Тёмный

OSTADH kwa HASIRA AMWAMBIA MAKONDA - "SUBIRI WATU WANAKUFA - ANAITWA MUDI"...... 

Подписаться
Просмотров 149 тыс.
% 598

OSTADH kwa HASIRA AMWAMBIA MAKONDA - "SUBIRI WATU WANAKUFA - ANAITWA MUDI"......
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: ru-vid.com/group/PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

5 фев 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 160   
@globaltv_online
@globaltv_online 5 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@aminashayo9263
@aminashayo9263 5 месяцев назад
Baba katika jina la Yesu Kristo anayeishi na kutawala peke yetu watanzania hatuwezi chochote bila wewe, mambo ni mengi, matatizo ni mengi, kuoneana ni kwingi, kukoseshana amani yaani ni tafrani Bwana Yesu tusaidie na kutusimamie, hakuna mwingine ila wewe, ameeeen😴
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 5 месяцев назад
Amen Amen and Amen
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 5 месяцев назад
Yaani nchi imeharibika Mungu awatangulie katika kazi zako MAKONDA ❤❤
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 5 месяцев назад
Mungu tuhurumie kuna dhambi kuna maudhi mengi Yesu tusaidie
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 5 месяцев назад
Makonda natamani dunia nzima tukuombee ubaki salama yaraby🤲❤🎉
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂dunia nzima😂😂😂😂😂😂😂
@JuliusMhina
@JuliusMhina 5 месяцев назад
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@fbr5113
@fbr5113 5 месяцев назад
MUNGU KESHASIKIA MAOMBI YA DUNIA NZIMA NDIOMAANA KAMRUDISHA MADARAKANI, MAKONDA AISHI MIAKA 800 AKIWA TIMAMU NA MZIMA WA AFYA NA APEWE NA URAIS ILI AKIPIGANIA WANYOMGE NA KUIJENGA ZAIDI TANZANIA. AMEN.
@PamelaJonas-dh6lg
@PamelaJonas-dh6lg 5 месяцев назад
Kwel kabisa
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 5 месяцев назад
Tanzania noma sana.. Hila makonda unakazi ngumu sana.. Kupambana na kutatua shida za watanzania
@faharikhamisi3091
@faharikhamisi3091 5 месяцев назад
Mama angu mpe nguvu makonda aweze kutoa maamuzi anafaa sana please
@georgedamas7097
@georgedamas7097 5 месяцев назад
Kwakweli Mama Samia ana mtihani mkubwa sana
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 5 месяцев назад
Kweli kabisa nipo Tunduma watu wengine ni Makada wa ccm wanavyeo vikubwa xana ndo wasafirishaji wakubwa wa wakimbizi wametajirika kupitia mambo kama hayo,kazi Yao ni kusafirisha wasomali😭😭😭😭😭
@user-ph7jn4co4t
@user-ph7jn4co4t 4 месяца назад
Makonda mungu akubariki sana nakuombea uje kuwa rais awamu ya 7 maana ww ni mtetez wa wanyonge
@fednandnews2240
@fednandnews2240 5 месяцев назад
Dah inaumiza sana roho za watu😢😢
@user-ic4cg5fx2f
@user-ic4cg5fx2f 5 месяцев назад
Namshukuru Mungu kwa kufichuka madudu aya
@mariakajigili4280
@mariakajigili4280 5 месяцев назад
Mungu tulindie Makonda jamn mpe afya njema mpe uzima
@neemanziku5403
@neemanziku5403 5 месяцев назад
Mama Samia Kuna madudu Tanzania hii 😥😥😥😥😥
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 Месяц назад
Anawasikiliza wanaomdaganya
@alsam4881
@alsam4881 5 месяцев назад
Huo ni uonevu, dhulma na unyanyasaji mkubwa kwa raia, Mnyeezi Mungu awaalaani na awaangamize watu wote wanaofanya dhulma hiyo InshaAllah 🙏
@peacemwesiga
@peacemwesiga 4 месяца назад
😭😭😭😭makonda Barikiwa na Mungu
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 5 месяцев назад
KUNA WATU WANATETEA KULIKO WABUNGE WETU. HAYA KWELI HAYAJULIKANI ? NCHI IMEKUWAJE . KWA NINI HUYU MZEE MWENYE TAALIDA NZURI HIZI ASIPEWE CHEO NA KUMPA KAZI KULIKO WATU WAPUMBAVU WALOSOMA .
