Тёмный

KAZI YA BANK NI KAZI YA KIKE, MAISHA NI TAREHE SI STAREHE , SIASA HAIELEWEKI KAMA MWANAMKE - ELIE VD 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 75 тыс.
50% 1

KAZI YA BANK NI KAZI YA KIKE, MAISHA NI TAREHE SI STAREHE , SIASA HAIELEWEKI KAMA MWANAMKE - ELIE VD

Опубликовано:

 

23 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 149   
@sportsnewjs4330
@sportsnewjs4330 3 месяца назад
Huyu mheshimiwa anagawa Madini ✨️bure kabisa bila malipo yeyote 👏👏👏MUNGU ambariki zaidi
@robinsongodwin9710
@robinsongodwin9710 3 месяца назад
Tanzanian people Tumshukuru Mungu kwa kuwa na dr ellie ❤
@hamidafundi-pw1gw
@hamidafundi-pw1gw 3 месяца назад
Mwanamke ni mbeba maisha kwa ujumla wake. Ni chanzo cha vyote. Ni sawa na ardhi inabeba vyote katka dunia hii.Mwanamke ni tegemeo kubeba maisha ya sayari hii.Mwanamke aweze kuwa tayari kubeba kama ardhi. Mwanamke usikumbatie watoto wako,utapoteza uimara wako .Mwanamke Acha kuwa tegemezi,jiamini .Nimejifunza, pongezi Dr Ellie.🎉
@josamwilliam4105
@josamwilliam4105 3 месяца назад
Uko vzr
@user-em1bu1es4p
@user-em1bu1es4p 3 месяца назад
Amina kubwa pasta,nimekusikiliza toka huko Congo.
@user-wi4kw6ug6e
@user-wi4kw6ug6e 3 месяца назад
God help me be that woman🙏 nimejifunzaaa mnooo
@nwntz
@nwntz 3 месяца назад
Mzee anatoaga madino heavy, namkubali sana prof Elly✊✊✊✊
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 месяца назад
Changamoto watu wenye uwezo mkubwa kama Dr Elie VD wanatumika Vyuoni tu ila wangetumika mtaani kwa Vijana ambao ni Wapambanaji Nchi ingebadilika maana huko Chuoni wasomi wana mawazo ya kuajiriwa pekee
@piusdeo9380
@piusdeo9380 3 месяца назад
Nakubali sana ndugu
@moriskalegeleshusha2619
@moriskalegeleshusha2619 3 месяца назад
Umetisha mkuu
@chechem.wambura8172
@chechem.wambura8172 3 месяца назад
​@@piusdeo9380ona ambao hamjasoma mnavyoshadadia. Acheni wivu na chuki kuwasema vibaya wasomi kisa nyie hamkusoma. Nani kawaambia Kila aliesoma anawaza kuajiriwa?, na kwani akiajiriwa Kuna shida Gani? Mbona wapo watu kibao walioajiriwa Wana maisha mazuri kuliko ambao hawajasoma. Kufanikiwa kimaisha haijarishi umeajiriwa au hujaajiriwa ,umesoma au hujasoma.,
@furahakalombe2011
@furahakalombe2011 3 месяца назад
Anatumika sana mtaani ila ni kwamba hatufahamu tu mtaa gani. Maeneo mengi anaalikwa kutoa elimu
@moriskalegeleshusha2619
@moriskalegeleshusha2619 3 месяца назад
Ni vzr tuwe tunapata matangazo
@johnchuwa1646
@johnchuwa1646 3 месяца назад
si rahisi kumwelewa Dr Ellie kama namna yako ya kufikiri imefungwa na elimu,dini n.k
@MillardMushi-ce2bu
@MillardMushi-ce2bu 3 месяца назад
Dr elie nakuomba uje uwe mwalimu wa vijana wangu wana penda ngono kuliko kula
@user-wh9zj7kf7h
@user-wh9zj7kf7h 3 месяца назад
😂😂 nimecheka kwa saut
@barakabusima
@barakabusima 3 месяца назад
😂😂 ...jamani Dunia inamambo
@gordiansoko9113
@gordiansoko9113 3 месяца назад
