Тёмный
No video :(

NILILALA NA FRED VUNJABEI / SIONGEI NA GIGY /MONI ALINITESA 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 113 тыс.
50% 1

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 155   
@andrewkazungu6542
@andrewkazungu6542 Год назад
Nzr sana.
@giventweve8602
@giventweve8602 3 года назад
Diva shikamooooooo jamn mlete fahma anajikutaga sana annakwepa intavyuu yaan nimekukubali
@salmaomary80
@salmaomary80 3 года назад
Huyu dem ana jua kupangia maneno sana nakupenda sana my nilikua siku elewiii ila nita anza kukufatia my love
@merecianaleonidas6338
@merecianaleonidas6338 3 года назад
2015 means ulikua form one, tayari unamjua Fred unaingia na kutoka Town.ha ha haa.hawa wasanii ni pasua kichwa na stories zao
@zenamgwao9751
@zenamgwao9751 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@separatebetres5315
@separatebetres5315 3 года назад
Sio watu hawa
@catherinemhagama7505
@catherinemhagama7505 2 года назад
Mara form one 2015 Mara form two niliishi nae Moni Sasa mtt wa sec, unaishije kwa wanaume bado upo na wazazi. Napenda maswali ya Diva ya kisomi ila huyu Dada umizwa kichwa mengine SI mkweli.
@catherinemhagama7505
@catherinemhagama7505 2 года назад
Umetisha Diva nakupenda buree
@johariyahya7886
@johariyahya7886 3 года назад
Diva unawakaba sana na maswali khaaaaa 😀😀
@narjey2611
@narjey2611 3 года назад
Diva unakaba sanaaa😂😂😂😂😂wallahi dah adi raha unapaswa umuhoji fahima yule ng’ombe anajikutaga mgumu sana Fahima please nexttt
@pillyolsen8377
@pillyolsen8377 3 года назад
Fred ata wamaliza mastaa wa kike wa bongo Kwakweli mnajizalilisha bora ata mfanye biashara kuliko mnavyo achiana mabwana na maradhi haya
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 3 года назад
Hivi umeskia ngoma ya #TrueBoy #HAWAKATAI?? This is what he means....😂😂
@sharinv8864
@sharinv8864 3 года назад
Divaaa maswali uko mbele 💥💥💥💥
@wivinemwamini9110
@wivinemwamini9110 3 года назад
DIVA GOOD KUNA WAtu hawajuwemaswari ukonomaDiva
@giventweve8602
@giventweve8602 3 года назад
Yaan diva ni diva tuu nakupenda we dada unasaut aisee
@lordthelpus7577
@lordthelpus7577 3 года назад
Ummm who are these ladies? Everything about this aesthetically? OMG! They killing it. Well done. 👏🏾👏🏾👏🏾 👁👄👁
@nasinalaw8740
@nasinalaw8740 3 года назад
Fredy kumbe malaya hivyo khaah😔
@enjoomaliya1399
@enjoomaliya1399 Год назад
Nai , Niffer , nawapenda sana , afu wazuri ,
@marianajoachim9411
@marianajoachim9411 3 года назад
2016 alikuwa 4m2🙄 Hawa wasanii wetu mbona kazi sana 😂 😂 😂
@nasibukhingengena455
@nasibukhingengena455 3 года назад
😂😭
@cherrydinero7181
@cherrydinero7181 2 года назад
Ko 2ko sawa😂😂aya ila mi cna fame kama ake
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 года назад
Diva ni fireee🤗💟gigy bangi znamsumbua.haya mwaya pambana usiachie kitumbua kikaliwa na kila mmoja mwsho ataetaka kukuoa atakuja aone uwanja wa mkapaa...sawa nai?