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 5 месяцев назад
Mungu akulinde Baba. Yangu.umesema.kweri......Omba.Mungu.wasikuzuru. tuhao wabaya
@AhmadAhmad-vb2tz
@AhmadAhmad-vb2tz 5 месяцев назад
Nchi imechafuka hii yani sijui tu
@WilliamKaunda-nn2ld
@WilliamKaunda-nn2ld Месяц назад
Nikweli wengi wafanyahivyo
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
@JeremiahMwalukosya-eh5nf 5 месяцев назад
Huyo mudi anawatesa sana wacongo nawaburundi
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y 5 месяцев назад
MMA ngalele mwalukosya kyala ansaje fijoo makonda 🙏🙏🙏🙏
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
@JeremiahMwalukosya-eh5nf 5 месяцев назад
@@user-nb6yh2bn9y gwee abhandu aba balosi fijho bobasetano
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y 5 месяцев назад
@@JeremiahMwalukosya-eh5nf kabisa kaka 🙏🙏🙏🙏
@laylayl5166
@laylayl5166 5 месяцев назад
Mfukuzeni jamani huyoo mudi hafai atawajibika siku yahukum huyo
@user13375
@user13375 5 месяцев назад
Viongoz wako pale,mambo mengine ni nyeti sana kwa usalama wa inchi ,lakini hadi afike Makonda
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 5 месяцев назад
System failure
@user-ft4tq4ug4c
@user-ft4tq4ug4c 2 месяца назад
Daaaa!!! Hii nchi Atamarehemu jhoni pombe magufuri Alisema mimi na jua megi miaka mitano5 Niyamaumivu makubwa leo hii binadamu Awana-uruma juu ya binadamu wenzeo hii ni zuruma isiyo kisiri kwanini Awa-watu wanakuaivo tena sasa kibaya viongozi Akika zuruma Nimbaya sana Eeeee mwenyenzi mungu tia faraja juu ya ilitaifa
@shangwefisima3993
@shangwefisima3993 5 месяцев назад
Ee Magufuli kumbe uliacha roho nyuma zinafanya kazi Asante
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 месяцев назад
😂😂😂😂aliacha roho nyuma😂😂😂😂😂
@chalespamagila4783
@chalespamagila4783 5 месяцев назад
Makonda fanya kazi yako mungu atakusaidia
@LeahKazeni
@LeahKazeni 18 дней назад
Mungu mlinde Makonda ni mtumishi wa Mungu nakupenda sana Makonda Mungu akutunze
@laylayl5166
@laylayl5166 5 месяцев назад
😭😭😭😭😭😭maneno yameniuma sana yahuyu mzee ustadhi
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 5 месяцев назад
Hatari sana
@hawakiza6067
@hawakiza6067 5 месяцев назад
Kwakweli ni mtihan mkubwa
@fratelltutiilaudatosi4153
@fratelltutiilaudatosi4153 5 месяцев назад
Sasa eabunge wanakazi mbona madudu kila kona ya nchi
@user-uo2ld3hl5g
@user-uo2ld3hl5g 5 месяцев назад
Hongela mzee semaaaa
@user-sp4jr4vw6t
@user-sp4jr4vw6t 5 месяцев назад
Haya mambo mbona mazito jamani
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 5 месяцев назад
OOOH MAMA TANZANIA....SERIKALI IMEJAA MAFISADI WA KUTISHA....VIKO WAPI VYOMBO VYETU VYA USALAMA WA TAIFA...NI WAZI KABISA NCHI IMEOZA!
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 месяцев назад
Madudu matupu
@thomastemu3332
@thomastemu3332 5 месяцев назад
Inauma Sana
@alizanzibar1586
@alizanzibar1586 5 месяцев назад
Bro vp hili la huyu Mzee mbona unakigugumizi,
@HenryHabeli-iy5dv
@HenryHabeli-iy5dv Месяц назад
Hongela mh mungu akupiganie juhudi zako zinaonekana
@makongoronyerere1564
@makongoronyerere1564 5 месяцев назад
Makonda peke yake hawez, angekuw jpm yupo, ingekuw saf
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 5 месяцев назад
Duhhh hatari
@jackiefredrick586
@jackiefredrick586 5 месяцев назад
Kila mtu akae nchini kwake. Akija tz aingie kisheria
@natual7572
@natual7572 5 месяцев назад
Yaseme hayo kwasabab upo kwako kwa aman sawa ww kenua maneno unayotaka siku ikiwa kwako au kwa ndugu yako utayajua haya
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 месяцев назад
WAKIMBIZI SIYO WAHARIFI KABISA HAWAPASHWI KUFUNGUNGWA KABISA. AU WARUDISHENI MAKWAO , AU WAPELEKENI KWENYE AZILI.
