Тёмный

ALIYEKUWA ASKARI WA JWTZ ASIMULIA ALIVYOFUNGWA JELA MIAKA 9 KWA KUSINGIZIWA TUKIO LA UJAMBAZI UBUNGO 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 564 тыс.
50% 1

Moja ya matukio makubwa yaliyotikisa nchi katika serikali ya awamu ya Nne ni tukio la ujambazi wa uvamizi magari ya kusafirishia fedha zilizotoka Bank ya NMB posta Dar es salaam kwenda NMB Dakawa morogoro.
Tukio hilo lilitokea maeneo ya mataa ya ubungo ambayo kwasasa pana fahamika kama Daraja la Kijazi ambapo ni tukio lililoacha simanzi na majozi na vifo kwa baadhi ya askari wa jeshi la polisi na wafanyakazi wa NMB Dakawa morogoro.
Sasa leo tunaye aliyekua askari wa jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ Nazareth Amulike ambaye naye alikumbwa na masahibu makubwa yaliyosababisha kukukaa mahabusu kwa zaidi ya miaka 9 ambayo aliingia 2006 na kutoka 2014.
Nazareth ana mengi ya kutuambia nini kilifanya yeye pia akamatwe kwa kusingiziwa katika kesi hiyo na kukaa jela miaka yote hiyo.

Опубликовано:

 

29 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,4 тыс.   
Далее
KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI
12:01
Просмотров 431 тыс.
FATAL CHASE 😳 😳
00:19
Просмотров 1,4 млн
How the Most Elite Spy Agency Operates
22:42
Просмотров 1,4 млн