Eti bashe nitapeli wa kisomali .. .nchi imepoteza mwelekeo kuongozwa na mwanamke tukome jamani ... marekani mpka raisi wa 45 hawajawahi kuweka jike kuongoza dume
Hatutaki mfumo huo , tunalima kwa shida leo mtupangie pakuhuza , kama mnataka kununua mbaazi toeni pesa na sio maneno, mkulima anauza mazao yake apeleke Mtoto shule nyie mnatoa karatasi
dalal kala na viongozi wa mkoa, kiongozi mwenye nafas ya kumtumikia mwananchi anatumiwa na wafanyabiashara kumyonya mkulima kwa kuanzisha mifumo kandamiz kama stakabadhi galani ili hali mkulima kipind cha kulima hakupariwa eneo la kulima, maji, jembe, mbelea na madawa.