Тёмный

NILIONDOKA YANGA KWASABABU WALISHINDWA KUTIMIZA MKATABA| SIKUONDOKA SIKU YA MECHI KAMA WANAVYOSEMA 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 19 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 26   
@Graceyust
@Graceyust 4 месяца назад
Hiyo ni tabia yako tu kuwa unakimbia so umechagua mfumo huo wa maisha kwenye kipaji chako
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 4 месяца назад
Hamna mchezaji humo, huyo ni maisha yake ya kawaida kuondoka bila kurusiwa, ni kwakuwa anajiona mchezaji mzuri. Ila kiukweli huyo hafai hata kucheza tim za daraja la 2. Bahati mbaya sana ni kiongozi wa kuwashawish wachezaji wasuse au wavunje sheria.
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn 4 месяца назад
Baba levo mrekebishe jamaa Yako huwec kuondoka kwa ruksa ya mdomo bila barua huu ni uhuni kabisa
@godfreypetermasana-kb8xy
@godfreypetermasana-kb8xy 4 месяца назад
Uyu hafai popote. Haifai kutoa haya kwa uwazi namna hii
@mpambanajitz7026
@mpambanajitz7026 4 месяца назад
Huyu jamaa alitusaliti kwenye hali mbaya SANA Kama ningeweza na nikiwa kama mwanachama hai mwenye KADI ya YANGA,,nisiingekubali kumrejesha JANGWANI kabisa...HAFAI BHANA
@anzelohaule
@anzelohaule 4 месяца назад
Wewe hufai
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 4 месяца назад
Huyu jamaaa namkumbuka sana yanga yabakuri alitukimbia wa chezaji wa zamani walimchangia waki mwambia atulie llakini aliondoka tamaaa sana huyoo arudi simba
@kelvinimunishi3334
@kelvinimunishi3334 4 месяца назад
Uyoo akija yanga Mimi nahamia mashujaa
@IssaKigwanya
@IssaKigwanya 4 месяца назад
Sio simba
@chensigns6748
@chensigns6748 4 месяца назад
Nimependa boss levo kuongea baada tu ya kuandika ujumbe
@salmamakweta1198
@salmamakweta1198 4 месяца назад
Uko kimaslahi zaidi, jaribu kuwa mvumilivu, hata sisi kuna muda hatulipwi kwa wakat tunavumilia na mwisho tunalipwa
@user-vh9wt8zh4n
@user-vh9wt8zh4n 4 месяца назад
Machi ya Simba ruhusa na mechi ya yanga ruhusa unazingua Kila mtu anakushangaa
@MeshackMayenga
@MeshackMayenga 4 месяца назад
Huyu hatufai tena kwetu Yanga.Alishindwa kutufaa kipindi tuna dhiki.Maana akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki wa kweli.
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 4 месяца назад
Tamaaa mbaya mjinga wewe.
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 4 месяца назад
Ndo tatizo letu bongo ujinga mwingi saana kuuza mechi sana Ili baadhi ya timu zibebe ubingwa
@jumamakonya2665
@jumamakonya2665 4 месяца назад
Mmhhmm......hajitambui huyu.....!
@chensigns6748
@chensigns6748 4 месяца назад
Baba levo ongea na huyu muhaho
@mariammbwana9018
@mariammbwana9018 4 месяца назад
Huyo kipa hajielewi
@andrewmbilinyi4437
@andrewmbilinyi4437 4 месяца назад
alipisha na gari la mshahara huyo. Yanga HATUNA nafasi yake
@albertvalentino130
@albertvalentino130 4 месяца назад
Huyo jamaa --- Yanga hatumtaki,hata kama atakuwa tayari kucheza bure --- viongozi wa Yanga,mkimsajili huyo,members na Fan's wote " Tutaandamana kuupinga huo usajili "
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 4 месяца назад
😂😂😂😂 pumbavu kweli hajui kunakesho
@ibrahimmseti
@ibrahimmseti 4 месяца назад
Huyu hata Bure hatumtaki,Bora Niache kulipia kadi yangu ya Uanachama.Huyu jamaa alituacha wakati mbaya sana,tamaa zikamponza akakimbilia Simba😏😏,Hafai kuja Yanga hata bure
@GodlistenSamwel-r8p
@GodlistenSamwel-r8p 4 месяца назад
Maslah jmn mbn metacha alitukan tumempokea nyie vp
@haroubmwenesi7169
@haroubmwenesi7169 4 месяца назад
hapa hakuna mchezaji hata kuongea ajuhi pumba tupu
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 4 месяца назад
Hana maana HUYU ni feki sana.
@callicevallice7383
@callicevallice7383 4 месяца назад
Huyo kijana nidhamu yake ni ndogo.
Далее
🔴#LIVE:MASHAMSHAM NDANI YA WASAFI FM -19/09/2024
2:41:24
Harmonize na Mbosso Natamani kufanye  kazi - K2GA
1:29
Просмотров 2,2 тыс.