@danielkanso
@danielkanso 5 месяцев назад
Kumbe mambo yako hivi viongozi wanafanya haya hii ni laana
@laylayl5166
@laylayl5166 5 месяцев назад
Mtihani Sana wajuwe Kuna mungu hasahau
@JilbertDanifordMathayo-sn2gy
@JilbertDanifordMathayo-sn2gy 5 месяцев назад
MUNGU AKUINUE KUTUTUMIKIA WATANZANIA. AMEN
@user-yl3mr5hy5s
@user-yl3mr5hy5s 15 дней назад
Tanzânia hayipende watu wageni watanzania wana logo mbaya sana Police hasa
@CKMO
@CKMO 5 месяцев назад
Yanasitisha sana kusikia mambo mengi sana yanayo fanyika Tanzania lakini tunarudi papale wakulaumiwa nani uwongozi mbaya huwezi kuongoza nchi chama kimoja muda wa miaka 70 lazima utafuja wapisheni wezenu mushachoka musinganganie looooh 😢
@Entertainmen_tv2024
@Entertainmen_tv2024 5 месяцев назад
Bira ww uwe rahis akitoka mama
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂raisi 😂😂😂😂😂😂
@saudangalleni388
@saudangalleni388 5 месяцев назад
Mungu akupe nguvu muheshimiwa utatue matatizo ya watu nakupendaga sana vuchapa kaz wako
@lubungaetienealmasi1059
@lubungaetienealmasi1059 3 месяца назад
Nikweli mm ni mkongo Nipo Canada niliwai kuhogea na police kigoma na nikatuma milioni 5 ili ndungu yangu atoke
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 Месяц назад
Chama,kimempunguzia makali Makonda.Aongee.nn?.wanaohusika wameisha.msemelea kwa Rais
@BupeMwakasege
@BupeMwakasege 22 дня назад
Mungu tusaidia mwatamia mkonda kama kuku atamiyavo vifaraga vweke
@user-bo7zr6ej8g
@user-bo7zr6ej8g 5 месяцев назад
Baba umeongea ukwelii ila hiyo biashara hata serikali inajua umeona makonda amemwita huyo afisa amuulize ukatili huo unafanyika katika tanzania duuuh mungu mwenyewe
@bernadettelumona6024
@bernadettelumona6024 Месяц назад
Ni kweli ata kakonko Mkowa wa Kigoma
@user-qb3nr6gl1z
@user-qb3nr6gl1z 5 месяцев назад
😭😭😭
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 5 месяцев назад
Tatizo hata Makonda anatupa nguvu zake maana mikoani kuanzia chini mpaka juu baadhi ya maofisi watendaji ndio wanafanya hayo kwa hiyo Makonda atasema lakini akiondoka hawafanyi lolote wote maharamia ni sawa na kumpigia mbuzi gita
@LeahKazeni
@LeahKazeni 18 дней назад
Makonda wewe ni Rais wa miaka ijayo uko vzr nilikua naichukia sana CCM lkn sasa naanza kuipinda kupitia kwako
@bugybuster5788
@bugybuster5788 4 месяца назад
Kiukweli hii serikali viongozi wa nchi hii si waadilifu wanajali masrah yao kuliko ya wana nch
@innocentmtondo9656
@innocentmtondo9656 5 месяцев назад
Io changamoto ya uhamiaji ipo pote tz
@dativajoachimwai1194
@dativajoachimwai1194 5 месяцев назад
Tz jamani... Wakimbizi maanake nini kwani. mkimbozi ni mtu aliye kimbia kwao kwa sababu za kukosa amani nakwenda mahali pa salama zaidi. sasa wa Tz wanafikiri wakimbizi ni wahalifu. mtu anakimbizwa na muuaji anaingia kwenye nyumba yako nawe unageuka kua adui yake tena. wakimbizi wakikamatwa wanapelekwa ofisi inahusiana na wakimbizi huko wanawasaidia sio kuwafunga. mkimbizi maranyingi hawawagi na vibali. wapokeeni wakimbizi muwasaidie lama hamtaki kuwasaidia muwarudishe kwao.
