Yalishatabiriwa haya kwenye maandiko matakatifu kuwa manabii wa Uongo wengi watatokea siku za mwisho na kuwadanganya wengi hata walio WATAKATIFU. SO wasomao maandiko hatuyashangai hayo na wala hatudangangiki na hizo ROHO ZA MANABII WA UONGO
Unakipaji...ila tu nikushauri tu kwa wema hayo mavazi...yakuvaa suruali...yatakuondolea utukufu japo kwa leo uko juu ila utashuka hutaamini...vaa vizuri kama mlokole...mimi sioni utofauti wako na mwinbaji wa bongofleva...