Mungu wangu. Umenitoa machozi Dr. Shika roho inaniuma Sana. Pole Sana. Mungu akusaidie upate pesa zako zote utimize Marengo yako .mungu anakupenda Sana. Kwa hiyo atakusaidia sana
Wanaokudharau, sku moja watakusalimia kwa heshima. Ukweli utajulikana tu... but huyu baba yuko vizuri sana. Big_up kwake Atainuliwa. Mungu kaamua kumfungulia milango kwa njia hiyo.
Asante Milard Ayo, Jana nilisema jamani mwacheni mzee afunguke ana mengi ya kushare. Maskini mpaka chozi limenitoka kwa kweli utajiri wafaa nini kama maisha yako yko hatarini. Baadhi tulisema kuna vitu behind the scene sio bure. Mnaona sasa. So Mzee ameona maisha ya kukaa amejificha hayatamsaidia na angeweza pengine hata kufa bila hata kujulikana. Nakumbuka kamanda wa Police Dar es salaam Mambosasa alimkebehi huyu Mzee kwamba mtu mwenye kavaa ndala hela atatoa wapi, Hii Kauli ilitupa shida tulio wengi. Cha kumshukuru Mungu ni kwamba Mzee yuko hai na Afya yake itarejea tu. Amefanya jambo la maana sana kusema ukweli. Mi nahisi bado anayo mengi mpeni tu Kipindi afunguke na kadiri anavofunguka ndivyo chances za kusurvive zinaongezeka.
pole Mzee tumekuelewa.Allah atakulipa kwa hizi zulma walizo kufanyia.Sasa nyinyi muliomzalau mumeona MTU alivyokuwa yuko lakini,je MTU ambae ana akili a naweza kuwa na kumbukumbu kiasi hiki?kutokan na hii mitihani aliyopita ndio imuathiri kisakolojia lakini bado anajitambua
Mathayo Matondo Mambo vipi? Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Nampa pole sana Huyu mzee kwa yote yaliyomkuta lakini pia nampongeza kwa kupambana na hali yake kisawasawa, hakika ni ngumu kuamini lakini ni nyepesi kuitafakari, mladi yupo nyumbani basi mengine tutayaona, ila anikumbuke siku kampuni yake ikitengemaa,
Msomi ni msomi tu....maelekezo yake yanadhihirisha kwamba kitaaluma yuko juu sana.Phd in science si muziki wa mchezo.Mh.Magufuli,mpe huyu msomi aliyebobea ajira hapo muhimbili,kuna upungufu mkubwa sana wa watu Kama hawa.Yupo smart sana kichwani huyu Dr. Pole sana Mzee wangu,Mungu akusaidie!!
KWANZA MAGUFULI MWAJILI HUYU MZEE PALE MUHIMBILI. PILI TUSIMDHARAU MTU TUSIYE MJUA TATU VYOMBO VYA HABARI MCHANGIENI HUYU MZEE MAANA MNAPATA PESA NYINGI KUPITIA YEYE.
Ndugu zangu PhD ya MEDICAL SCIENCE sio ya kipole pole, Kama kusoma inabidi uwe Kichwa Sana Yaan, Ifike Time Tumpe HESHIMA huyu Mzee Amesoma Sana. He's very Innocent, Obedient, Smart kichwani.. RESPECT ndio kitu cha kumpa huyu Mzee Msifanye TOYI
Tunaitwa nyani kilamaala, ata na india wanatuita nao nyani kipindi wao ni nyani weusi mno zaidi yetu... ila chaajabu South Africa wa india wapo Bungeni na hapa kwetu Tanzania wapo Bungeni pia tena uki cheki wapo kwenye u spiker wa Bunge South Africa na Tanzania pia. Yaani hii tabia yetu sisi weusi wakiafrica kuchukiana nakugombezana kati yetu yaani Mungu atuurumiye sana. Cheki unyama wa mzungu sasa hadi walimkata vidole. Nyinyi wakujipendekeza kwa wazungu nawapa pole.
Mzee Mimi nimekuelewa sanaaaa. Pole sana Kwa yote but I believe this God is going to do something Good for you. Iwe fundisho Kwa wale wanao judge mtu Kwa muonekano wake tu. Na kwale wanao judge bila kujua undani wa mtu. Let's change people's hii mpaka lini?
To be honest nimekoma kufuata mkumbo na kuchukulia watu poapoa wallah tunajudge vitu kwa impression za physical appearance ndio maana si maisha,mapenzi na mengineyo "impression" inatesa watu na kuwa soooo judgemental...forgive my manners Dr louis
Mzee yuko smart anahitaj msaada Millard kuna vyombo vyaeza msaidia huyu alichofanya ni kama tu akina sàmata waendavyo kucheza mpira ulaya there is a room of helping this man## sina shaka nae kbs
naamini huyu mzee ni billionaire kweli, he knows how to explain his self dah nlikerwa na yule afande aloongea pumba kwa kumjaj mtu kimuonekano ata kabla ya kucheki hii
Dah... kama hii ni kweli... basi mjomba kapitia misukosuko ya kutosha... pole sana jomba.... Lkn pia tusisahau kauli mbiu yake "Suala la kukaa peke yako halikubaliki"😅😅
Nimemuelewa sana huyu mzee. Kiukweli anachosema kina ukweli ndani yake. Mtu muongo anaonekana tu hata kwa macho. Mi naamini haya maneno yake yote ni ya kweli.
