bwana kang'wa wewe ni msanii mzuri sana napenda kazi unayoifanya napenda kufuatilia kazi yako kila siku mimi sio msukuma lakini nawapenda wasukuma ninajua kuongea kisukuma najua mila za kisukuma nimeishi na wasukuma kwa sasa hivi mimi niko china lakini siwezi kuacha kufuatilia wewe ninakupenda sana wewe ni msanii mzuri hata kama nikiwa china lazima nikufuatilie 🔥🔥🥰🥰🇹🇿🇨🇳
Sanaa ndiyo inatakiwa uwe mbunifu sanaaa. Unajitahidi sana kubuni na jamii inapata burudani zenye radha tofauti tofauti. Hongera sana kijana unajitahidi sana👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Mimi sio msukuma nimeishi usukumani sana wakalimu sana hadi sasa hivi najua kisukuma kushinda kabira rangu penda sana wanamaadili sana hata watoto wao hongereni
Mwana kang'wa piga kazi kote kote ni huduma tu usijali mtu mara aku judge eti Harusi. Mie nafikiri hata Nyimbo za harusi ni Fani kubwa sana...anayekujudge nyimbo za harusi ujue hajaelewa maana ya Sanaa inanzia wapi na kuishia wapi. Pga kaz mwamba..Bigup my Fellow
@@thefactbook...1607 sasa si ya mwaka jana hiyo idadi kubwa ya mashabiki hawapendi nyimbo za kuimbia watu kwa mwaka unakuta ametoa nyimbo 15 ila 10 had 12 unakuta za kwenye mahrusi ye na ngelela ndo pigo zao hizo hafu unakuta jamii inahitaji nyimbo za kuelimisha mim kwenye simu yangu sina bongo fleva hata moja asili ndo nyimbo zangu ko najua nachokisem mana kila anapotoa nyimbo lazima inifikie
@@thefactbook...1607 sema ni kwel ila wajitahid tu kubalance unaona mfano Elizabeth malinganya karbia kila week ana upload nyimbo ila nyimbo alizotoa ambazo hazihusiani na masherehe ni 3 sasa mana ake hapo amechagua watu wale ambao hawapendi nyimbo za kwenye maharus utakuta wanapunguza kukufatilia lakin hata ukienda kwenye mbina haipendez sana kuimba harus za watu ng'wana kang'wa base fani yake nikubwa san lakin ukimfuata mtu leo hii ukamwambia akutajie wasanii wanaofanya vizur sana ataanza na akina kisima bhudagala gudegude akimalza ndo atakuja sasa aanze kuchambua wengine ni kwann ni kwa sababu wale wamebezi sana kweny nyimbo za kuelimisha
Lyimbo lya wiza sana. Nalilomba ulukigi gakubiza ho marekebisho, bhugali uzugwe mu nungu, maana Abhasukuma ba kale, wazugaga shiliwa mu nunghu. Shiliwa sha mu nungu shawiza no, kuliko isha mumasufulila, Guku olitalyaga bhugali bo mu masufulila. Shishabo ni Nghunda safi sana.