Тёмный
No video :(

NEBUKADREZA MTAWALA WA DOLA YA BABELI . 

Mzee wa upako
Подписаться 25 тыс.
Просмотров 16 тыс.
50% 1

Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RU-vid Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

Опубликовано:

 

8 май 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 17   
@user-fg4hy9xk5z
@user-fg4hy9xk5z 6 месяцев назад
Amina baba,
@samsonmtaki3226
@samsonmtaki3226 2 года назад
Amen baba
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 2 года назад
Nadhani nimesha sikiliza hili somo karibu mala 100 sasa. Nabarikiwa
@margarethorgenes4874
@margarethorgenes4874 4 года назад
Hatuwezi kufa wote kwa corona, wapo watakaobaki, na Kila mtu ana siku yake, si lazima iwe kifo Cha corona tu🌹🌹🌹kufa Ni faida na Ni lazima tufe siku ikifika. Usemayo Ni kweli kweli. Mungu aendelee kukuongeza siku zako ili uendelee kuihubiri injili ya Kristo.
@lilianemanuel2928
@lilianemanuel2928 4 года назад
nabarikiwa sana na uwepo wako ktk nchi yangu.TANZANIA.GOD BLESS YOU MY DADY.
@user-fg4hy9xk5z
@user-fg4hy9xk5z 6 месяцев назад
Baba uishi maisha marefu
@ShukuluSaimoni-gh8wg
@ShukuluSaimoni-gh8wg Год назад
Huyu jamaa yuko vzr kwa kufundisha
@rojazgabriel8029
@rojazgabriel8029 4 года назад
Amen mtumishi wa mungu balikiwa sana
@kingwatabata4230
@kingwatabata4230 4 года назад
Amina mchungaji🙏
@calvinkivishe7916
@calvinkivishe7916 4 года назад
Vizur
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 4 года назад
Amen
@johnboscomgaya2624
@johnboscomgaya2624 4 года назад
Ubarikiwe baba
@pendoemmanuel6627
@pendoemmanuel6627 4 года назад
ubarikiwe baba
@margarethorgenes4874
@margarethorgenes4874 4 года назад
Tutashida tu Daddy, Mungu yupo anatuona Kila mmoja. Simama imara mteteeni Bwana Vita Ni vikali.
@IssaMbwilo-vn3so
@IssaMbwilo-vn3so 11 месяцев назад
Sana
@allymangosongo5570
@allymangosongo5570 2 года назад
Russia Ni super power na Putin ndio nabii wa kizazi hiki mbele ya mabii wa bahari
@calvinkivishe7916
@calvinkivishe7916 4 года назад
Vizur
Далее
HEKIMA ZA MFALME SELEMANI
55:28
Просмотров 22 тыс.
UKWELI KUHUSU MAJI,MAFUTA YA #UPAKO HUU KAPA !!
17:19
Просмотров 3,3 тыс.
HISTORIA YA WAARABU NA ISRAEL
2:03:55
Просмотров 16 тыс.