Duu hii kali kuliko maelezo😂😂
@judyngowi391
@judyngowi391 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Mussasylivester05
@Mussasylivester05 3 месяца назад
😂😂
@DEBORAHMASANJA-yz3go
@DEBORAHMASANJA-yz3go 3 месяца назад
Asante sana Mwl Mungu akubariki umeni fungua sehemu kubwa
@saidmlemeta8083
@saidmlemeta8083 3 месяца назад
Huyu jamaaa anakili nyingi sana alikuja kwetu hapa GGM geita gold mine yuko vzr mno
@wilibarddorotheaelias8410
@wilibarddorotheaelias8410 3 месяца назад
Oi niaje kaka
@mwakalingaabas981
@mwakalingaabas981 3 месяца назад
Jamaa lina akili sana hili dr elly waminian
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 3 месяца назад
Dr Elie you are very right ❤
@user-ss5xy7lb7k
@user-ss5xy7lb7k 3 месяца назад
Usipo kuwa logical huwez kumuelewaa
@user-hp1jo4xc9o
@user-hp1jo4xc9o 3 месяца назад
Bila kuwa na D mbili huwez kuelewa 😂😂😂
@hgmtz8997
@hgmtz8997 3 месяца назад
Hata akili ya mtoto hutokana na akili ya mama
@MarianaCapson
@MarianaCapson 3 месяца назад
Sooo powerful ❤
@user-gd3xl1qh8t
@user-gd3xl1qh8t 3 месяца назад
Dr elly nakuelewa sana,ila hii salam shikamoo wakina mama halaf wakina baba habar ya saa iz nifafanulie hapo.
@UpendoEliasSokota
@UpendoEliasSokota 2 месяца назад
Dr umetisha
@petermgaya9693
@petermgaya9693 3 месяца назад
Very complex speech
@ColinMhema-ne3lz
@ColinMhema-ne3lz 3 месяца назад
Huyu mtu ana akili nyingi sana na kumuelewa lazima na wewe uwe na akili
@georgesamwelchacha7680
@georgesamwelchacha7680 3 месяца назад
Ukisema utoe Zawadi kwa Mwanamke ambae amekuja bila kupaka Wanja au Madikodiko hapo hayupo😂😂😂
@user-hj8sr3ds2m
@user-hj8sr3ds2m Месяц назад
You are absolutely correct 👏
@Nzumbi0
@Nzumbi0 3 месяца назад
De elie daah! Ana madini kichwani aise ya unaambiwa ni mara mbili kwa upande wangu
@seifkulwa3346
@seifkulwa3346 3 месяца назад
Ok uko vzr sana, ila hayo unayongea yataishia kwenye majukwaa tu huwezi tengua uumbaji wa Mungu kwa maneno!
@victoriajames5413
@victoriajames5413 3 месяца назад
Huyu nae, hata ktk huo uumbaji umeelewa nini?? Udini unakusumbua hovyo kabisa.
@seifkulwa3346
@seifkulwa3346 3 месяца назад
@@victoriajames5413 Mungu ameumba Dunia na vitu vyote kwa formula Kila kitu mahala pake Mwanaume vs mwanaume, mchana vs usiku, kiangazi vs masika, Masaa 12 mchana vs Masaa 12 usiku, uhai vs kifo nk huwezi badilisha kwa tamaa zenu za kisiasa just waste of time for nothing. What is religion? Religion is nothing in this universe, created by human being to control the majority for nothing and minority continue monopolizing resources for their family!
@charlesmakelele4268
@charlesmakelele4268 3 месяца назад
Anaitwa Dr ELIE.
@elyudsaleh6044
@elyudsaleh6044 3 месяца назад
Jamaa kafanikiwa kukufurisha imani zote na amesepa na kijiji
@jamesraphaelmdima4729
@jamesraphaelmdima4729 3 месяца назад
Tafuteni maarifa kwa mwenyezi Mungu na wala si kwa wanadamu!
