Maashaallah Allah bariq Sahihi broh sky damu mzito kuliko maji baadh ya wanaume wanakosea sana kutelekeza watoto wao hili naliona kwa mtoto wangu anavyoteseka kwa kukosa sapotiy kutoka kwa baba ake lakn ALLAH Kareem ipo siku na yeye atakua na Aman ya moyo
Ongera sana p ni kweli tunachukia ukiona mwanao anakoelekea sio lazima mzazi achukie lkni amna jinsi mtto ni mtto tu lazima mzazi itafikia ufunguwe moyo wako nimefutahi sana kma p umeufunguwa moyo wako kwa mwanao paula
Kama baba ninafurahi sana alichokifanya majani, kumuweka karibu binti yako ni moja ya fursa za kuweza kumrekebisha anapoteleza kwa sababu bond create space to shriving to doing good ili usimuaibishe yule uliye na bond naye so kama paula atateleza na majani akamvutia uzi itakuwa ni haraka na rahisi kujirekebisha ili asimkwaze daddy and that is love. BIG UP Majani
Harmonize huyo yaan hapo ndio ujue p funk lazma ale pesa ya harmonize mara mbili kwa Paula na kajala ila that's Good ndio maisha good life hongera baba! Kea kupata mtoto mwenye faida
Paula siku akijua dunia ataona P. funky ni baba bora sisi Wanaume tunakili sana hapo P.funky anategeza bodi na hao wadogo zake na Paula ili atasiku ikitoeka katka uso wa dunia awaache wakielewana
Usiseme wanaume mnaakili sana sema Makamu ana akili sana.mana wengine msingekimbia mimba na kuja taa watoto,mateso yasingekuwepo kwa watoto sababu ya kuwatelekeza toa neno mna akili mana hata wanamama wana akili
@@yussufritzy7684 wewe huna akili Sawa ndio mzazi nikama mungu maana mwenyezimungu twamukosea kila Siku ila bado nimwenye kusame hata mzazi unaweza ukamkosea kiasikwamba akautolea maneno machafu ila bado nimwenye huruma nakukusame kabla hujaomba msama,wewe vipi kama unaakili matope nenda ukazipunguze chooni
@@aishabrondi236 Sio kweli tena binti wa kiislamu wasema mzazi kama Mungu mzazi hawezi kua kama Mungu hafanani na chochote Mungu kwenye dunia yak mzazi atabaki nafasi yak tuu
@@Awatee Daaahh,,, ahsante sana kwa kunisaidia....asante,,, yaonesha mwenzetu hajui anachokiongea... na ndio maana nikamuuliza Ni Mungu yupi anaemaanisha,, maana km ni Mungu au Miungu yao ya vichochoroni,, ni sw na aseme tu iyo kauli.. baba ni km Mungu,, ila km ni Allah alietukuka,, basi atengue iyo kauli... Allah si wakufananishwa na chochote wala yyte yule...
Hilo ndo duka linalo fanya mnampa shavu Paula? Inawezekana hamjui duka likoje aidha mnapenda sifa hewa! Hizo nguo hazifki hata pisi 20 mnaita duka! Si ni nguo za kutumia tu tena mwanamke wa kijijini? Mke wangu tu, Ana nguo Pisi 300 za kuvaa yeye tu, Mkiziona je? Si mtamtangaza mpaka dunia ijue? Afu mi nilijua ni bonge la duka afu la kishua!
Baba yupo vzr lkn mama hamna kitu ww mama ameshakuwa mtu mzima lkn bado anashindana mavazi na mtoto wake Mara kitovu nje Mara flana kaifunga fundo Yani usela mavi flani ajaribu kujirekebisha mambo mengine amuachie mtt wake yy keshakuwa mtu mzima vitu vyengine anafanya havipendezi mbele ya jamii
Umesema vyema rafiki mpendwa, Lulu Ally. {Kikubwa ni kuzidi kumuombea ili huyo Kajala na mwanae, waachane na maisha hayo ya drama zilizo nyingi sana & kuamua kuishi maisha ya kuwa kioo zaidi kwa jamii inayowasoma. Tuzidi kuwaombea ili Mungu aweze kuwasaidia kuwa mfano bola kwa jamii wanayoishi.
ZUCHU NA DIAMOND WACHAPANA MA BUSU NA KUSHIKANA MBELE YA MASHABIKI MBEYA👇🏽👇🏽👇🏽 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-K0mmX_clwto.html #SHARE NA WENGINE 🙏🏽
nadhani sasa hivi Harmonize mavi yanagonga chupi yanarudi akiwa na wasiwasi kuwa mama paula pia anaweza akarudi kwa p-funk huwezi jua mfuko wa pfunk sasa hivi umekaaje ! unajua nyama ulishaonja utamu wake huwezi kuiacha kula mpaka kufa
u can't because wewe si mzazi mzazi yeyote can get mad to their kids sababu ya makosa Fulani ila unasamehe Kwa mapenzi iliyo nayo Kwa mtoto wako nakuombea siku ukijaliwa utakumbuka haya maneno
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-1vLhImUkvD4.html DAWA YA KUNG'ARISHA NGOZI YA USO WAKO HUZUIA USO KUZEEKA MAPEMA.,*# ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-1vLhImUkvD4.html
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Rrtc4BO-RTA.html mdada wa kazi kafumaniwa wakifanya mapenzi na mlinzi jikoni duh dunia imevaa chupi yakheri
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-1vLhImUkvD4.html DAWA YA KUNG'ARISHA NGOZI YA USO WAKO HUZUIA USO KUZEEKA MAPEMA.,*# ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-1vLhImUkvD4.html
Mbona Kuna mtu kama jini huku eti kazi kudanga kadange na wewe ugungue duka huwezi ombea watoto wawenzio baraka na wewe uje itolewe baraka kwa wakwako kazi kuombea tu Mabaya jamani pole kwa Hilo likauli lako la ovyoo umechukia akiwa karibu na baba yake au pepo wewe