@faridakidoti6734
@faridakidoti6734 3 года назад
Duh Fred unawatumia Sana slay Queen
@isaacsimon3580
@isaacsimon3580 3 года назад
Huyu binti anaongea uongo mtu, ,
@fetychina3273
@fetychina3273 3 года назад
Bora hamisa ulivyo jikataa huyu fred ni malaya sana
@tsagytz6755
@tsagytz6755 3 года назад
Ukiwa na ela lazma utafune nyama. No bakola tu
@sashoright8213
@sashoright8213 2 года назад
Kwel Mana kamjua Ila anawza kua anazururaa nao kisa anione yy anapendeka kwasbb hamisa kamkataa ttzo ilo
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 3 года назад
Fred alikusapoti na dyudyu la yuyuuuu😂😂😂
@zou7470
@zou7470 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@neemaalex728
@neemaalex728 3 года назад
😂😂
@hassanchauluwa7308
@hassanchauluwa7308 3 года назад
😁😁😁
@rosetembe3785
@rosetembe3785 3 года назад
Kama namuelewa hivyo, gigy anamchuchunge mchafu,na kujikutaga mnyamwezi kumbe fala tu
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 3 года назад
Mmmmh hiii tabu fred anatembea na vichaaa watamuanika hawa vicheche akome
@joharibashiri2446
@joharibashiri2446 3 года назад
Yani gigy kila nimuangaliapo Haki simsomi before nilikuwa nacukulia nimceshi Tu lakini now naona Kama Kuna kitu kashaanza hakipo Sawa kwenye ubongo wak
@dallasfarmer924
@dallasfarmer924 3 года назад
Hustler wanaichukuliaje Hawa 😂😂😂😂 😂😂😂😂😂😂
@veeJesus
@veeJesus 3 года назад
😂😂
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 года назад
Hawajui hasa nn maana yke wanajiongelea tu
@mariyammariyam6584
@mariyammariyam6584 2 года назад
Nahis wanaongea tu kama wanavyojua wao ila means hawajui lolote hustler
@sashoright8213
@sashoright8213 2 года назад
😅😅😅😅😅😅awaelewiiiii
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 2 года назад
😀😀😀
@aboukefea6669
@aboukefea6669 3 года назад
Wanaume WENZANGU tutafuteni hela...
@jescajulius8023
@jescajulius8023 3 года назад
Bora ww umelitambua
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 года назад
Fred atawala wengi sana kwa sababu wadada wenzangu wanajilahisisha sana awasemi na njaa zao
@fetychina3273
@fetychina3273 3 года назад
Kabisa wataliwa sana
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 года назад
@@fetychina3273 haswaaa
@justinafyondi8455
@justinafyondi8455 3 года назад
@@fetychina3273 Dah nomah san!!
@linnusaloyce6559
@linnusaloyce6559 3 года назад
Kabisa mama
@salamaignace7873
@salamaignace7873 3 года назад
Tamaa za kutaka mambo makubwa ili hali hawana hata uwezo wa kumiliki, and angalia kwa jinsi walivyo wadogo jaman!!
@eunicemaduhu484
@eunicemaduhu484 3 года назад
fred , fred, fred nakuita mara tatu , hilo pweza lako tuliza , jamani wote hao, wanaume tafuteni hela mtaishia kuwapa hi! shemeji
@brightluvanda2795
@brightluvanda2795 3 года назад
Sema na huo ukimwi je?utawaacha? Hiv is real jamani!!"
@janethpallangyo2633
@janethpallangyo2633 3 года назад
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@benomdaile7271
@benomdaile7271 3 года назад
Fredi vunjaa bei ana vunjaa bei Kwa madada
@jackyjacob2105
@jackyjacob2105 Год назад
Waah huyo fred noma anawachanganya mastar wote kweli pesa shkamoo 😅😅😅😅🙌
@salmahibrahimsalmahibrahim5427
@salmahibrahimsalmahibrahim5427 3 года назад
Uyu nae
@neemaratib6810
@neemaratib6810 3 года назад
Mwanamke akiumizwa na mwanamume basi akili yake haifanyi kazi huangukia kwa mwanamume atakaye mpa bega la kulilia.
@adamumussaadachadachief2169
@adamumussaadachadachief2169 3 года назад
Fact
@vikkiadam1004
@vikkiadam1004 3 года назад
Vua miwani tukujue sura yako
@Chimamy5242
@Chimamy5242 3 года назад
Ukweli mtupu
@maimunamumwi4507
@maimunamumwi4507 Год назад
Woiiih nimechekaaa🤣
@sarafinahmwakyusa1071
@sarafinahmwakyusa1071 3 года назад
Cool cool😊
@lizzydiy4590
@lizzydiy4590 3 года назад
Wanyakyusa tuna comment wapi?
