Kwenye party ya Mtoto wake na Diamond Platnumz, Hamisa Mobetto aliulizwa maswali mbalimbali na kuyajibu kuhusu kupewa Elfu 70 kwa siku, ishu ya kumshtaki Diamond pamoja na uhusiano wao wa kimapenzi ulipoanzia.
Yoooo hamisa sisi tulifikuri ni wewe ulo mshitaki diomond mahakama ivi tumejuwa kumbe diomond ndo aliomba ni sawa wewe ndo mwanamke strong kwa kweli Tunakuombeya ulimpenda diomond kweli mungu awe na wewe
Yaani katika miaka 9 hiyo ni ya kuliwa na kuachwa kimyakimya.Ameishi na Wema ,Joket na Zari yeye bado anadukuliwa mafichoni FOR 9 YRS!!!!!!!WHAT A SHAME!!!
this girls needs to be international model like victoria secret what a beauty, the height the body and the neck need award itself wish her all the best
Hamisa sawa uko na diamond myaka 9 uliza mtoto wako wa kwanza na majuzzo na uko na diamond kumbe majuzzo kaweka kichwa na diamond kaweka migu kumbe umalaya uko mdam kabisa pole sana ndugu kwakuwachanga ulisema unamjuwa diamond na diamond anakujuwa na majuzzo naye anakujuwa zaidi
anayemjua diamond no wema tu alimpenda kabla hajawa staa unasema upon nae miaka Tisa kumbe na Huyo mtoto Wa like no wake pia. acha njaa mdogobwangu Fanya kazi upate chakula njaa acha
Swali ni ulikua uki double deal Majizzo na Diamond??Juu sidhani kama mtt wako wa kwanza ako na miaka zaidi ya Tisa.Jamani wanawake tutambue THAMANI ZETU tuwache maigizo mengi yasio na faida.Ingekua mm ni ww Hamisa hizo pesa ningewekeza pahali yani uko na wakati mzuri sana wakufanya mambo ambayo yatakusaidia kesho kuliko hizi upuuzi.YANI HUA NATAMANI SANA KUELIMISHA WANAWAKE WAJIJUE THAMANI ZAO WAACHE KUA OPTIONS.
Lazais Kitoday ss nyang'au kwani mtu akizaa na mtu mwengine wakiachana hawezi kuwa na mtu mwengine uelimishe nani jielimishe mwenyewe na ujiyafakari mbwa ww unaongea tooooo km kasuku bila ya kufikiria
Eti kama mke mdogo yani shule muhimu jamani yani unavyojielezea it’s define you exactly who your ! Jamani wanawake tujielewe katika haya Maisha wanaume sio ndugu zetu !
Nawashangaa sana watanzania,,mwamkana wenu na kumrushia kila tusi,I just don't know why you people cherish zari that much,,lakini kwa sababu zenu poleni sana,just pity hamisa,all in all kizuri chakataliwa na kukanwa na wengi lakini kibaya chapendwa na kuhitajiwa na wengi.tafakarini
Hivi vimalaya vya mjini vina roho ngumu, mtu kilasiku anajulikana anabadilisha mademu tangu tumemfaham yeye hajawahi kutambulishwa hata kwa bahati mbaya still anajivunia kuwa naye miaka 9, BITCH....!!!!
Dai katembea na wengi lkn chaajabu hujawah kutuonyesha huyo amisa huko kujuana miaka tisa vepee shoga? Na vp uufchwe mpka Dai anazaa na zari c acha uongo tamaa mbaya ndugu rizka na ulichonacho maana mm nashndwa kuelewa ndan ya hyo miaka tsa mlkuwa mnafahamiana kvp maana Dai kaenda kwa zari na ww kwa majzo acha kutuchota akir
Young beautiful with brains guys plz stop this young inteligent gal to a42yr old mama,,when zari was at amisa's age she had nothing totally nothing thats why she even decided to play asex tape for finacial issues coz she was broke like hell,, and besides all wat she has now nijasho ya ivan nt hers so gve that little gal abreack let her enjoy her youth
mh kweli kizuri hakikosi kasoro pia mwizi haoni aibu kujingamba unajizalilisha acha mapenzi yawatu yashamili ww utaendelea kuwa maraya tu na ss wanawake tunazambi kubwa maana unashidwa kutafuta mwanaume wako ila we hamisa umemuona diamond yuko na family yake ww unataka kuhalibu ili diamond aje kwako umekula wachuya ila ingekuwa mm nigekaa kimya
jamani wapi wanawake waheshima wamshauri hamisa jamani duuuh hii kazi asiwafurahishe watu kwa kusema haya miaka tisa in a maana ulimcheat diamond na majizo
Kama huko dem, mama, ama mwanamke and u have experience this u understand more then anyone else so don't throw stone kwa hamisa hata kidogo penda wewe sana
Mmmmmmm sielewi hapo Yuko na Majizo huku ana Dai akiwa na Mimba ya huyo mtoto wa mwingine huku ana Dai duuuuuuu , Dai Yuko na Wema yeye yupo, Yuko na Zari yeye Yuko na wengine wote mmmmmmmmmmmmm huyu Sijui Mobeto mmmmmmmmmmmmm!!!!!!!!!!!??????????😷😷😷😷😷😷😷😷, Sasa alikuwepi ziada au💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃chukua👉🏆
kumjua daimond haitokusaidia ki2 ddngu mbele ya Allah 3aza wajallah, huyo daimond kwanzia umjue mpaka kuzaa nae mwana haramu umepata nini bali w2 wamekutusi sanaaa na sasa karudi kwa zari hakuketi na wewe ushazaa nashakutupa na wengina watakupitia kama alivyokupitia daimond lkn ukimjua mola wako kila jema ulifanyalo nitakufaidisha hapa duniani na kesho akhera ddngu yaskitisha sanaaaaaaaaaaa😭😭😭😭😭(mche mola wako na urudi kwake mumba mbingu na ardhi) Nina imani huu ujumbe utakufikia.
lengo lako hamisa n kuharibu mausiano ya zari na diamond ungekuwa unamjua sana ungekuwa nae tangia mda miaka tisa! ww n muharibifu tu unalolote aukuwa nae uko kote uje ujifanye saiv unampenda diamond
mbona miaka tisa mama hujumzalia mtoto? na isitoshe ulienda ukazaa na mwanamme mwengine ilikuwaje ukaja ukaamua umzalie sasa? vile alikuacha akawa na zari ndiyo ulitaka kumkomoa? na isitoshe si ni wewe mmoja ulikana kabisa kuwa na mapenzi na Mondi? PLEASE make us understand what's your issue with zari?? kumbe basi wema ndiye aliyekupindua mbeleni?? Hamisa huwezi force aliye kukataa now we understand your calculation was that if you got pregnant may be Mondi would have reconsidered being with you. loo mama umemganda mtoto wa mwenzio vibaya mno. your son will one day be told how you brought him into this world NOT out of love but greedy for money and you are now using your son as a tool. WHAT A SHAME!!
cheupe stefano hajamganda D mnamuonea Hamisa Huyo Dee ndio kashindwa kumuacha Hamisa kwani alimbaka hakuona sababu ya kumtangaza na kuzaa nimakubaliano sasa wamekubaliana wazae muacheni awe huru
cheupe stefano ww wacha kijifanya mungu mtu mola mwenyewe ndio anapanga kukupa mtoto hakuna werevu wakujuwa au kujipangia maswala y kuzaa isipokuwa kwa uwezo w mola mbona wema mpaka ss anatafuta mtoto hapati funguwa akili yk naujuwe unaandika nn