NYUMBA Ya NYERERE Aliyoiuza, AKARUDISHIWA Kimtindo, AKAIGAWA
Magomeni Mikumi jijini Dar es salaam unayoiona sasa, enzi za mkoloni ilikuwa ni kama Oysterbay kwa Waswahili wa Tanganyika.
Tunaambiwa enzi hizo baba wa Taifa Mwl.Jullius Nyerere alimwomba rafiki yake Mustapha Songambele amtafutie kiwanja katika maeneo hayo naye akampatia akajenga nyumba ambayo sasa ni Makumbusho.
#miaka20yakifochaNyerere
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
26 авг 2024