@lovenesssarungi2193
@lovenesssarungi2193 3 года назад
Nai amejibu vizuri sana
@fatumaabdallah6720
@fatumaabdallah6720 3 года назад
Hahaaa Fred amekula hapo et kakayangu nyoooo unajikanyaga t kuongea ,,,,,,Ila wasichana wa bongo msipokuwa makini Fred atawala wote
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 года назад
Wataliwa sana wanapenda mtelemko sana
@brightluvanda2795
@brightluvanda2795 3 года назад
@@dottohamisi9844 na yeye fred ataliwa na ukimwi!!"?
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 года назад
@@brightluvanda2795 😃😃😃😃😃hatali
@bonnysure8706
@bonnysure8706 3 года назад
@@dottohamisi9844 We mwenyewe unamtaka Fredy acha upimbi
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 года назад
@@bonnysure8706 mm hata sihitaji mwanaume
@franklinmganga736
@franklinmganga736 3 года назад
izo ndo ps za town 😂😂😂😂😂njaa hizi hataleee
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 года назад
🙄🙄🙄🙄Sasa siulele na dunia nzima na ww maisha Yenyew mafupi ay
@jacksonnduna4419
@jacksonnduna4419 3 года назад
Bongo kumpata seroius artist, yaani kwenye mia, unaweza upate wawili tu wengi wao ni vituko tu au kutafuta ku trend
@cecymosha4528
@cecymosha4528 3 года назад
Nakupenda nai
@ibraimoissiaca6058
@ibraimoissiaca6058 3 года назад
Moni kasimama km man hata mm nisingekubali madharau
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 3 года назад
Hapa hamna kitu Fred ashajishindia
@fetychina3273
@fetychina3273 3 года назад
Hivi kuibiana ma bwana mnaona nidili jamani???atakutaka vipi na Kesha kulamba tayari Kesha kufunua mnatia mpaka kichefu chefu mxxxxxxxxxxxw 😏😏😏
@mamausilamy1360
@mamausilamy1360 3 года назад
Kweli kabisa fety, mambo fety
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 3 года назад
Big up Diva unajua kuwakaba!🤣🤣
@neemaalex728
@neemaalex728 3 года назад
😁😁
@user-xh7vw4kk7o
@user-xh7vw4kk7o 3 года назад
Nice
@ikrissaidrissa8613
@ikrissaidrissa8613 3 года назад
Fred alimega kisela 🤣🤣
@manirakizahashim9967
@manirakizahashim9967 3 года назад
Hahaha
@vickykapama8386
@vickykapama8386 3 года назад
Eti ni kawaida kuishi nyumba za millioni!? Wakati NYETI ZAKO NDIYO ZINAHANYA KWA KUBULUZWA KWA WANAUME WENYE NOTI ILI ULIPIWE KODI!! Khaa kweli mtoto mpumbavu ni Mzigo kwa WAZAZI WK🦉🦩🐉
@ashakijaji5869
@ashakijaji5869 2 месяца назад
Katika vitu hatar hapa duniani ni kudate na mtu ambaye anamahusiano mengi,hapo utakuwa unasubir ukimwi uhakika.
@mugwevenant1963
@mugwevenant1963 3 года назад
Shikamoo pesa
@ashantyjojo5298
@ashantyjojo5298 2 года назад
2016 upo forn 2017 ukaanza kukaa na bwana uwiii shule ikaishia apo
@Bengo_OnlineTv
@Bengo_OnlineTv 3 года назад
Nai unajua sana jinsi ya kujibu maswali nmekupenda bure
@veeJesus
@veeJesus 3 года назад
Nai anaongea kama wolper
@hatari9591
@hatari9591 3 года назад
Uhuru gani huo?
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 3 года назад
Wanawake bhana wakisaidiwa kidogo tu wanajiachia duuh sio watu wakuwaamini!
