Sasa kama serikali ndio mpango mzima mpaka mchezo ukabadilishwa na kuchezwa saa moja na yanga wakaondoka na simba wakatii na kuingiza timu uwanjani kwa nini tff wasiangalii kanuni zinasemaje watoe hukumu na badala yake tff wanaendelea kuwabembeleza yanga. Wewe oscar kama ni simba subiri ujionee yanga hawatii timu na mwakani jiandaeni kuizungumzia simba ikiwa inacheza ligi daraja la pili. Yanga wapo serious kwa hili
mm cjamcikia wazir wamichezo akitoa sababu za msingi zakubadilisha muda wa mechi Ile.osca ukimsikiliza manara kwenye Ile clip unajua tu kwamba kuna hujuma ilikuwa inafanywa il kuwaaribu yanga kiseikorojia tff ni Simba b
@Mtanzania Halisi Ndiyo maana mpira wetu hauwezi liendelee hata siku Moja. Kwa watu kama nyinyi mnaona ni sawa Ila itabidi ifike mahali kanuni zisimamiwe.
@@onesmongenzi3471 Uwanja wa taifa huwa tunacheza bure? Yanga ilikuwa na Uwanja wake kabla ya timu yeyote Africa. Ulio na mageti na majukwaa.... Ni upuuzi wa watu kama hawa ndio unaorudisha mpira nyuma.
Issue iliyopo siku ya tarehe 8 waliomba mechi ipelekwe saa 1 jioni ni Serikali na ndio maana baadae Waziri Mkuu alitoa maelekezo bungeni. Hata kama Serikali haihusiki kwenye mpira ukigomea utakuwa unaonyeshana mabavu na Serikali. Pia, kumbuka Serikali inaweza kuamua kufuta mpira wa miguu nchini na asiwepo wakupinga. Sheria kweli zipo lakini ukizing'ng'ania sana utagombana na viongozi wa Serikali hata kama makosa niyao
@@onesmongenzi3471 Unarudi palepale. Serikali iondoke kwenye mpira. Hiyo siyo kazi yake kusimamia na kuratibu football. Ukishaanza kukubali hilo, unawajengea watoto wetu mazingira ya kushindwa. Kuna kanuni, na kama walivyotumia kanuni kufungia na kutoza faini wachezaji, viongozi na makocha basi watumie kanuni hizohizo kuipa Yanga ushindi. Wanamichezo wote tusimamie hilo.
You are not a professional at all. Ungekuwa west na hizo post unazozipost. Ungekuwa deported. Hata kama unakuwa huna la kupost unaandika nonsense ili mradi uandike. Be professional