@bongomastory791
@bongomastory791 3 месяца назад
@@jamesraphaelmdima4729 Mungu pia anatumia wanadamu kufikisha maarifa
@eliazewanga3543
@eliazewanga3543 3 месяца назад
The best philosopher local wise
@leonardmadelemo3043
@leonardmadelemo3043 3 месяца назад
Elie vd nouma sana
@user-wq2fh5rx4s
@user-wq2fh5rx4s 3 месяца назад
Huyu Dr anafaa kutembea kwenye furusa ni represement ya ruge anamadin hatar
@sontrillthereal8186
@sontrillthereal8186 3 месяца назад
Ana madini sana ila ukiwa shabiki wa simba huwezi elewa
@LusiaJohn-mv4xd
@LusiaJohn-mv4xd 3 месяца назад
asante doct
@mwakilamwaki1718
@mwakilamwaki1718 3 месяца назад
Uyu na Hamonaizi sawa
@HassanHassan-sn5cj
@HassanHassan-sn5cj 3 месяца назад
Umeonaeeee!!! Anatumiwa na utawala wa Ant crist au Masihiddajaal hata bila yeye kujua!!
@mwakilamwaki1718
@mwakilamwaki1718 3 месяца назад
Doctor Janabi na uyo sawa to
@ellynikotv7178
@ellynikotv7178 3 месяца назад
Much respect though
@rizikiesromu1418
@rizikiesromu1418 3 месяца назад
Niambie akili sahihi ni ipi?je ni ile ya kufundishwa na mungu au mwanadamu? Acheni dharau Mungu hips apendye.
@rahellubandila1928
@rahellubandila1928 3 месяца назад
barikiwa sana
@frank_luminous
@frank_luminous 3 месяца назад
Huyu MTU ni zawadi kwa wote macritical thinkers!!
@majidfrolian4904
@majidfrolian4904 3 месяца назад
Balaa huyu jamaa 😊
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 месяца назад
Uwezo wa Fikra wa Dr Elie VD lazima urithishwe kwa kizazi cha sasa. Utajiri unaanzia Fikra kisha unahamia katika roho na mwili.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 месяца назад
Sijamwelewa kabisaaaa, alikuwa anajikanyaga kanyaga sana tu ...lakini, kwa vile ana title ya Dr professor lazima tutishike na tumuone kwamba ana akili kubwa kuliko sisi. Hakuna mwanamke hata mmoja aliyemwelewa hapo..kawa buruza tu.
@henrymkuye6669
@henrymkuye6669 3 месяца назад
Dr is the best
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 3 месяца назад
AKILI KUBWA❤
@ngaribaonlinetv
@ngaribaonlinetv 3 месяца назад
Fact
@msomaprince2644
@msomaprince2644 3 месяца назад
Nimemuona Tima😂😂
@madreks253
@madreks253 3 месяца назад
Well said Dr! ❤
@saidmlemeta8083
@saidmlemeta8083 3 месяца назад
Hlw
@saidmlemeta8083
@saidmlemeta8083 3 месяца назад
Hlw
@neemashingda
@neemashingda 3 месяца назад
Bila kuwa na d mbili huwezi elewa hii
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 3 месяца назад
Asije Kugeuka Chawa tuu Kama Yule Professor Mngine Wa Majalalani Akili Zote Zitaisha
@peterrayunga
@peterrayunga 3 месяца назад
Mkufunzi umetupoteza kwamba mungu ni mtu? Umedanganya Kila kitu jike no no no.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 месяца назад
ee mungu ni mtu ila Siyo MUNGU utofautishe hayo mambo mawili
@mchumiajuani1993
@mchumiajuani1993 3 месяца назад
Dr Elie akili kubwa, vijana wajinga wajinga hamuwezi kumwelewa, kuna mtu anamuona leo ndio anakuja kumtolea hitimisho, hata kipindi cha chomoza hukijui.