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 3 года назад
Hivi umeskia ngoma ya #TrueBoy #HAWAKATAI?? This is what he means....😂😂
@jonsonigwakisa1162
@jonsonigwakisa1162 2 года назад
Mwongo huyu 2016 form two
@sarafinahmwakyusa1071
@sarafinahmwakyusa1071 3 года назад
Say Ayeye
@wivinemwamini9110
@wivinemwamini9110 3 года назад
Kuna bwanamumbaya unawezavumiriyaunashidwa japokuwa nyiye hamujaolewa niumalayatupu
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 3 года назад
Hivi umeskia ngoma ya #TrueBoy #HAWAKATAI?? This is what he means....😂😂
@syphroseshazala6854
@syphroseshazala6854 3 года назад
🔥🔥🔥
@paulmarcel1026
@paulmarcel1026 3 года назад
Ulisharubuniwa ww! Vp shule ulimaliza ?
@fralex_1276
@fralex_1276 3 года назад
Oky
@erickmahona5357
@erickmahona5357 3 года назад
Nai mbn sikuelew kweny vunj bei apo unaingia mala unatok
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 года назад
We nai unajichubua naona vidole vinasugu veusi
@georgesikazwe5914
@georgesikazwe5914 3 года назад
Jichubue na wewe..acha wivu
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 года назад
@@georgesikazwe5914 unateseka ukiwa wapi 😀😀😀
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 года назад
@@gillimangi5522 soon nitaanza kujichubua my 😄😄😄
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 3 года назад
@@gillimangi5522 kwani kwao ni wapi
@florencychilango9198
@florencychilango9198 3 года назад
@@jenifajuma5395 Wadada tunawivu sana sasa unaangalia mahojiano au unaangalia maungo yake
@lisahsamwel3508
@lisahsamwel3508 3 года назад
2015 alijuana na fredy akiwa anakuja mjini 2016 alikua fom 2 uko kwao jamani 😅😅😅
@amaniomballa1855
@amaniomballa1855 3 года назад
Duu inaonekan Alianza kupelekewa Moto toka form one maan kasem form two 2016 ...2015 Alikuwa Anaenda kwa Fredy
@tukaeamani7090
@tukaeamani7090 Год назад
Muwe mnaangaliaga mawani ya kuvaa jamani , hiyo mawani kama fundi welding vipi kisha umevaa usiku, vua bana
@Bengo_OnlineTv
@Bengo_OnlineTv 3 года назад
Ujue sometimes sisi wanaume huwa tunazingua sana ujana uplayboy na tamaa ndio vinatufanya tuwalize sana mwanamke hebu tuache ili tuweze kuwa waaminifu kwa tuwapendao nmejifunza kitu hapo
@humphreyalbano3349
@humphreyalbano3349 3 года назад
Kweli bro na wao wapunguze tamaa za pesa
@makulaikuku6909
@makulaikuku6909 3 года назад
Ujengewe sanam lako posta😂
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 года назад
Ulinzi unatakiwa kwa hyu kijana🤣
@Bengo_OnlineTv
@Bengo_OnlineTv 3 года назад
Huwa naumia sana kuona mwanaume anamfanyia mwanamke ujinga ndio maana naogopa kumliza mtu nliyenae yan anafikia hatua ya kuniambia kuwa nikimuacha na yeye anajiua eti kisa sijawahi fanya kitu negative kwake kwenye swala la mapenzi pls mans hebu tuwe na huruma unakuta mwanaume anamcheat her girl kwa best yake alaf anachukulia fine kabisa ila sisi wanaume tutakuwa na moto wetu private siku ya mwisho
@esterngowi7159
@esterngowi7159 3 года назад
@@Bengo_OnlineTv mungu akueke brother love thiz
@nasibukhingengena455
@nasibukhingengena455 3 года назад
Tume drinks😂😂
@elizabethhonere2931
@elizabethhonere2931 3 года назад
Kumbe huyu Fred ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine anawapanga tu ukimuona huwezi kuamini
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 3 года назад
Si wanajirahisisha wenyewe!
@zikirination6769
@zikirination6769 3 года назад
Njaa 😅😅😅
@aminamtikaonlinetv7305
@aminamtikaonlinetv7305 2 года назад
Tatizo ukuwa na mapesa wadada wanajileta wenyewe so kama huna msimamo aiseee utapiga sana.
