Hii elimu ipo complex sana kwa upande wangu maana ukiangalia tarehe ya kuzaliwa na mwezi unajikuta upo katika kundi Fulani na ukiangalia nyota kupitia Jina la mtu na jina la mama unakuta umedondokea kundi lingine la nyota, Je ni njia gani sahihi ya kujua upo katika kundi gani la nyota? Waungwana msaada please 🙏
Muhimu ndio maana kila kitu kinawahusika wake, Muhimu ni bora ikifikia sehemu unataka kujua nyota yako thabiti ni kukaa na mtu anaezijua vizuri elimu za nyota, Hadi sasa kwa Tanzania sijaona akijiweka mtandaoni na kujitangaza, Wengine wote wanarudia yale yale tu ambayo wanaokota google.