kutoka kijijini Muyama Wilayani buhigwe alikosoma shule ya Msingi dkt Philip Mpango Makamu wa Rais Mteule wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,nakukutanisha na mzee ambae alisoma Darasa moja na dkt Mpango Hadi walipohitimu pamoja darasa la Saba mwaka 1970 huku mzee huyu alikumbuka umahiri mzuri alikuanao Dkt Mpango katikati Hesabu hadi kuitwa Genius wa Hesabu.
29 мар 2021