@moseskitangita915
@moseskitangita915 Год назад
dada zangu mumejitwisha dunia kwa tamaa inaonekana ww ulimchiti moni maongezi yako yanakusuta ww tamaa
@michaelnzunda7347
@michaelnzunda7347 3 года назад
Aka nakenyee aka katoke zake uko hakana utofauti na kuku kishingo
@ginamulenga1878
@ginamulenga1878 3 года назад
@Fred vunjabei Come See Your Trouble
@aishahamissi3775
@aishahamissi3775 3 года назад
Diva menakukubali unajuwa kuhoji kabisa
@tukaeamani7090
@tukaeamani7090 Год назад
Kupendeza gani huko kama fundi Welding
@zenamgwao9751
@zenamgwao9751 3 года назад
2016 form2 na 2017 anaish na mon🤔
@salamaignace7873
@salamaignace7873 3 года назад
Imagine, means hajamaliza shule huyo
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 2 года назад
Hakumaliza shule itakua
@paulmsape163
@paulmsape163 Год назад
Mliingiliana nyie,lakini km mlishayamaliza potezea tu
@bashirusalehenandoro3128
@bashirusalehenandoro3128 3 года назад
Fred aisee amewakula sana hawa wadada 😂😀😃
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 года назад
Si wanapenda pesa wataliwa2
@saidramadhan5396
@saidramadhan5396 3 года назад
Kwastaili hii amewala mnoo😅😅😅
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 года назад
@@saidramadhan5396 sana 🤣🤣🤣
@bashirusalehenandoro3128
@bashirusalehenandoro3128 3 года назад
Na mwamba simu moja tu anapitisha piza analipa kod ya miez 3 alafu mbele huko utajitegemea
@dfinafriga9863
@dfinafriga9863 3 года назад
Nipesatu🤣😂
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 года назад
Ila huyo Gigi money nae kila mtu unagombana nae hebu acha kujiamini Sanaa ujeuri umekujaa mdomo mchafu Sana yaani Gigi money huwa nakupenda ila kwa hizi bifu za kijinga na wenzio tu jirekebishe bhana unakera Sana Gigi
@hiland255fundi5
@hiland255fundi5 3 года назад
Umalaya shida kwel mtoto wa watu unajing'atA sana, Dunia iko mbio mno
@speroachpaulsen
@speroachpaulsen 3 года назад
❤️❤️❤️❤️❤️
@aprow2059
@aprow2059 Год назад
Malaya tu wategemezi
@jacksongidion2767
@jacksongidion2767 3 года назад
Y
@jacksongidion2767
@jacksongidion2767 3 года назад
Atawamaliza Frid vunja bei
@allyshamte1802
@allyshamte1802 3 года назад
Vimeo tu hivi! Tamaa mbele umauti nyuma, pumbavu zao.
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 3 года назад
Pumbavu tupu
@juniorjoseph7044
@juniorjoseph7044 3 года назад
muongo
@lovelylee7296
@lovelylee7296 3 года назад
Haha
@isackmaturo7331
@isackmaturo7331 3 года назад
Kwahyo ulikua unasoma huku umeolewa namaanisha ulikua unatoka kwa mume unaenda shule
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 2 года назад
Inawezekana
@wivinaanatory7813
@wivinaanatory7813 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@nyandabukombe9291
@nyandabukombe9291 3 года назад
Mkukuje huku tulane
@kapeljjkapeljj5407
@kapeljjkapeljj5407 3 года назад
Disgusting
@fettyobah7855
@fettyobah7855 3 года назад
Nilikua skupend we dda bt nw nimekuelewa, unaakili San
@nishaabias5694
@nishaabias5694 3 года назад
I am mnyama mkali😂
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 2 года назад
😀😀😀
@jorgettemwajuma5428
@jorgettemwajuma5428 3 года назад
Nice
Далее
ЛОВИМ НОВЫХ МОНСТРОВ В LETHAL COMPANY
2:42:22
WAWILI WATIWA MBARONI KWA MAUAJI SINGIDA.
4:47
Просмотров 1,4 тыс.