaingiza udini tayari
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
Kwaani Israel kuchangiwa na waislam itakuwa mara ya kwanza
@Williamstozzo
@Williamstozzo 3 месяца назад
Hakuna watu waoga kama islam's
@emmadora7848
@emmadora7848 3 месяца назад
Mbona wameshindwa kuwasaidia wapalestina mpaka muda huu? Wanawashangaa tu wanakufa na kuteseka au wao si waisilamu?
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART 3 месяца назад
Kwa dalili hizi vita vipo hapa wameshapanga hawa Israel kuingia vitan yetu macho acha tuone time will tell kama DJ Sma anavopenda kusema
@uwimana6533
@uwimana6533 3 месяца назад
Israël kajipanga kama gaza tuone kitakachotokea 😂😂😂
@WadySaidi
@WadySaidi 3 месяца назад
Muwambiege hata uko Israeli waondoke acheni kujidanganya mashoga
@frankbutati8343
@frankbutati8343 3 месяца назад
Hesebolla wamejichanganya, sasa waombe Mungu suluhu ya maongez kuliko vita
@Goldentouch_Ab
@Goldentouch_Ab 3 месяца назад
Fuatilia historia wamepigana mara ngap? mara ya mwisho ilikuwa 2006... israel ali retreat
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 3 месяца назад
Mbona islaeli hawawasihi wasiende uko
@HusseinMohamad-pl2cf
@HusseinMohamad-pl2cf 3 месяца назад
Bas watalike kwa wa kwanza kukoment😂😂😂
@HassanRamadhanPashua
@HassanRamadhanPashua 3 месяца назад
Hapa ndio naamini habari zake Big up
@vibetz9991
@vibetz9991 3 месяца назад
Ndo napakia apa niondoke zangu
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 3 месяца назад
😂😂
@NdovuDentalClinic_
@NdovuDentalClinic_ 3 месяца назад
Sinza madukani #ndovudentalclinic
@walker-96
@walker-96 3 месяца назад
Lebanon mashoga tu .... Mda sio mrefu wataanza kupiga kelele Israeli wanaua watoto
@Goldentouch_Ab
@Goldentouch_Ab 3 месяца назад
hao sio mara yao ya kwanza kupigana...mara ya mwisho ilikuwa 2006 ...israel alirud nyuma
@peterishengoma7813
@peterishengoma7813 2 месяца назад
@@Goldentouch_Ab sio kweli
@directortwicep3028
@directortwicep3028 3 месяца назад
Hofu nikwamba Israel wapo safi sana maangamizi ya anga na atapiga popote lazima nchi ambazo raia wake ambao wapo Lebanon watoke
@dannywillson5874
@dannywillson5874 3 месяца назад
Hao sio hams 😂😂hatoboi hii itakuwa vita Yao ya 3 na hajawah kushinda
@directortwicep3028
@directortwicep3028 3 месяца назад
@@dannywillson5874 anglia hiiru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-h7wiiKSYrv8.htmlsi=gHsgGzAOQrpJZi9a
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 3 месяца назад
​@@dannywillson5874ISRAEL ana nuclear KUMBUKA ilo
@RamadhanRamdhan-i2c
@RamadhanRamdhan-i2c 3 месяца назад
Mwisho wa Izrael umefika
@IsackIsacksamson
@IsackIsacksamson 3 месяца назад
Kilichotokea gaza kitatokea labanon mara dufu mana hezbollah walijipendekeza wenyewe
@Goldentouch_Ab
@Goldentouch_Ab 3 месяца назад
hao sio mara yao ya kwanza kupigana...mara ya mwisho ilikuwa 2006 ...israel alirud nyuma
@SaitaDon
@SaitaDon 2 месяца назад
Ujuwe kuna viabari naviona ona mtandaoni alafu nyie kama uwa mnachelewa akat nawatakegemea sana kwenye habari izzi
@lucasbatano333
@lucasbatano333 3 месяца назад
Wakiwashe tu
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 3 месяца назад
Mm kama marekani hajaondoa raia wake hapo bado ni salama amini amini nawambieni marekani ndio israel na israel ndio marekani
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 3 месяца назад
Hao wote naona niwachochezi wa Vita kwani bila hatua wanazo chukua Israel wasinge pata jeuri yakushambulia rebanon kama Ben gants alivyo sema huko marekani katika ziara yake majuzi ila tunaiyombea rebanon mwisho mwema katika vita hii maana wanataka kuifanya iwe kituvo cha Vita iliyo yalemea mataifa makubwa pande zote 🙏🙏
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
Bila Iran pasingekuwa na vita, Iran ndiyo anagawa silaha kwa waasi
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 3 месяца назад
@@FridayMwassa hao sio waasi utamuona ni muasi kulingana ni mpinzani wako sku zote yule uliye taka aishi kama wewe unavyo tako iwapo atapinga nayeye kuanzisha empire yake utamuona msalit na muasi ndio hawa sasa waarabu na wazungu
@HusseinAbdul-is9xq
@HusseinAbdul-is9xq 3 месяца назад
​@@FridayMwassaachakuvutia pande 1 bila wamagaribi Palestine kusingerikua vita .