@victoriajames5413
@victoriajames5413 3 месяца назад
22:34 kuna mamtu humu majinga Sana hayataki uhuru wa kujifunza yameshikilia kitu kimoja kimoja tu sio ya kuambatana nayo utadumaa!😅
@user-ox1tt3on3i
@user-ox1tt3on3i 3 месяца назад
Safi kabisa
@godfreymgaya1862
@godfreymgaya1862 3 месяца назад
I see my daddy PT
@Thabitilubunani
@Thabitilubunani 3 месяца назад
Mshamba huwezi kupngana. Na maandiko ya vitabu vya mungu vya dini yote
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 3 месяца назад
Sasa watu ambawo hawana elimu na wana hela.hawo ni kundi gani maana umeongea so badly kwa watu ambawo hajasoma.na asilimia kubwa ya watanzania hawahasoma haiyo ni matusi
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 3 месяца назад
Ndo changamoto ya wasomi wetu wanathan elim ndo kila kitu ni ujinga mtupu
@masungadutta3823
@masungadutta3823 3 месяца назад
Elimu siyo darasani tu ukiwa na uelewa wa jambo ni elimu tosha
@Utulivu444
@Utulivu444 3 месяца назад
POINT 100% ​@@masungadutta3823
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 3 месяца назад
@@masungadutta3823 👍👍👍
@magorymara5515
@magorymara5515 3 месяца назад
Umeropoka mwana ili umwelewe unatakiwa kuwa na akili sana hivi vitu kama vinakuzid uwezo we pita tu kimya kimya si lazima kuchonga
@mosesmnyantope9534
@mosesmnyantope9534 3 месяца назад
Duh
@nelsonmgaya1490
@nelsonmgaya1490 3 месяца назад
Uchawa ni m baya sana!!!
@zainakingwele9228
@zainakingwele9228 3 месяца назад
Sioni ulicho sema kwenda kujiuza au kivip kweli dunia ipo mwisho
@athumanhassani805
@athumanhassani805 3 месяца назад
Wewe muo😢
@MnazaretiMystry
@MnazaretiMystry 3 месяца назад
Mpumbavu huamini kila anachoambiwa
@jeremiahblazio4781
@jeremiahblazio4781 3 месяца назад
Hawa wanaojiita wasomi ndo wahalibifu wa dunia unafikiri hao unaowajaza vichwa wakitoka hapo wakayabeba hayo kama yalivyo siwatataka nafasi ya mwanaume waichukue wao na nini kitafata si ndoa kuvunjika na watoto kuhangaika.
@nelsonmgaya1490
@nelsonmgaya1490 3 месяца назад
True!!
@ruthn9381
@ruthn9381 3 месяца назад
Education is truly important. That's why we need it. It enlightens our thoughts. Only people who understand him, can appreciate such lessons.
