Minza ni msichana mwenye miaka 18, anapenda sana kucheza ngoma na anatamani kua mcheza ngoma mkubwa kama marehemu. Mzee Mashalla baba yake mzazi. Minza anapata ujauzito wa mwalimu wake wa ngoma aitwaye Ngosha, ila mwalimu wake anaikataa mimba hiyo na anamfukuza kwenye kikundi chake cha ngoma.
Subscribe: goo.gl/cR0mA
Facebook: / swahiliwood
5 сен 2024