Uyu dada s kwamba huwa ajielewi BIG NO n wa Tz tu tunashindwaga kumwelewa although hakuna aliyekamili kwenye hii Dunia sawah ana mabaya yake lkn pia mazuri yake Kwa upande wangu nayaona n makubwa mnooo kwangu mm namchukulia star na na wish kumwona mbali pia. #Gigy_money nakupenda God bless you baby girl ❤️🙌
Mln 50 unanunua pombe kufurahisha watu mwenyewe unaishi nyumba ya kupanga hiyo pesa si ya kununua Nyumba hiyo kisha mukiumwa njooni mutulilie huku mitandaoni wenye hali za chini tutawachangia