@ellymzera2457
@ellymzera2457 3 месяца назад
Agreed. .🇰🇪
@rosehaule6765
@rosehaule6765 3 месяца назад
Mhhh acha zako
@ontarget7949
@ontarget7949 3 месяца назад
Dr Elie huna baya
@MnazaretiMystry
@MnazaretiMystry 3 месяца назад
Mpumbavu huamini kila achoambiwa
@user-ks7bs8yk3p
@user-ks7bs8yk3p 3 месяца назад
Weka tuweke ila sio kwa kuwekwa wake kuwa wanaume tufahamu mungu ni mkuu na ukuu wake utadumu milele ukiupuuza kesho yako itakuwa mbaya sana
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 месяца назад
siyo mungu sema MUNGU
@husseinmnubi6834
@husseinmnubi6834 3 месяца назад
Real talk Dr🫡
@yamungummungulo633
@yamungummungulo633 3 месяца назад
Wengne wanaona muda kumepoa #Gigy
@yohanaibrahim4128
@yohanaibrahim4128 3 месяца назад
Nimemuona kungwi liliani
@bennyinnocent2750
@bennyinnocent2750 3 месяца назад
ASILI KAMWE HAIPITWI NA VYA KUCHACHA
@vascomwalongo451
@vascomwalongo451 3 месяца назад
Hamnw Kitu hapo
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 3 месяца назад
Huu ni ujinga tena ujinga wa hali ya juu na hawa ndo hutuhalibia family
@AnthonySindabaha-de3xb
@AnthonySindabaha-de3xb 3 месяца назад
Mswahili bhana ..jibu kwa hoja
@KillyM-ry5iy
@KillyM-ry5iy 3 месяца назад
Uyo ni mcongo
@malkavoice2570
@malkavoice2570 3 месяца назад
Ktk mastar wote hayupo Mwanamme mmoja tu naye ni zaidi ya wanaume wote waliokuwepo humu,mkutano wa wanawake mwanaume unakuwaje kimbelembele,kwann msingewasindikiza na kuwasikiliza wao wanalipi la kuusiana kama wameshajitambua. Kwenye wimbo wao walisindikizwa tu na ujumbe waliutoa wao kwa jamii na kutambua wao wanathamani gani,hapa mnawafanya wajione watu zaidi ya watu pasipo kujituma wala kujitoa 7bu mwanamume ndio anaelezea maziri yao kanakwamba wao hawayajui majukumu yao. Waraka mzuri ila ungewaandikia wausome wao waonekane wao tu. Mondi yukowapi hapa?
@RaymondKilomeye
@RaymondKilomeye 3 месяца назад
Kuwa mwanasaikolojia sio kujua Kila k2 kwasifa ulizo wapa wanawake wangekuwa wanajitambua au kujua wanachokifanya lakini nitofaut, kwamfano huo huo wanaume %kubwa tunajielewa bila kufundishwa tunajifunza kwakuona kwa matukio toaut na mwanamke Ambae ht umfundishe bado anahtaj umuongoze simo kwenye nigal nishushe tetea ugali wako2 ndugu hakuna usahih ktk Hilo, ww na mungu nani anamjua binadam mpaka kumfanya mwanaume awe mtawala wa mwanamke iliwezekana vp wakat uwezo wakufikili zaid kampa mwanamke cjawah kuona akijiongoza, halafu km ww nimdhaifu kwa make wako co wote, unavyojiona ww cvyo wengne walivyo
@chancekambale3498
@chancekambale3498 3 месяца назад
Wewe hakili ndogo tu huna logiki bali unatumia Isia kuandika mambo haya yote .
@user-ly5gd2zc7u
@user-ly5gd2zc7u 3 месяца назад
Unaongea nini, na nyie ndio wadhaifu wenyewe mliomdidimiza mwanamke, tulia dawa ikuingie
@chakulachaleo
@chakulachaleo 3 месяца назад
Ukitaka pesa ya aibu lazima usifie kilichokupeleka,ila sidhani kama anasoma NENO la MUNGU huyu, MUNGU alishatoa majukumu ya MWANAMKE na MWANAUME,WEWE ni nani ukampinga MUNGU anaekupatia pumzi?
@ruthn9381
@ruthn9381 3 месяца назад
I wish you could understand him logically. We need such great minds in Africa. It takes a person with sound judgement to understand him. Seek knowledge first before you criticize anything. Good luck!
@elinihakimsuya1673
@elinihakimsuya1673 3 месяца назад
Mwisho wadunia huo,mafundisho potofu
@yamungummungulo633
@yamungummungulo633 3 месяца назад
Kvp ndug? Tokea zaman wanawake matajir wapo, rejea mke wa kwanza wa pro Muhmad (S.W A)
@ruthn9381
@ruthn9381 3 месяца назад
Really? Don't see why?
