Kiongozi, mwana sasa Mkongwe jasiri mwenye ueledi wakina mheshim kabuda ❤❤❤❤❤uwepo wake muhimu sana unahistory nzuri yako Tanzania 🇹🇿..haina yako Tanzania
Wamebaki wachache wanaoifahamu Tanzania huyu Mwamba Prof. Kabudi anajua, Mungu ampe maisha mema, Nimefurahishwa pia na uteuzi wa Mheshimiwa Rais miongoni mwa mawaziri walioteuliwa ni pamoja na Mheshimiwa Prof. Palamagamba kabudi kuwa wizara ya katiba na Sheria jamaa anajua bhana heshima yake.
Hakuna mzalendo au mwadilifu atakayetokana na serikali ya ccm na watendaji wake watanzania tumeyawaona mengi katika chaguzi mizengwe tu ccm na serikali yake haina mpango wowote wa uchaguzi huru na wa haki na kuwa na tume huru ya uchaguzi ya uchaguzi kuna miingiliano ya mihimili lengo ni kuilinda ccm iliyoozesha nchi
I suggest bongo tupate kiongozi mmoja imara atakae ongoza miaka mingiii bac kama Russia na China afuuu tuwe busy na maendeleo aya mauchaguzi daily yanatucheleweshaaa na tuna incur much cost daily
CCM pendekezeni mmoja ya wafuatao kwa uchaguzi ujao kuwa Rais wa Nchi kwa maslahi ya wanyonge : 1. Prof Paramaganda Kabidi, 2. Dr Hussein Mwinyi, 3. Kassimu Majaliwa 4. Williamu Lukuvi
Siamini chochote chema toka bunge la ccm huyu msomi aliyemwita rais mungu aliyemwokota jalalani hana jema tamaa na kujipendekeza kumeharibu elimu yako na ya wasomi wengi wa nchii hawana la maana ubinfisi wa ccm na dhambi ya unafiki wizi mkubwa wa viongozi wa serikali ya ccm mnaiba kila kitu hamjali maisha ya watanzania porojo tu na unafki
@jumbeojaso5767 Kwenye masuala ya Imani kuna tafsiri tofauti kulingana na Imani. Mfano Waislam tunaamini Nabii ndio Mtume na wa mwisho ni Muhammad SAW lakini imani nyingine maana ni tofauti Manabii hata sasa bado wanazaliwa kama haitoshi Yesu ambae kwetu ni Nabii wa Mungu wengine kwao ndio Mungu, sijuwi kabla hajazaliwa ilikuwaje
Kama TZ ilivyounda CAG office iunde tume ya uchaguzi huru kama CAG office ilivyo huru. Tume itakuwa na kazi za kudumu mf kusimamia daftari ( register) ya wapiga kura kupunguza watakaokufa, kuinviza wanaotimiza umri nk, kuandaa chaguzi nk. Chombo huria kitasaidia chaguzi kuheshimika. Hakuna fedheha kama uchaguzi wa nchi huru tena kibabu cha miaka 63 kuwa wa malumbano oo sio halali, ooo ni uchafuzi nk. Mbona ligi za mpira mbeba kombe halalamikiwi? Tunifunze kwao. Tuondokane na aibu ya lawama na fedheha za chaguzi.