@SalumJuma-iz2gj
@SalumJuma-iz2gj 3 месяца назад
Sijui kwnn iziraili haiogopew kila nchi inaidindia waizirail toka waumbwe hawajawah kuish kwa amani ujue Hawa wanalaana ya milele kwakule kuwauwa mitume kwa wing mitume wengi walikua wanawauwa hawjamaa ata uyo isa wanaijifanya ndo mung pia walinfukuza wamuuwe sem mung akampaisha juu
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
Acha uongo wa dini yako.Taja mitume walio wauwa kama siyo uongo wako.kitabu chenu kinabumba bumba habari za kucopy kwenye biblia ili kionekane cha kweli
@emmadora7848
@emmadora7848 3 месяца назад
Wenye laana ni wanaokufa kama vifaranga vyenye kidere na kuombaomba huruma ya Dunia na Dunia inawaacha wale Cha moto
@BarnabaBuhoma
@BarnabaBuhoma 3 месяца назад
Tena mnasema hawa wa Israeli sio wale walioandikwa kwenye Biblia!!! Mnachanganya mambo!!!! Naf
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 3 месяца назад
​@@emmadora7848Wanaokufa ni kina nani? Maana hata Israel watu wanakufa sana pamoja na kwamba wanapewa misaada kedekede na nchi tajiri zaidi duniani
@SalumJuma-iz2gj
@SalumJuma-iz2gj 3 месяца назад
@@FridayMwassa unaonekana hujui chochote kwny historia mitume walio wauwa ni zakarya wali kereza kwa msumeno nabii yahya walimkata kichwa manabii karibu wote waliteremshwa iziraili lakini wali wakataa nahuyu isa wakanwita mingu hasa yan apo ndo wamempenda
@hazygardmericho9571
@hazygardmericho9571 3 месяца назад
😄😄😄wanaowasifia ezibolaha, ndio aoao watasema lebanon inaonewa, HAYA NYIE WAPONZENI
@meckymichael1880
@meckymichael1880 3 месяца назад
Hii si mara ya kwanza Hezbollah kupigana na Israel na casualties zilikuepo Kwa pande zote Israel kufungua font nyingine ya vita ikiwa yupo kupigana na hamas itampa wakati mgumu
@Williamstozzo
@Williamstozzo 3 месяца назад
Soo mara ya kwanza kupigana multiple front,,,and wanajiua na walishajiandaaa
@Williamstozzo
@Williamstozzo 3 месяца назад
Israel hawatapigana saivi kama gaza,,,watatumia nguvu kubwa kuliko mwanzo
@richwase6550
@richwase6550 3 месяца назад
Israel ikiingia vita saiz inaenda kuw sio taifa tena n ndio waisraeli halisi ambao n weusi(wabantu) watajulikn lkn hana namna lazm unabii utimie n ukwel ulud kwao. #MWALIM N MMOJA TU #ZOULOULA100
@proschesicoAllysumail
@proschesicoAllysumail 3 месяца назад
Huu ni mwaka wa 100 anapigana na akikuzidi maeneo yatachukuliwa Israel aiogopi kitu wanajua ndo maana wanawazuia raia wao kwenda Lebanon akiwa na maana kwamba Lebanon itakuwa majivu
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 3 месяца назад
​@@proschesicoAllysumailvipi kuhusu taliban wanatoa jeshi lao laki moja na iraq laki moja na siria wanatoa laki moja alafu yemen wamesema watatowa jeshi laki mbili unazungumziaje hapo😂 wakati israil imeomba juzi wamepungukiwa na wanajeshi 8000