@msatibongonyuzi14
@msatibongonyuzi14 3 месяца назад
Mafundisho ya kishetani hayo
@dostovan5142
@dostovan5142 3 месяца назад
Usipo kua na akili yako uta amini chochote unacho ambiwa na hawa ma motivation speaker, waongo sana, wanaonga vitu vya kufuraisha watu tu
@hailinhelen4675
@hailinhelen4675 3 месяца назад
anayo sema ata yeye mwenywe nadhania hayafamu 😢😮
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 3 месяца назад
Huyu mjingai ana tu tukana huyu
@user-zo8ub3tl9g
@user-zo8ub3tl9g 3 месяца назад
Mi nasikia pumba hakuna maana ata
@salehsimba5306
@salehsimba5306 3 месяца назад
Maneno ya kuwafariji watu dhaifu duniani
@pascalwissi4805
@pascalwissi4805 3 месяца назад
Itakuwa uwezo wako mdogo, si rahisi kumuelewa dr
@chrismassawe2939
@chrismassawe2939 3 месяца назад
Mungu mwenyewe alimwona ni dhaifu kwanza hajaumwa ninsehemu ya mwanaume
@user-ki9wu6no3d
@user-ki9wu6no3d 3 месяца назад
Kweli Kabisa 😂 Kaongea point za Msingi Sana yeye hajaziona Kwasababu ya Uwezo wake
@user-ki9wu6no3d
@user-ki9wu6no3d 3 месяца назад
​@@chrismassawe2939Hakuna sehemu Kwenye Vitabu vitakatifu Mungu Amesema Mwanamke ni Dhaifu Kwa kinywa chake Zaidi ya Mtume Paulo(Biblia) tu Kwa uzoefu wake Wa kibinadamu na Si Mungu kusema
@user-rg7se7qj5v
@user-rg7se7qj5v 3 месяца назад
Nimejutia mb zangu nilizotumia kukusikiliza ila dah bure kabisa fyuuuuu.
@user-ly5gd2zc7u
@user-ly5gd2zc7u 3 месяца назад
Jishikilie utadondoka
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 месяца назад
HAYO NDO MAHUBIRI YA WATANZANIA. MWANAMKE , MWANAMJE, NWANAMKE.
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 3 месяца назад
Ni siku kuu yao we wasifie tu
@saulostephen197
@saulostephen197 3 месяца назад
huvi yeye anafanya shughuli gani vile
@godfreymgaya1862
@godfreymgaya1862 3 месяца назад
Mwanaume ni logic , tunarud pale pale
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 3 месяца назад
huyu ni mwanasaikolojia@@saulostephen197
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 3 месяца назад
@@saulostephen197 ni mtaalamu wa falsafa na mbobezi wa elimu ya theolojia.
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 3 месяца назад
logic ni nn? @@godfreymgaya1862
@George-jz3jg
@George-jz3jg 3 месяца назад
Nimekusikiliza kwa dakika kama 11 hivi unafundisha uzuzu tu nawashangaa wanaume wanao tikisa vichwa kukuelewa nao pia ni mazuzu tu
@user-ly5gd2zc7u
@user-ly5gd2zc7u 3 месяца назад
Sasa Kwa ukubwa wa uelewa huo anaoongea apo na udogo wa akili yko unategemea nini?😊
@kaginazongori
@kaginazongori 3 месяца назад
Huyu mshikaji apimwe akili maybe anatatizo la afya ya akili
@dicksonulotu7427
@dicksonulotu7427 3 месяца назад
Sitakaa nimwelewe,endelea kuwadanganya .
@user-ki9wu6no3d
@user-ki9wu6no3d 3 месяца назад
Sisi Tunamwelewa tulio tayari Kujifunza n Kuelewa
@elishaussiri345
@elishaussiri345 3 месяца назад
Hapo kwenye kwanzia umemkosea Mungu
Далее
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
How to Measure ANY Cliffs Height with a Rock
00:46
МИГРАНТ ВА ПОЛИЦИЯ 😂👍
00:12
Просмотров 289 тыс.
"Mawazo" Sehemu Ya 60 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminia.
31:57
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
14:14
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40