Dah mzee nimekuelewa Sana, Sasa yule dem alokuwa anamsema vibaya huyu baba wa watu et Hali chakula anakunywa tu maji ukome na haibu ikufike, usizan kupika nyumban au kununua chakula uje ulie ndan ili uonekane umekula ni usenge, mzee anaish kistyle Yake
Mariam Oman Assalamualaikum! Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
lakn jaman urus nasikia wanamambo ya ajabu sana inawezekana huyu mzee alikuwa na mali sana yaan Bas tu,daaaa ama kwel usimjadili usiyemjua mzee kapitia mengi
mchukuliavyo MTU cvyo alivyo ukifuatilia maelezo ya mpangaji mwinzie na maelezo ya DR shika ni vitu viwili tofauti ,jamaa yko vizuri sana maelezo 2 yanajitosheleza
Dah maskini, mzee anastori ya kusikitisha sana nimestruggle sana kumaliza dakika zake19:38 inasikitisha japo mwisho kuna kautani kidogo. Ila nimejifunza vitu vipya 3 leo toka kwa huyu mzee. Moja ni Shikiria kengele aka "mbupu" mbwa mkali habwaki( hii ni kwa sie boys tu) 2. Shika kitovu nyoka mkali hakusogelei kabisa 3. Usimtazame usoni mtu aliyelala utamwamsha
TUMSIFU JOACHIM Mambo vipi? Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
mimi nina hishi ujerumani mwaka wa 8 sasa hivi, hawaturuhusu kubeba pesa nyingi kutoka ujerumani kwenda kenya ..huyu mzee nimemuelewa kabisa , jamani mzee juzi nimecheka sana ukisema" million 9 itapendeza" yupo mwenzetu ameacha pesa zake zoote ujerumani.nawashauri wenzangu tunao ishi ulaya fungueni account direct africa mshahara ukiingia unaingia africa , kikiumana wewe pesa zako ziko mbele
Aisha ELIAS nmeelewa, only people who are living out of Africa can understand dat, hawa wengne waache walete blabla hawajui n nn wanaongea. Huku nje kila kitu ni tofauti wao wanadhan n utani.
Ingekuwa mbele tayari watayarishaji wa kubwa na makampuni makubwa ya Filamu yangekuwa tayari yapo location januari tunasubiria movie mupya ya Dr Louis S Kid. Ila kwa hapa kwetu Bongo lala ni balaa watayarishaji wa filamu wanataka watutengenezee filamu zao za mtu katoka bush huko kakutana na demu wa kishua alaf anafanikiwa kimaisha (hizo ni bangi). Stori ya huyu mzee ni Bonge la filamu la kupiga hela na kujitofautisha kimtazamo na utayarishaji wa filamu.
DICKSON ELIASI watu wa Ubalozi wa Urusi wanamfahamu.huyu km sikosei nikweli alisomaga Urusi.Mimi nilikua mdogo sana.Lakini ni msomi,sema kulikua na ishu km maradhi.Waliosomaga Urusi miaka 1994 na chini vuteni hii sura
DICKSON ELIASI Mambo vipi? Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Fredy John Waifakara Tanzania Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
haya huyo mambosasa alieitisha conference na na kuanza kumdhalau huyu kikuapi sasa? 'mtu mwenyewe hata afananii na million hata moja' pole mzee wangu umewafanya wajinga wanyamaze
Michael Kasebele Mambo vipi? Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
mnaodhani huyu mzee hajielewi mnajidanganya... he is good na ni genius than we could imagine... tulien mtaona tu mzee atafanya mambo makubwa sana huyu kupitia hii exposure ya " 900 ITAPENDEZA" LOL
Mbona kama movie,,!! any way this guy looks amesoma and i think sio vyema kumdharau coz you never know anaweza kuwa somebody,,!! ila ingependeza story ake aitolee movie.
*Touch story. Then usimdharau usiemjua kwakweli. Binafsi nimemuelewa. Mbali na changamoto alizopitia lkn ki saikolojia yuko okay, imagine wewe unakutana na vitu kama hivyo. Pole mzee ndio dunia. Nashauri serikali wamuangalie kwa jicho la tatu, hapo aliposema anataka kuhamishia kampuny nchini kwani akifanikiwa means atatoa ajira kwa vijana wa kitanzania wasio na ajira.*
HAYA NI MAISHA NDIYO UMUHIMU WA KUMJUA BWANA YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU HALLELUIYAH.. KUWA VIZURI SANA KATIKA MAISHA YA KIROHO.. THAT'S ALL WHAT MATTERS