Тёмный

NENO LA SIKU | Mathayo 14 | Maombi Ya Kushinda Roho Ya Hofu 

Neno La Siku
Подписаться 3,2 тыс.
Просмотров 3,9 тыс.
50% 1

Leo tunasoma kitabu cha Mathayo sura ya kumi na nne.Na tunaenda kujifunza madhara ya kiroho yanayosababishwa na hofu, lakini pia tutafanya maombi ya kushinda roho ya hofu ili tuwe huru.
Katika maombi ya leo, tutaenda kuombea maeneo mbalimbali yanayoathiriwa na roho ya hofu katika maisha yetu, kama vile magonjwa na vifungo vya kurithi.
Nakuombea YESU akutane na haja ya moyo wako na akufungue na kukuweka huru. Damu ya YESU isimame upande wako na kukushindia. Mungu akubariki sana na kukutunza. Amen!

Опубликовано:

 

20 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 28   
@ComputerRoom-t5q
@ComputerRoom-t5q 7 месяцев назад
Mungu nisaidie sana nishinde hofu sikuwa najua ina madhara makubwa hivi. Yesu tuhurumie tusaidie watu wako. Asante mtumishi kwa maombi napokea neema ya Yesu ya kuvuka
@NeemaaliceK2546
@NeemaaliceK2546 6 месяцев назад
Amen mtumishi wa Mungu nimekombolea, sitaogopa jambo lolote Lile Kwa kuwa Mungu Yupamoja nami roho ya hofu imetoka ndani ya maisha yangu, Mungu azidi kukupa ufamu zaidi mtumishi wa Mungu , Shalom
@lennyfrank
@lennyfrank 3 месяца назад
Ameen Ameen
@maseaJoe8676
@maseaJoe8676 6 месяцев назад
Amen Amen
@hdhjdh775
@hdhjdh775 Месяц назад
Amen 🙏🏻🙏🏻
@Carolynewamalwa-fc4tp
@Carolynewamalwa-fc4tp 4 месяца назад
Kwa mamlaka wa neno lako ,nafunga malango ya hofu na uoga kwenye maisha yangu katika jina la yesu na Kwa damu ya yesu 🙏🙏
@joycemkumbwa9550
@joycemkumbwa9550 Месяц назад
Amen mtumishi kubarikiwa sana na mafundisho yako
@user-jc5uc6ds6n
@user-jc5uc6ds6n 7 месяцев назад
Ameen
@Zogath-h2p
@Zogath-h2p 7 месяцев назад
Ameen🙏
@bahatimwangoka6761
@bahatimwangoka6761 6 месяцев назад
Ameni
@shannysheddy3344
@shannysheddy3344 7 месяцев назад
Yaani nimeteseka na roho ya hofu muda mrefu hadi nilipojifungua mtoto akarithi roho hiyo,Namshukuru Mungu kwa somo hili na maombi haya naamini tuko huru kwanzia sasa nikiendelea kusimamia yeremia 1:8 Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
@serinaserina9639
@serinaserina9639 6 месяцев назад
Ameen Ameen baba barkiwa
@GabinKamwanggabin
@GabinKamwanggabin 5 месяцев назад
Amen mtumishi wa mungu ubalikiwe sana
@rhodamwakatundu5226
@rhodamwakatundu5226 7 месяцев назад
Thank you Jesus for the powerful and annointed teaching .
@waleedbahar5275
@waleedbahar5275 2 месяца назад
Amen ubarikiwe Sana mtumishi
@victoriaaman6628
@victoriaaman6628 7 месяцев назад
Amen Mtumishi 🙏
@bethstanford9840
@bethstanford9840 7 месяцев назад
Mungu nisaidie yan mm kulala giza heee Mungu anisaidie na kwa hili somo umeniokoa ufaham wang naomba Mungu anisimamie niaze kuwa jasiri
@Ennahmenrad
@Ennahmenrad 4 месяца назад
Mtumish mi kipindi naomba kuhus roho ya hofu kwenye ulimwengu wa roho nimemwona jongoo mweus Ana maana gan
@bonamichael7696
@bonamichael7696 7 месяцев назад
Barikiwa mt
@cesiliamasumu432
@cesiliamasumu432 6 месяцев назад
Bwana Yesu Asifiwe Namshukuru Mungu kwa ajili yako Kwa kuwa Hofu ni tatizo asante kwa kutufungua tunaomba sana Mungu atusaidie sana Mungu akubariki sana
@peacemwesiga
@peacemwesiga 3 месяца назад
Nimefunguliwa na uzao wangu .nimepona kuharisha kwa miezi 3sasa asante Yesu
@user-ll2mf7xh1p
@user-ll2mf7xh1p 6 месяцев назад
Amen
@neemalety5600
@neemalety5600 7 месяцев назад
Amen Amen 🙏
@GabinKamwanggabin
@GabinKamwanggabin 5 месяцев назад
Amen mtumishi wa mungu ubalikiwe sana
@Africanah100
@Africanah100 6 месяцев назад
Amen
@Monika-cp2gk
@Monika-cp2gk 7 месяцев назад
Amen
@agnessmpaka642
@agnessmpaka642 7 месяцев назад
Amen
@clarasima5447
@clarasima5447 6 месяцев назад
Amen 🙏
Далее
AINA YA MAOMBI AMBAYO MUNGU ANAJIBU Mwl Mpoki Jafari
21:44
NENO LA SIKU | Luka 17 | Maombi Ya Kushukuru
27:49
Просмотров 8 тыс.
NENO LA SIKU | Luka 18 | Maombi Ya Kudai Haki Yako
32:29
NENO LA SIKU | Mathayo 21 | Maombi Ya Kuvunja Laana
1:00:23