Kwa ukweli nampenda sana Rais Samia Suluhu kwa hekima alizojaliwa na mwenyezi Mungu. She is so amazing. Natamani kumuona siku moja kumsalimia tu. She is my mentor. May God pritect you mama. I love you more.
Safi saana , utadhani Ni Msafara wa Kim Jon Hun North Korea jinsi walivyojipanga, Mungu Ibarik Tanzania, Mungu Mbarik Amir Jeshi Mkuu, Tanzania kwanza Mengine baadae
Unatakaje labda ili umkubali kwann usiwe mzalendo kwa kupenda nchi yk na kiongozi wako mengine muachie Allah yy ndo anajua wapi anakosea tufanyeni kazi tusilaumu sn uongozi
WAZEE maisha tunayoishi sio wote watakukubali lazima wawepo watu wa kukupinga upate kujifunza kitu. Labda mniambie nyinyi NDUGU ZANGU mama kitu Gani kikubwa amekifanya Toka kukalia kitu....??????
@@kassimali2273 tumeishi maisha mabovu zaidi ya alipokuwa magufuri tozo kupanda vyakula kupanda nauli kupanda mafuta kupanda na mengine mengi tu Sasa utamkubali vip rais ikiwa anakwenda tofauti na aliyofanya magufuri
Mambo ni mazuri kidogo lakini ninawaza tunayoyaona mtandaoni uogozi wa kuua watu ilimwuongoze hapo naishiwa pozi Sina nguvu mnao mwabudu Mungu niombeeni Samia Kama mlifanya hivyo achia maana niutawala wakishetani huwa haudumu utaishia kubaya mama wa watu.