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
​@@salumabdallah2990vita siyo uwingi wa askari bali zana na mbinu
@emmadora7848
@emmadora7848 3 месяца назад
​@@salumabdallah2990wameshindwa kuwatolea Wapalestina ,watawatolea Lebanon? Ujue hata Palestine Kuna watu waliwapa kiburu but now hawana pa kukaa, shule hakuna ,hospital shida na hakuna anayewasaidia
@emmadora7848
@emmadora7848 3 месяца назад
​Hizo sehemu zote umetaha ni maskini wa kutupwa ,halafu u think Israel atakosa wa kumuunga mkono? Ombeni amani acheni wehu
@DismasMaturine
@DismasMaturine 3 месяца назад
Hao raia waambiwe kuondoka na Israel wasichukulie powa Israel inaweza futwa pia
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 3 месяца назад
Is not easy
@Supershopdubai-ck8td
@Supershopdubai-ck8td 3 месяца назад
Hiyotam kbs 🇧🇮💐❤️
@feisalkhamis9445
@feisalkhamis9445 3 месяца назад
na vipi kwenda Israel ni salama
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 3 месяца назад
Ndio
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m 3 месяца назад
Heeee moto unalipuka sasa
@AliNassor-qt6fm
@AliNassor-qt6fm 3 месяца назад
Sio bora kuomba life is going to be more than harder
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 3 месяца назад
Hiyo vita itakua mbaya sana
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 3 месяца назад
Chama kubwa sns
@RamadhanRamdhan-i2c
@RamadhanRamdhan-i2c 3 месяца назад
Tuwone nani atapata hasara Izrael umefika mwisho wake
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 3 месяца назад
Pls
@JoelFortunatus-du8ww
@JoelFortunatus-du8ww 3 месяца назад
Israel 🇮🇱 hawezi kupigana na Lebanon 🇱🇧 kwa sasa Bali imetangaza wazi wazi kuwa kwa sasa lseral hatuna mda wa kupoteza kupigana na heziballa Bali tutatumia nyukilia ☢️☢️☢️ ☢️☢️ tuu
@saidiomar6642
@saidiomar6642 3 месяца назад
Akitumia nyuklia ndio israil imeisha
@godblesshudson1564
@godblesshudson1564 3 месяца назад
​@@saidiomar6642imeisha kivipi ebu nielekeze
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 3 месяца назад
​@@saidiomar6642Kivipi labda
@ce-08
@ce-08 3 месяца назад
@@saidiomar6642 sio kweli ikipgwa nyuklia hakuna nchi itakayo Fanya fyooo kama Haina uwezo wa nyuklia sababu na wao watajua kitakachofata nikupigwa nyuklia japo mm sidhan kama nyuklia itatumika.
@reubenbushiri1753
@reubenbushiri1753 3 месяца назад
​@d255tvwatachapwa vizuri shida Kuna mkono wa marekani pale
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 3 месяца назад
SAFARI HII TUNAINGIA TELAVIV NA JERUSALEM. KUTISHA HAKUNA.
Далее
Ко мне подкатил бармен
00:58
Просмотров 165 тыс.
ТАРАКАН
00:38
Просмотров 1,4 млн
How Israel Assassinated  Hezbollah Commander?
8:48
Просмотров 1,9 млн
Ко мне подкатил бармен
00:58
Просмотров 165 тыс.