@GoodDerick
@GoodDerick 3 месяца назад
Mama muache makonda afanye kaz yake tunaomb
@stanimpangala3633
@stanimpangala3633 5 месяцев назад
Unakuta Katibu mkuu wa Chama hajawah hata kuita press ya maana kutatua changamoto. Mawatu mazito kama mawe wanayapa mamlaka
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 5 месяцев назад
CCM inachelewa Maendeleo ya wananchi watanzania fungukeni
@user-oo5sj8hb5m
@user-oo5sj8hb5m 5 месяцев назад
Iih nch inatangazwa nch ya aman ilamambo yanayo endelea mungu anajuwa kwakwel naiz minaona nikampen tu
@barakakazumba7971
@barakakazumba7971 5 месяцев назад
Hiii nchiii jaman duuuu😅😅😅
@PennyAloyce
@PennyAloyce 15 дней назад
Haki nasema Tusipomuombea mweshimiwa Makonda watamuua vilevile
@bushirially2077
@bushirially2077 5 месяцев назад
Aisee
@godwineliya4686
@godwineliya4686 4 месяца назад
Immigration Jitafakarini Kwa nn Mnanyanyasa watu Kiasi Hicho ?
@user-qx4bb5is6f
@user-qx4bb5is6f 5 месяцев назад
Mungu wetu tusaidie, inatishaaa Kaka angu utafanya mangap??
@user-hq7fe8ko9w
@user-hq7fe8ko9w 5 месяцев назад
Yani weunaoja mbovuuonio Nokosema utakuwa ulinyimwa ela
@esuphatalfred1838
@esuphatalfred1838 4 месяца назад
Bwana Yesu asimame peke yake
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 5 месяцев назад
Inchi inamadudu sn wt wnaumia nanchi yao ukiona mtu anaongea adi analia juwa kuna maubwa mno
@user-wk6ik9hk5x
@user-wk6ik9hk5x 4 месяца назад
😊
@Monica-vq2iy
@Monica-vq2iy 5 месяцев назад
Kweli mmasema ukweli vip usalama wenu jamani makonda kuwa makini umejitoa muanga baba yuko wap wakubwa watakumaliza watanzania tufunge wote tumwombee makonda ata awe rais tutatobo
@user-nx1pq6ic8w
@user-nx1pq6ic8w 4 месяца назад
Babu unaongea sana mpaka unapoteza kazi
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 Месяц назад
Kiongozi,usiposhuka chini.haya.hutayajua.viongozi sikilizeni wanachi.na.muwasaidie.
@salumsimai642
@salumsimai642 5 месяцев назад
Ni shida tumekua na midomo kumlaumu rais kumbe shida ipo kwa baadhi ya wasaidizi hakuna uadilifu
@josephjulio6112
@josephjulio6112 5 месяцев назад
Wanainchi ni majasiri lla CCM wanazarau
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 месяцев назад
CCM ni majini yaani ni lusifa
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 5 месяцев назад
WALIZANI HAWATAJULIKANA. SASA WANAUMBUKA. WANAMPIGA VITA RAIS WAKINA WAKIMZULIA MABAYA KUMBE MAJAMBAZI NI WENYEWE. TULIO NA AKILI TULISHA LIJUA ZAMAN HIO NDIO MAANA MAMA HAWAJIBU.
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 5 месяцев назад
Ina Maana mama ni muhusika
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 месяцев назад
​@@rosetreffert4179ndo maana majibu tupewa
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 5 месяцев назад
@@rosetreffert4179 mama Rais kipenzi ni muislam na ni mzanzibar,,,,sasa chuki binafsi watu zinawasumbua lkn mama n mtu mzuri sana. Wananjama aonekane mbaya. Mungu akisha kupandisha hakuna wa kujushusha. Mama mpk 2045. Mama la kizanzibar wacha wenye wivu wajinyone. Wanapo tawala vingozi waislam mara zote mambo huwa mazuri. Wasioutaka ukweli wajinyongeeee. Alipo tawala mwinyi kwa kushindwa mzee nyerere mambo yakawa supa. Kikwete mambo yalikuwa supa.
@ChristopherKashindi
@ChristopherKashindi Месяц назад
Hiyo nikweli
@jesus_agency_pro.
