Тёмный

Mtoto wa Manji asimulia namna baba yake alivyoipenda Yanga 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 23 тыс.
50% 1

“Moyoni mwake ukimkata utaona damu ya Yanga” maneno ya Mehbub Manji akisimulia namna baba yake alikuwa akiipenda Yanga.
Mehbub amesema kuna nyakati walikuwa wanweza kujua matokeo ya mechi za Yanga kwa kumtazama baba yao tu, wakimuona amekasirika wanajua Yanga imefungwa.
Imefanyika dua kwa ajili ya Yusuf Manji aliyefariki dunia Juni 30 ,2024 katika ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.
#Dua #MaishaYaManji #YusufManji

Спорт

Опубликовано:

 

6 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 32   
@edwinlyimo5611
@edwinlyimo5611 3 дня назад
pole sana ndugu yangu,nashukuru Mungu kuona Ww na mdogo wako mpo,naomba mjitahidi kupendana msigombane kwa jambo lolote hasa Mali za Urithi,nashukuru Mzee Ja JK Kikwete kwa kuwa karibu na Familia hii wakati wote,Mungu akubariki,leo mm nitakaa karibu na familia yangu nicheze na watoto wangu kwa maana sijui mda wala saa,Pia kuzidi kumuomba Mungu,
@abroadconnectededucationlt5435
@abroadconnectededucationlt5435 6 дней назад
polen sana, ''kazima tufanye kazi sana,lazima tumalize tulichokianza,lazima tupite malengo, lazima tupite matazamio ya watu'' haya ni maneno mazito sana kuambiwa,asante YM kwa zawadi hii.
@vinny.morales
@vinny.morales 10 дней назад
Poleni sana familia ya Manji. Tuko pamoja, tunawapenda sana😢
@LovenesLuhanga
@LovenesLuhanga 10 дней назад
R I p Yusuf manji hakika ww ulikua Bora sana mungu uipe uvumilivu na utulivu familia yake yote tuseme amen 🙏🏼🤝
@nsubisimwasandende-kl9vy
@nsubisimwasandende-kl9vy 10 дней назад
Dogo ana akili sana ni isahara hata kampuni za mzee zitaenda vizuri speech nzuri
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 10 дней назад
Yes yes uko sawa... Hata sauti kama ya manji kabisa
@WahidaHilaly
@WahidaHilaly 9 дней назад
Sana Sana 🙏
@user-xb7jv2jt7d
@user-xb7jv2jt7d 10 дней назад
Innah lillah waina ilaih raj oon. Allah awajaze subira muwe waja wa kusubiri. Nasi tuombe mwisho mwema. Ameen
@YohanaCharles-ry1kh
@YohanaCharles-ry1kh 10 дней назад
Daaah, pole sanaaa ndg yetu
@baltasartemu2153
@baltasartemu2153 10 дней назад
Pole sana Mahboob..
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 10 дней назад
Innalillahi wainna ilayhi rajiun😢
@VenitaRugemalila
@VenitaRugemalila 7 дней назад
Pole watoto wa marehemu, Mungu awape mshikamano na mlete wajukuu watakaoendeleza
@MwenyeheriMwegeru
@MwenyeheriMwegeru 9 дней назад
Inalilah wainalilah rajiun pole sana wanafamilia
@user-jh4sw3ww6w
@user-jh4sw3ww6w 10 дней назад
Mwanadam ni historia,kua historia njema
@VenitaRugemalila
@VenitaRugemalila 7 дней назад
Pole masikini kumbe mmebaki wenyewe Mungu awtunze ,na familia ya Muheshimiwa Jakaya iendelee kuwa nanyi
@user-ww4so9ks9c
@user-ww4so9ks9c 10 дней назад
Duuh😢😢😢
@habibaramadhani-xv2ed
@habibaramadhani-xv2ed 4 дня назад
Inalilahi wa Inalilahi Rajiun poleni Sisi wote tutarejea.
@JoshuaSabu-r2p
@JoshuaSabu-r2p 3 дня назад
R.i.p YUSUFU MANJI hakika ni pengo kubwa sana kwa club ya YANGA na wapenz na mashabiki wa yanga
@daarularqammkaku153
@daarularqammkaku153 10 дней назад
Pole bro
@saidsalum6101
@saidsalum6101 8 часов назад
Hivi kumbe nikweli manji kafa mungu amsamehe mazambi yake yote
@salmakirundu2076
@salmakirundu2076 9 дней назад
So sad
@user-ws9no8hz8k
@user-ws9no8hz8k 10 дней назад
Imauma jaman polen
@VenitaRugemalila
@VenitaRugemalila 7 дней назад
Yaani hayo maneno ya mwisho yanaumiza akimsii Rais mstaafu wetu na wananchi tukirudi ktk familia tukapendane ,tuishi vizuri hatuijui kesho yetu kwani wao hawana tena wazazi,wapendwa wao wameondoka km ninavyosikia na mama hawana tena yaani inahuzunisha jamani,poleni tumepokea ushauri huo
@tukuyufm.
@tukuyufm. 7 дней назад
Poleni sana familia ya mzee manji
@tumsifumassawe1273
@tumsifumassawe1273 10 дней назад
Kwan amekufa kweli??
@kanyeshahigirimana5686
@kanyeshahigirimana5686 10 дней назад
Hamna Amefufuka
@chundechunde
@chundechunde 10 дней назад
Kafa uongo
@JamesZakayo-o2f
@JamesZakayo-o2f 9 дней назад
Hajafa
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 7 дней назад
manji,rostam,hao hakuna wazalendo hapo wanyonyaji2 wataka mamiladi makubwa watafuna nchi
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 7 дней назад
kama alikua mzlendo wa nchi kwa nini alikimbilia huko namezikwa marekani hao watafuta fulsa2 ila wanaunalaia nchi zngne kabsa kwa macho ni watanzania ila mioyo yao haipo hao wanafata masilai2 mlando pekee ambae ni mtu wa mungu ni bakhressa pekee angalia alichoifanyia taz. huyo ndo mtzania pekee
@mugheiry
@mugheiry 4 дня назад
Kwanza kajifunze kuandika vizuri kiswahili chako, kabla kuandika upuuzi wako.
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 3 дня назад
@@mugheiry upuuz ni wewe kipi ambacho hujaelewa
Далее
Ishowspeed vs Ronaldo vs Messi Disguise Challenge
0:29