@jesus_agency_pro. 5 месяцев назад
Ccm imeshindwa kiongoza nchi hiiii
@mudhihirugara8845
@mudhihirugara8845 5 месяцев назад
Hii inchi imeoza kilasehem nirushwabdhuruma
@yonasaimoni1302
@yonasaimoni1302 5 месяцев назад
Katiba ni muhimu chandema wamesema makakala na genero wa uhamiaji siyo mtanzania inchi ya manyani
@saimonjohnsumley9198
@saimonjohnsumley9198 5 месяцев назад
Shida ni CCM,hao uhamiaji ni mali ya CCM, acheni drama
@LudovickTibakyenda-gs2wh
@LudovickTibakyenda-gs2wh Месяц назад
Msomali kaamua kutema cheche
@kakazkanda
@kakazkanda 5 месяцев назад
👁️👁️
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 месяцев назад
KWANI HAO WAFANYAKAZI WA UHAMIAJI WALISOMEA WAPI HAO. KWANI HAWAJUI INTERNATIONAL LAW?. MBOBA WENZETU NNCHI ZA NNJE WANEJIPANGA VIZURI. NYINYI HIZO ELIMU ZENU NA SHERIA ZENU ZA WAPI?. MIMI NASHINDWA KUZIJUWA.
@user-ht9hp9br2e
@user-ht9hp9br2e 5 месяцев назад
Tanzania kweli kumejaaa wakimbizi
@gracekaboigora189
@gracekaboigora189 5 месяцев назад
Haaaa???
@rasvegas8991
@rasvegas8991 5 месяцев назад
Huyu zio mtanzaniaaa
@tonyi6807
@tonyi6807 5 месяцев назад
🇹🇿🙏🏻🎶
@user-zu8kt4yn4n
@user-zu8kt4yn4n 5 месяцев назад
Duh ukstaajabu ya musa utayaona ya firaun
@kamikazineema1957
@kamikazineema1957 5 месяцев назад
Mkoa wa shinyanga Hiyo ipo
@user-bf9xj3nf1o
@user-bf9xj3nf1o 5 месяцев назад
Hata makonda anaitajika kwenda gerezani guys
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 5 месяцев назад
Alie pewa kapew na mtu hujiufunza kutokana na makosa ya Leo sijana Kaa Kwa kutilia jirani
@salomekense525
@salomekense525 5 месяцев назад
Pole makonda upo kujaribiwa.mambo mazito .unahitaji sala Sana
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 5 месяцев назад
Kabisaa
@JuliusMhina
@JuliusMhina 5 месяцев назад
Tutaona mengi
@user-bf9xj3nf1o
@user-bf9xj3nf1o 5 месяцев назад
Huna mungu makonda acha uongo
@josephlorri431
@josephlorri431 5 месяцев назад
Uwepo wa Mungu ni nguvu ya imani.. huwezi kumiliki imani ya mtu, wewe nani kuwajua wenye Mungu na wasio naye..
@frankub8107
@frankub8107 5 месяцев назад
Huyu mzeek siyule ana Restaurant mpakani?!? Au nime mufananisha?
@giftmusa6543
@giftmusa6543 5 месяцев назад
Yes
@frankub8107
@frankub8107 5 месяцев назад
@@giftmusa6543 jamani 😭 nimepita pale mpakani 2012 naelekeya Malawi 🇲🇼 mimi na familia yangu, toka congo 🇨🇩, tumekula kwenye mgahawa wake baadaye akatuongeza chakula chabule😭, Yallahbin Mupe umri mlefu mzee wangu, na uzidi mubariki, , ameteteya nduguzetu wananyanyaswa sana mpakani😭, siwez msahau sura yake in my mind,
@user-ds2qr6fx6c
@user-ds2qr6fx6c 5 месяцев назад
Ata wewe nimkimbizi mbona
@TitoMwenda-jw2ig
@TitoMwenda-jw2ig 5 месяцев назад
Nakuaminania makonda mung yupo nawe
@jamesakhabuhaya4747
@jamesakhabuhaya4747 5 месяцев назад
Duuu
@user-hq7fe8ko9w
@user-hq7fe8ko9w 5 месяцев назад
Alinamashiko wewe kamakunashida kwenyeichiyako utabaki
@AffectionateCabin-xq2vg
@AffectionateCabin-xq2vg 5 месяцев назад
U po vyema muhishimiwa makomda
@MathayoSeleman
@MathayoSeleman 5 месяцев назад
V